< Ayubu 17 >
1 Moyo wangu umevunjika, siku zangu zimefupishwa, kaburi linaningojea.
我的心靈消耗,我的日子滅盡; 墳墓為我預備好了。
2 Hakika wenye mizaha wamenizunguka; macho yangu yamebaki kutazama uadui wao.
真有戲笑我的在我這裏, 我眼常見他們惹動我。
3 “Ee Mungu, nipe dhamana unayodai. Ni nani mwingine atakayeweka dhamana kwa ajili yangu?
願主拿憑據給我,自己為我作保。 在你以外誰肯與我擊掌呢?
4 Umezifunga akili zao zisipate ufahamu, kwa hiyo hutawaacha wapate ushindi.
因你使他們心不明理, 所以你必不高舉他們。
5 Kama mtu akiwashutumu rafiki zake ili apate ujira, macho ya watoto wake yatashindwa kuona.
控告他的朋友、以朋友為可搶奪的, 連他兒女的眼睛也要失明。
6 “Mungu amenifanya kitu cha dhihaka kwa kila mtu, mtu ambaye watu humtemea mate usoni.
上帝使我作了民中的笑談; 他們也吐唾沫在我臉上。
7 Macho yangu yamefifia kwa ajili ya majonzi; umbile langu lote ni kama kivuli.
我的眼睛因憂愁昏花; 我的百體好像影兒。
8 Watu wanyofu wanatishwa na hili; watu wasio na hatia wanasimama dhidi ya wasiomcha Mungu.
正直人因此必驚奇; 無辜的人要興起攻擊不敬虔之輩。
9 Hata hivyo, waadilifu watazishika njia zao, nao wale wenye mikono safi wataendelea kupata nguvu.
然而,義人要持守所行的道; 手潔的人要力上加力。
10 “Lakini ninyi njooni, ninyi nyote, jaribuni tena! Sitampata mtu mwenye hekima miongoni mwenu.
至於你們眾人,可以再來辯論吧! 你們中間,我找不着一個智慧人。
11 Siku zangu zimepita, mipango yangu imevunjika, vivyo hivyo shauku za moyo wangu.
我的日子已經過了; 我的謀算、我心所想望的已經斷絕。
12 Watu hawa hufanya usiku kuwa mchana, kwenye giza wao husema, ‘Mwanga u karibu.’
他們以黑夜為白晝, 說:亮光近乎黑暗。
13 Kama nyumba pekee ninayoitarajia ni kaburi, kama nikikitandika kitanda changu gizani, (Sheol )
我若盼望陰間為我的房屋, 若下榻在黑暗中, (Sheol )
14 kama nikiuambia uharibifu, ‘Wewe u baba yangu,’ na kuliambia buu, ‘Wewe u mama yangu’ au ‘Dada yangu,’
若對朽壞說:你是我的父; 對蟲說:你是我的母親姊妹;
15 liko wapi basi tarajio langu? Ni nani awezaye kuona tarajio lolote kwa ajili yangu?
這樣,我的指望在哪裏呢? 我所指望的誰能看見呢?
16 Je, litashuka chini hadi kwenye malango ya mauti? Je, tutashuka pamoja mavumbini?” (Sheol )
等到安息在塵土中, 這指望必下到陰間的門閂那裏了。 (Sheol )