< Ayubu 14 >
1 “Mwanadamu aliyezaliwa na mwanamke siku zake ni chache nazo zimejaa taabu.
“O homem, que nasce de uma mulher, é de poucos dias, e cheio de problemas.
2 Huchanua kama ua kisha hunyauka; huwa kama kivuli kipitacho upesi, wala hadumu.
Ele cresce como uma flor, e é cortado. Ele também foge como uma sombra, e não continua.
3 Je, unamwekea jicho lako mtu kama huyo? Je, utamleta mbele yako katika hukumu?
Você abre seus olhos para tal, e me levar a julgamento com você?
4 Ni nani awezaye kutoa kitu safi kutoka kitu najisi? Hakuna awezaye!
Quem pode trazer uma coisa limpa de uma coisa impura? Nem um.
5 Siku za mwanadamu zimewekewa mpaka; umekwisha kutangaza idadi ya miezi yake na kuweka mpaka ambao hawezi kuuvuka.
Seeing seus dias estão determinados, o número de seus meses está com você, e você indicou seus limites que ele não pode passar.
6 Hivyo angalia mbali umwache, hadi awe amekamilisha muda wake kama mtu aliyeajiriwa.
Desvie o olhar dele, para que ele possa descansar, até que ele cumpra, como um mercenário, seu dia.
7 “Kwa maana lipo tumaini kwa mti; kama ukikatwa utachipuka tena, nayo machipukizi yake mapya hayatakoma.
“Pois há esperança para uma árvore se ela for cortada, que brotará novamente, que o seu ramo de oferta não cessará.
8 Mizizi yake yaweza kuchakaa ardhini na kisiki chake kufa udongoni,
Embora sua raiz envelheça na terra, e seu estoque morre no chão,
9 lakini kwa kupata dalili ya maji utachipua na kutoa machipukizi kama mche.
yet através do cheiro da água, ela irá brotar, e brotam ramos como uma planta.
10 Lakini mwanadamu hufa, na huo ndio mwisho wake; hutoa pumzi ya mwisho, naye hayuko tena!
Mas o homem morre, e é colocado em baixo. Sim, o homem desiste do espírito, e onde ele está?
11 Kama vile maji yatowekavyo katika bahari, au mkondo wa mto ukaushwavyo na kuwa mkavu,
Como as águas falham a partir do mar, e o rio desperdiça e seca,
12 ndivyo mwanadamu alalavyo chini asiamke; hadi mbingu zitakapokuwa hazipo tena, wanadamu hawataamka au kuamshwa kutoka kwenye usingizi wao.
para que o homem se deite e não se levante. Até que os céus não estejam mais acordados, nem serem despertados do sono.
13 “Laiti kama ungenificha kaburini, na kunisitiri hadi hasira yako ipite! Laiti ungeniwekea wakati, na kisha ukanikumbuka! (Sheol )
“Oh, que você me esconderia no Sheol, que você me manteria em segredo até que sua ira passasse, que você me indicaria um tempo determinado e se lembraria de mim! (Sheol )
14 Je, kama mtu akifa, aweza kuishi tena? Siku zote za kazi zangu ngumu nitangojea kufanywa upya kwangu.
Se um homem morrer, será que ele viverá novamente? Eu esperaria todos os dias da minha guerra, até minha liberação chegar.
15 Utaniita nami nitakuitika; utakionea shauku kiumbe ambacho mikono yako ilikiumba.
Você ligaria, e eu lhe responderia. Você teria um desejo pelo trabalho de suas mãos.
16 Hakika ndipo utakapozihesabu hatua zangu, lakini hutazifuatia dhambi zangu.
Mas agora você conta meus passos. Você não cuida do meu pecado?
17 Makosa yangu yatafungiwa kwa lakiri kwenye mfuko, nawe utazifunika dhambi zangu.
Minha desobediência é selada em uma bolsa. Você prende minha iniqüidade.
18 “Lakini kama mlima umomonyokavyo na kufikichika na kama vile mwamba uondolewavyo mahali pake,
“Mas a montanha que cai não dá em nada. A rocha é removida de seu lugar.
19 kama maji yamalizavyo mawe, na mafuriko yachukuavyo udongo, ndivyo unavyoharibu tegemeo la mwanadamu.
As águas desgastam as pedras. As torrentes da mesma lavam o pó da terra. Assim você destrói a esperança do homem.
20 Humshinda mara moja kwa daima, naye hutoweka; waibadilisha sura yake na kumwondoa.
Você prevalece para sempre contra ele, e ele parte. Você muda seu rosto, e o manda embora.
21 Kama wanawe wakipewa heshima, yeye hafahamu; kama wakidharauliwa, yeye haoni.
Seus filhos vêm para honrar, e ele não sabe disso. Eles são trazidos para baixo, mas ele não percebe isso deles.
22 Yeye hasikii kingine isipokuwa maumivu ya mwili wake mwenyewe, naye huomboleza kwa ajili yake mwenyewe.”
Mas sua carne tem dor, e sua alma dentro dele chora”.