< Ayubu 13 >

1 “Macho yangu yameona hili lote, masikio yangu yamesikia na kulielewa.
“Eis que meus olhos viram tudo isso. Meu ouvido ouviu e entendeu.
2 Hayo mnayoyajua mimi pia ninayajua; mimi si mtu duni kuliko ninyi.
O que você sabe, eu sei também. Eu não sou inferior a você.
3 Lakini ninayo shauku ya kuzungumza na Mwenyezi na kuhojiana shauri langu na Mungu.
“Certamente eu falaria com o Todo-Poderoso. Desejo raciocinar com Deus.
4 Ninyi, hata hivyo, hunipakaza uongo; ninyi ni matabibu wasiofaa kitu, ninyi nyote!
Mas vocês são falsificadores de mentiras. Vocês são todos médicos sem valor.
5 Laiti wote mngenyamaza kimya! Kwa kuwa kwenu hilo lingekuwa hekima.
Oh, que você estaria completamente em silêncio! Então você seria sábio.
6 Sikieni sasa hoja yangu; sikilizeni kusihi kwangu.
Ouça agora meu raciocínio. Ouça as súplicas de meus lábios.
7 Je, mtazungumza kwa uovu kwa niaba ya Mungu? Je, mtazungumza kwa udanganyifu kwa niaba yake?
Você falará sem retidão por Deus, e falar enganosamente por ele?
8 Mtamwonyesha upendeleo? Mtamtetea Mungu kwenye mashtaka yake?
Você vai demonstrar parcialidade com ele? Você vai lutar por Deus?
9 Je, ingekuwa vyema Mungu akiwahoji ninyi? Je, mngeweza kumdanganya kama ambavyo mngeweza kuwadanganya wanadamu?
É bom que ele o procure? Ou como se engana um homem, você o enganará?
10 Hakika angewakemea kama mkiwapendelea watu kwa siri.
Ele certamente irá reprová-lo se você mostrar, secretamente, parcialidade.
11 Je, huo ukuu wake haungewatisha ninyi? Je, hofu yake isingewaangukia ninyi?
Sua majestade não vai fazer você ter medo e seu pavor cai sobre você?
12 Maneno yenu ni mithali za majivu; utetezi wenu ni ngome za udongo wa mfinyanzi.
Your provérbios memoráveis são provérbios de cinzas. Suas defesas são defesas de barro.
13 “Nyamazeni kimya nipate kusema; kisha na yanipate yatakayonipata.
“Fique em silêncio! Deixe-me em paz, para que eu possa falar. Venha sobre mim o que quiser.
14 Kwa nini nijiweke mwenyewe kwenye hatari na kuyaweka maisha yangu mikononi mwangu?
Por que eu deveria levar minha carne nos dentes? e colocar minha vida na minha mão?
15 Ingawa ataniua, bado nitamtumaini; hakika nitazitetea njia zangu mbele zake.
Eis que ele vai me matar. Eu não tenho esperança. No entanto, vou manter meus caminhos diante dele.
16 Naam, hili litanigeukia kuwa wokovu wangu, kwa maana hakuna mtu asiyemcha Mungu atakayethubutu kuja mbele yake!
Esta também será minha salvação, que um homem sem Deus não virá antes dele.
17 Sikilizeni maneno yangu kwa makini; nayo masikio yenu yaingize kile nisemacho.
Ouça atentamente o meu discurso. Que minha declaração esteja em seus ouvidos.
18 Sasa kwamba nimekwisha kutayarisha mambo yangu, ninajua mimi nitahesabiwa kuwa na haki.
Veja agora, eu pus a minha causa em ordem. Eu sei que sou justo.
19 Je, kuna yeyote anayeweza kuleta mashtaka dhidi yangu? Kama ndivyo, nitanyamaza kimya na nife.
Quem é aquele que vai contender comigo? Pois então eu me calaria e desistiria do espírito.
20 “Ee Mungu, unijalie tu mimi haya mambo mawili, nami sitajificha uso wako:
“Só não faça duas coisas para mim, então não me esconderei de seu rosto:
21 Ondoa mkono wako uwe mbali nami, nawe uache kuniogofya kwa hofu zako kuu.
withdraw sua mão longe de mim, e não deixe que seu terror me faça ter medo.
22 Niite kwenye shauri nami nitajibu, au niache niseme, nawe upate kujibu.
Em seguida, ligue e eu responderei, ou deixe-me falar, e você me responde.
23 Ni makosa na dhambi ngapi nilizotenda? Nionyeshe kosa langu na dhambi yangu.
Quantas são minhas iniqüidades e meus pecados? Faça-me conhecer minha desobediência e meu pecado.
24 Kwa nini kuuficha uso wako na kunihesabu mimi kuwa adui yako?
Por que você esconde seu rosto? e me considera seu inimigo?
25 Je, utaliadhibu jani lipeperushwalo na upepo? Je, utayasaka makapi makavu?
Você vai assediar uma folha movida? Você vai perseguir o restolho seco?
26 Kwa kuwa unaandika mambo machungu dhidi yangu na kunifanya nizirithi dhambi za ujana wangu.
Para você escrever coisas amargas contra mim, e fazer-me herdar as iniquidades da minha juventude.
27 Umeifunga miguu yangu kwenye pingu. Unazichunga kwa makini njia zangu zote kwa kutia alama kwenye nyayo za miguu yangu.
Você também colocou meus pés no estoque, e marcar todos os meus caminhos. Você se prende às solas dos meus pés,
28 “Hivyo mwanadamu huangamia kama kitu kilichooza, kama vazi lililoliwa na nondo.
embora eu esteja decadente como uma coisa podre, como uma peça de vestuário que é comida por traças.

< Ayubu 13 >