< Ayubu 12 >

1 Ndipo Ayubu akajibu:
Ayub menjawab, "Memang, kamu ini mewakili umat manusia. Jika kamu mati, hikmat akan mati juga.
2 “Bila shaka ninyi ndio watu, nayo hekima itakoma mtakapokufa!
3 Lakini mimi ninao ufahamu kama ninyi; mimi si duni kwenu. Ni nani asiyejua mambo haya yote?
Aku pun manusia yang berakal budi; semua yang kamu katakan itu sudah kumengerti. Lagipula, siapa yang tak tahu semua itu? Jadi, jangan sangka kamu melebihi aku!
4 “Nimekuwa mtu wa kuchekwa na rafiki zangu, ingawa nilimwita Mungu naye akanijibu: mimi ni mtu wa kuchekwa tu, ingawa ni mwadilifu na nisiye na hatia!
Aku ditertawakan teman dan sahabat, padahal aku ini benar dan tanpa cacat. Dahulu Allah menjawab doaku, bilamana aku berseru minta dibantu.
5 Wanadamu wakiwa katika utulivu huwa na dharau kwa wale wenye msiba kana kwamba ndiyo haki ya wale ambao miguu yao inateleza.
Kamu menghina orang celaka, sedang hidupmu aman; orang yang hampir jatuh kamu beri pukulan.
6 Hema za wanyangʼanyi hazisumbuliwi, wale wanaomghadhibisha Mungu wako salama: wale wamchukuao mungu wao mikononi mwao.
Tetapi hidup perampok tidak terancam; orang yang berani menentang Allah, hidup tentram. Padahal dewa yang menjadi andalan mereka, hanyalah kekuatan sendiri saja.
7 “Lakini ulizeni wanyama, nao watawafundisha, au ndege wa angani, nao watawaambia;
Bertanyalah kepada burung dan binatang lainnya maka kamu akan diberi pengajaran oleh mereka.
8 au zungumzeni na dunia, nayo itawafundisha, au acheni samaki wa baharini wawape taarifa.
Mintalah keterangan kepada makhluk di bumi dan di lautan, maka kamu akan menerima penjelasan.
9 Ni nani miongoni mwa hawa wote asiyejua kwamba mkono wa Bwana ndio uliofanya hili?
Siapa di antara semua itu tidak menyadari, bahwa pencipta mereka adalah Allah sendiri?
10 Mkononi mwake kuna uhai wa kila kiumbe, na pumzi ya wanadamu wote.
Dia mengatur hidup segala makhluk yang ada; Dia berkuasa atas nyawa setiap manusia.
11 Je, sikio haliyajaribu maneno kama vile ulimi uonjavyo chakula?
Seperti lidahku suka mengecap makanan yang nyaman, begitulah telingaku suka mendengar perkataan.
12 Je, hekima haipatikani katikati ya wazee? Je, maisha marefu hayaleti ufahamu?
Kabarnya, hikmat ada pada orang yang tinggi umurnya, tapi hikmat dan kekuatan ada pada Allah saja. Konon pengertian ada pada orang yang lanjut usia, namun pengertian dan wewenang ada pada Allah jua!
13 “Hekima na nguvu ni vya Mungu; shauri na ufahamu ni vyake yeye.
14 Kile anachokibomoa hakiwezi kujengeka tena; mtu aliyefungiwa naye hawezi kufunguliwa.
Apa yang dibongkar-Nya tak dapat dibangun lagi siapa yang ditawan-Nya tak dapat bebas kembali.
15 Akizuia maji, huwa pana ukame; akiyaachia maji, huharibu nchi.
Ia membendung air, maka kering dan tandus semuanya; Ia melepaskannya mengalir, maka banjir melanda!
16 Kwake kuna nguvu na ushindi; adanganywaye na adanganyaye, wote wawili ni wake.
Allah itu kuat, tangguh dan jaya! Si penipu dan yang tertipu ada di bawah kekuasaan-Nya.
17 Yeye huwaondoa washauri wakiwa wametekwa nyara, naye huwapumbaza wanaotoa maamuzi.
Dicabut-Nya hikmat para penguasa pemerintahan, dan para pemimpin dijadikan-Nya bahan tertawaan.
18 Huondoa pingu zilizofungwa na wafalme, na kuwafunga mishipi ya kiunoni.
Digulingkan-Nya raja dan ditawan-Nya mereka;
19 Huwaondoa makuhani wakiwa wametekwa nyara, na kuwaangusha waliojiimarisha muda mrefu.
direndahkan-Nya imam-imam dan para pemuka.
20 Hunyamazisha midomo ya washauri wanaoaminika, na kuondoa busara ya wazee.
Dibungkam-Nya orang yang fasih bicara, dicabut-Nya hikmat orang-orang tua.
21 Huwamwagia dharau wanaoheshimika, na kuwavua silaha wenye nguvu.
Dipermalukan-Nya orang yang terkemuka; diambil-Nya kedaulatan mereka yang berkuasa.
22 Hufunua mambo ya ndani ya gizani, na kuyaleta nuruni yale yaliyositirika sana.
Diterangi-Nya tempat-tempat yang suram; disinari-Nya bayangan-bayangan hitam kelam.
23 Huyafanya mataifa yatukuke na kuyaangamiza; hufanya mataifa kuwa makubwa, naye huyatawanya.
Bangsa-bangsa dibuat-Nya berkembang dan makmur, lalu dibinasakan-Nya mereka sampai hancur.
24 Huwaondolea viongozi wa nchi akili zao; huwapeleka watangetange nyikani pasipo na njia.
Dijadikan-Nya para pemimpin kebingungan, sehingga mereka mengembara tanpa tujuan.
25 Hupapasa gizani pasipokuwa na mwanga; huwafanya wapepesuke kama walevi.
Mereka meraba-raba di dalam kegelapan, dan terhuyung-huyung bagai orang mabuk minuman.

< Ayubu 12 >