< Ayubu 18 >

1 Bildadi Mshuhi akajibu:
Så tog Sjuhiten Bildad til Orde og sagde:
2 “Je, ni lini utafika mwisho wa maneno haya? Uwe mwenye busara, nasi ndipo tutakapoweza kuongea.
"Så gør dog en Ende på dine Ord, kom til Fornuft og lad os tale!
3 Kwa nini sisi tunafikiriwa kama wanyama, na kuonekana wajinga machoni pako?
Hvi skal vi regnes for Kvæg og stå som umælende i dine Øjne?
4 Wewe unayejirarua mwenyewe vipande vipande katika hasira yako, je, dunia iachwe kwa ajili yako wewe? Au ni lazima miamba iondolewe mahali pake?
Du, som i Vrede sønderslider din Sjæl, skal for din Skyld Jorden blive øde og Klippen flyttes fra sit Sted?
5 “Taa ya mwovu imezimwa, nao mwali wa moto wake umezimika.
Nej, den gudløses Lys bliver slukt, hans Ildslue giver ej Lys;
6 Mwanga hemani mwake umekuwa giza; taa iliyo karibu naye imezimika.
Lyset i hans Telt går ud, og hans Lampe slukkes for ham;
7 Nguvu za hatua zake zimedhoofishwa; shauri lake baya litamwangusha.
hans kraftige Skridt bliver korte, han falder for eget Råd;
8 Miguu yake imemsukumia kwenye wavu, naye anatangatanga kwenye matundu ya wavu.
thi hans Fod drives ind i Nettet, på Fletværk vandrer han frem,
9 Tanzi litamkamata kwenye kisigino; mtego utamshikilia kwa nguvu.
Fælden griber om Hælen, Garnet holder ham fast;
10 Kitanzi kimefichwa ardhini kwa ajili yake; mtego uko kwenye njia yake.
Snaren er skjult i Jorden for ham og Saksen på hans Sti;
11 Vitisho vimemtia hofu kila upande, na adui zake humwandama kila hatua.
Rædsler skræmmer ham alle Vegne og kyser ham Skridt for Skridt:
12 Janga linamwonea shauku; maafa yako tayari kwa ajili yake aangukapo.
Ulykken hungrer efter ham, Undergang lurer på hans Fald:
13 Nayo yatakula sehemu ya ngozi yake; mzaliwa wa kwanza wa mauti atakula maungo yake.
Dødens førstefødte æder hans Lemmer, æder hans Legemes Lemmer;
14 Atangʼolewa kutoka usalama wa hema lake, na kupelekwa kwa mfalme wa vitisho.
han rives bort fra sit Telt, sin Fortrøstning; den styrer hans Skridt til Rædslernes Konge;
15 Moto utakaa katika hema lake; moto wa kiberiti utamwagwa juu ya makao yake.
i hans Telt har Undergang hjemme, Svovl strøs ud på hans Bolig;
16 Mizizi yake chini itakauka na matawi yake juu yatanyauka.
nedentil tørrer hans Rødder, oventil visner hans Grene;
17 Kumbukumbu lake litatoweka katika dunia, wala hatakuwa na jina katika nchi.
hans Minde svinder fra Jord, på Gaden nævnes ikke hans Navn;
18 Ameondolewa nuruni na kusukumiwa gizani, naye amefukuzwa mbali atoke duniani.
man støder ham ud fra Lys i Mørket og driver ham bort fra Jorderig;
19 Hana mtoto wala mzao miongoni mwa watu wake, wala aliyenusurika mahali alipoishi.
i sit Folk har han ikke Afkom og Æt, i hans Hjem er der ingen tilbage;
20 Watu wa magharibi watashangaa yaliyompata; watu wa mashariki watapatwa na hofu.
de i Vester stivner ved hans Skæbnedag, de i Øst bliver slagne af Rædsel.
21 Hakika ndivyo yalivyo makao ya mtu mwovu; ndivyo palivyo mahali pake mtu asiyemjua Mungu.”
Ja, således går det den lovløses Bolig, dens Hjem, der ej kender Gud!

< Ayubu 18 >