< Ayubu 18 >

1 Bildadi Mshuhi akajibu:
and to answer Bildad [the] Shuhite and to say
2 “Je, ni lini utafika mwisho wa maneno haya? Uwe mwenye busara, nasi ndipo tutakapoweza kuongea.
till where? to set: make [emph?] snare to/for speech to understand and after to speak: speak
3 Kwa nini sisi tunafikiriwa kama wanyama, na kuonekana wajinga machoni pako?
why? to devise: think like/as animal to defile in/on/with eye: seeing your
4 Wewe unayejirarua mwenyewe vipande vipande katika hasira yako, je, dunia iachwe kwa ajili yako wewe? Au ni lazima miamba iondolewe mahali pake?
to tear soul: myself his in/on/with face: anger his because you to leave: forsake land: country/planet and to proceed rock from place his
5 “Taa ya mwovu imezimwa, nao mwali wa moto wake umezimika.
also light wicked to put out and not to shine flame fire his
6 Mwanga hemani mwake umekuwa giza; taa iliyo karibu naye imezimika.
light to darken in/on/with tent his and lamp his upon him to put out
7 Nguvu za hatua zake zimedhoofishwa; shauri lake baya litamwangusha.
be distressed step strength his and to throw him counsel his
8 Miguu yake imemsukumia kwenye wavu, naye anatangatanga kwenye matundu ya wavu.
for to send: depart in/on/with net in/on/with foot his and upon latticework to go: walk
9 Tanzi litamkamata kwenye kisigino; mtego utamshikilia kwa nguvu.
to grasp in/on/with heel snare to strengthen: hold upon him snare
10 Kitanzi kimefichwa ardhini kwa ajili yake; mtego uko kwenye njia yake.
to hide in/on/with land: soil cord his and snare his upon path
11 Vitisho vimemtia hofu kila upande, na adui zake humwandama kila hatua.
around: side to terrify him terror and to scatter him to/for foot his
12 Janga linamwonea shauku; maafa yako tayari kwa ajili yake aangukapo.
to be hungry strength his and calamity to establish: prepare to/for stumbling his
13 Nayo yatakula sehemu ya ngozi yake; mzaliwa wa kwanza wa mauti atakula maungo yake.
to eat alone: pole skin his to eat alone: pole his firstborn death
14 Atangʼolewa kutoka usalama wa hema lake, na kupelekwa kwa mfalme wa vitisho.
to tear from tent his confidence his and to march him to/for king terror
15 Moto utakaa katika hema lake; moto wa kiberiti utamwagwa juu ya makao yake.
to dwell in/on/with tent his from without to/for him to scatter upon pasture his brimstone
16 Mizizi yake chini itakauka na matawi yake juu yatanyauka.
from underneath: under root his to wither and from above to languish foliage his
17 Kumbukumbu lake litatoweka katika dunia, wala hatakuwa na jina katika nchi.
memorial his to perish from land: country/planet and not name to/for him upon face: surface outside
18 Ameondolewa nuruni na kusukumiwa gizani, naye amefukuzwa mbali atoke duniani.
to thrust him from light to(wards) darkness and from world to wander him
19 Hana mtoto wala mzao miongoni mwa watu wake, wala aliyenusurika mahali alipoishi.
not offspring to/for him and not progeny in/on/with people his and nothing survivor in/on/with sojourning his
20 Watu wa magharibi watashangaa yaliyompata; watu wa mashariki watapatwa na hofu.
upon day: today his be desolate: appalled last and eastern to grasp shuddering
21 Hakika ndivyo yalivyo makao ya mtu mwovu; ndivyo palivyo mahali pake mtu asiyemjua Mungu.”
surely these tabernacle unjust and this place not to know God

< Ayubu 18 >