< Ayubu 12 >

1 Ndipo Ayubu akajibu:
Yoube da amane sia: i,
2 “Bila shaka ninyi ndio watu, nayo hekima itakoma mtakapokufa!
“Dafawane! Dilia da dunu huluane ilia lafi agoai gala! Dilia da bogosea, asigi dawa: su noga: idafa amolawane da bogoi dialebe ba: mu!
3 Lakini mimi ninao ufahamu kama ninyi; mimi si duni kwenu. Ni nani asiyejua mambo haya yote?
Be na asigi dawa: su da dilia asigi dawa: su defele gala. Dilia hou da na hou hame baligisa. Dilia waha sia: be amo dunu huluane ilia dawa:
4 “Nimekuwa mtu wa kuchekwa na rafiki zangu, ingawa nilimwita Mungu naye akanijibu: mimi ni mtu wa kuchekwa tu, ingawa ni mwadilifu na nisiye na hatia!
Be wali na na: iyadodafa amolawane ilia naba: le habosesele oufesega: sa. Be na hou da moloidafa amola na da wadela: le hamosu hame dawa: Be musa: , Gode da na sia: ne gadosu nabane, adole iasu.
5 Wanadamu wakiwa katika utulivu huwa na dharau kwa wale wenye msiba kana kwamba ndiyo haki ya wale ambao miguu yao inateleza.
Dilia da bidi hamosu hame dawa: Be dilia da nama habosesele oufesega: sa. Dilia da dunu amo da dafamu gadenei, amo fasa.
6 Hema za wanyangʼanyi hazisumbuliwi, wale wanaomghadhibisha Mungu wako salama: wale wamchukuao mungu wao mikononi mwao.
Wamolasu dunu amola Gode Ea hou hame lalegagui dunu ilia ‘gode’ da ilila: gasa fawane. Be ilia da osobo bagadega olofoiwane esala.
7 “Lakini ulizeni wanyama, nao watawafundisha, au ndege wa angani, nao watawaambia;
Be sio fi amola ohe fi da dilima olelemusa: dawa:
8 au zungumzeni na dunia, nayo itawafundisha, au acheni samaki wa baharini wawape taarifa.
Dilia osobo bagadega amola hano wayabo bagadega esalebe liligi, amo ilia da dilima olelema: ne, adole ba: mu da defea.
9 Ni nani miongoni mwa hawa wote asiyejua kwamba mkono wa Bwana ndio uliofanya hili?
Ilia huluane da Hina Gode da ili hamoi, amo dawa:
10 Mkononi mwake kuna uhai wa kila kiumbe, na pumzi ya wanadamu wote.
Gode Hi fawane da Ea hamoi liligi huluane, ilia esalusu ouligisa. Dunu huluane ilia esalusu da Ea gasaha diala.
11 Je, sikio haliyajaribu maneno kama vile ulimi uonjavyo chakula?
Be dilia! Dilia gona: su da ha: i manu ea hedai hahawane naba. Amo defele, dilia ge da udigili sia: dabe hahawane naba.
12 Je, hekima haipatikani katikati ya wazee? Je, maisha marefu hayaleti ufahamu?
13 “Hekima na nguvu ni vya Mungu; shauri na ufahamu ni vyake yeye.
Da: i hamoi dunu ilia da asigi dawa: su bagade gala. Be Gode da asigi dawa: su bagadedafa amola gasa bagade gala. E da Ea hawa: hamomu defele, gasa bagadedafa gala.
14 Kile anachokibomoa hakiwezi kujengeka tena; mtu aliyefungiwa naye hawezi kufunguliwa.
Gode da dunu ilia gagui liligi mugulusia, nowa da bu gaguma: bela: ? Gode da dunu amo se iasu diasu ganodini sanasisia, nowa da amo se iasu diasu logo doasima: bela: ?
15 Akizuia maji, huwa pana ukame; akiyaachia maji, huharibu nchi.
Gode da gibu dabe logo ga: sisia, ha: bagade ba: sa. E da gibu bagade iasisia, hano da bagadewane heda: le, osobo dedebosa.
16 Kwake kuna nguvu na ushindi; adanganywaye na adanganyaye, wote wawili ni wake.
Gode da gasa bagade amola E da Ea ha lai dunu eso huluane hasala. Ogogosu dunu amola dunu ilima ilia ogogoi, ilia gilisili Gode Ea gasaha esalebe.
17 Yeye huwaondoa washauri wakiwa wametekwa nyara, naye huwapumbaza wanaotoa maamuzi.
Gode da ouligisu dunu ilia asigi dawa: su samogesa. E da bagade dawa: su ouligisu dunu ilia hou afadenene, amasea ilia da gagaoui dunu agoai hamosa.
18 Huondoa pingu zilizofungwa na wafalme, na kuwafunga mishipi ya kiunoni.
E da hina bagade dunu ilia ouligibi fadegale, ili se iasu diasu ganodini sala.
19 Huwaondoa makuhani wakiwa wametekwa nyara, na kuwaangusha waliojiimarisha muda mrefu.
E da gobele salasu dunu amola gasa bagade dunu, ilia hou fonobosa.
20 Hunyamazisha midomo ya washauri wanaoaminika, na kuondoa busara ya wazee.
Osobo bagade dunu da eno dunu ilia hou dafawaneyale dawa: be. Be Gode da amo dunu ouiya: ma: ne, ilia lafi ga: sisa. E da da: i hamoi dunu ilia bagade dawa: su hou samogesa.
21 Huwamwagia dharau wanaoheshimika, na kuwavua silaha wenye nguvu.
E da gasa bagade ouligisu dunu gogosiama: ne hamosa, amola ilia gasa bagade hou hedofasa.
22 Hufunua mambo ya ndani ya gizani, na kuyaleta nuruni yale yaliyositirika sana.
E da gasi bagade sogebi amoga hadigi iasisa.
23 Huyafanya mataifa yatukuke na kuyaangamiza; hufanya mataifa kuwa makubwa, naye huyatawanya.
E da fifi asi gala amo gasa bagade heda: ma: ne hamosa. Amalalu, E da amo fifi asi gala hasalasili, ili gugunufinisisa.
24 Huwaondolea viongozi wa nchi akili zao; huwapeleka watangetange nyikani pasipo na njia.
25 Hupapasa gizani pasipokuwa na mwanga; huwafanya wapepesuke kama walevi.
E da ilia ouligisu dunu gagaoui dunu agoane hamosa. Amasea, ilia da udigili doulasili, gasi ganodini adini ba: i dunu defele feloasa.

< Ayubu 12 >