< Ayubu 17 >

1 Moyo wangu umevunjika, siku zangu zimefupishwa, kaburi linaningojea.
我的心靈消耗,我的日子滅盡; 墳墓為我預備好了。
2 Hakika wenye mizaha wamenizunguka; macho yangu yamebaki kutazama uadui wao.
真有戲笑我的在我這裏, 我眼常見他們惹動我。
3 “Ee Mungu, nipe dhamana unayodai. Ni nani mwingine atakayeweka dhamana kwa ajili yangu?
願主拿憑據給我,自己為我作保。 在你以外誰肯與我擊掌呢?
4 Umezifunga akili zao zisipate ufahamu, kwa hiyo hutawaacha wapate ushindi.
因你使他們心不明理, 所以你必不高舉他們。
5 Kama mtu akiwashutumu rafiki zake ili apate ujira, macho ya watoto wake yatashindwa kuona.
控告他的朋友、以朋友為可搶奪的, 連他兒女的眼睛也要失明。
6 “Mungu amenifanya kitu cha dhihaka kwa kila mtu, mtu ambaye watu humtemea mate usoni.
上帝使我作了民中的笑談; 他們也吐唾沫在我臉上。
7 Macho yangu yamefifia kwa ajili ya majonzi; umbile langu lote ni kama kivuli.
我的眼睛因憂愁昏花; 我的百體好像影兒。
8 Watu wanyofu wanatishwa na hili; watu wasio na hatia wanasimama dhidi ya wasiomcha Mungu.
正直人因此必驚奇; 無辜的人要興起攻擊不敬虔之輩。
9 Hata hivyo, waadilifu watazishika njia zao, nao wale wenye mikono safi wataendelea kupata nguvu.
然而,義人要持守所行的道; 手潔的人要力上加力。
10 “Lakini ninyi njooni, ninyi nyote, jaribuni tena! Sitampata mtu mwenye hekima miongoni mwenu.
至於你們眾人,可以再來辯論吧! 你們中間,我找不着一個智慧人。
11 Siku zangu zimepita, mipango yangu imevunjika, vivyo hivyo shauku za moyo wangu.
我的日子已經過了; 我的謀算、我心所想望的已經斷絕。
12 Watu hawa hufanya usiku kuwa mchana, kwenye giza wao husema, ‘Mwanga u karibu.’
他們以黑夜為白晝, 說:亮光近乎黑暗。
13 Kama nyumba pekee ninayoitarajia ni kaburi, kama nikikitandika kitanda changu gizani, (Sheol h7585)
我若盼望陰間為我的房屋, 若下榻在黑暗中, (Sheol h7585)
14 kama nikiuambia uharibifu, ‘Wewe u baba yangu,’ na kuliambia buu, ‘Wewe u mama yangu’ au ‘Dada yangu,’
若對朽壞說:你是我的父; 對蟲說:你是我的母親姊妹;
15 liko wapi basi tarajio langu? Ni nani awezaye kuona tarajio lolote kwa ajili yangu?
這樣,我的指望在哪裏呢? 我所指望的誰能看見呢?
16 Je, litashuka chini hadi kwenye malango ya mauti? Je, tutashuka pamoja mavumbini?” (Sheol h7585)
等到安息在塵土中, 這指望必下到陰間的門閂那裏了。 (Sheol h7585)

< Ayubu 17 >