< Ayubu 10 >
1 “Nayachukia sana haya maisha yangu; kwa hiyo nitatoa malalamiko yangu kwa wazi bila kujizuia, nami nitanena kutokana na uchungu wa moyo wangu.
Mana dvēsele apnikusi dzīvot; savas vaimanas es neaizturēšu, es runāšu savas dvēseles rūgtumā.
2 Nitamwambia Mungu: Usinihukumu, bali niambie una mashtaka gani dhidi yangu.
Es sacīšu uz Dievu: nepazudini mani, dod man zināt, kāpēc Tu ar mani tiesājies.
3 Je, inakupendeza wewe kunionea, kuikataa kwa dharau kazi ya mikono yako, huku wewe ukitabasamu juu ya mipango ya waovu?
Vai Tev patīk varas darbu darīt, atmest Savas rokas darbu un bezdievīgo padomam dot spožumu;
4 Je, wewe una macho ya kimwili? Je, wewe huona kama mwanadamu aonavyo?
Vai Tev ir miesīgas acis, vai Tu redzi, kā cilvēks redz?
5 Je, siku zako ni kama zile za mwanadamu, au miaka yako ni kama ile ya mtu,
Vai Tavas dienas ir kā cilvēka dienas un Tavi gadi kā kāda vīra dienas,
6 ili kwamba utafute makosa yangu na kuichunguza dhambi yangu;
Ka Tu manu noziegumu meklē un vaicā pēc maniem grēkiem,
7 ingawa wajua kuwa mimi sina hatia, na hakuna awezaye kunitoa mkononi mwako?
Lai gan Tu zini, ka es bezdievīgs neesmu, un ka neviena nav, kas no Tavas rokas izglābj,
8 “Mikono yako ndiyo iliyoniumba na kunifanya. Je, sasa utageuka na kuniangamiza?
Tavas rokas mani sataisījušas un darījušas, kāds es viscaur esmu, un tomēr Tu mani aprij.
9 Kumbuka kuwa ulinifinyanga kama udongo wa mfinyanzi. Je, sasa utanifanya kuwa mavumbi tena?
Piemini jel, ka Tu mani kā mālu esi taisījis, vai Tu mani atkal darīsi par pīšļiem?
10 Je, wewe hukunimimina mimi kama maziwa, na kunigandisha kama jibini,
Vai Tu mani neesi izlējis kā pienu, un man licis sarikt kā sieram?
11 ukanivika ngozi na nyama, na kuniunga pamoja kwa mifupa na mishipa?
Ar ādu un miesu Tu mani esi apģērbis, ar kauliem un dzīslām mani salaidis!
12 Umenipa uhai na kunitendea wema, katika uangalizi wako umeilinda roho yangu.
Dzīvību un žēlastību Tu man esi devis, un Tavas acis sargāja manu dvēseli.
13 “Lakini hili ndilo ulilolificha moyoni mwako, nami ninajua kuwa hili lilikuwa katika nia yako:
Un to Tu Savā sirdī esi slēpis, es zinu, ka tas Tev prātā stāvēja.
14 Kama nilifanya dhambi, ungekuwa umeniona, wala usingeacha kosa langu lipite bila kuadhibiwa.
Kad es grēkoju, tad Tu to gribēji pieminēt un mani neatlaist no maniem noziegumiem.
15 Kama nina hatia, ole wangu! Hata kama ningekuwa sina hatia, siwezi kukiinua kichwa changu, kwa kuwa nimejawa na aibu, na kuzama katika mateso yangu.
Ja es bezdievīgs biju, ak vai, man! Bet ja biju taisns, taču man nebija galvu pacelt, ar lielu kaunu ieraugot savas bēdas.
16 Kama nikiinua kichwa changu juu, unaninyatia kama simba, na kuonyesha tena uwezo wa kutisha dhidi yangu.
Un ja es galvu paceļu, kā lauva Tu mani gribēji vajāt, un arvien atkal brīnišķi pret mani rādīties,
17 Wewe waleta mashahidi wapya dhidi yangu na kuzidisha hasira yako juu yangu; nazo nguvu zako zinanijia wimbi moja baada ya jingine.
Pret mani vest Savus lieciniekus citus par citiem un vairot Savu dusmību pret mani, celt pret mani vienu kara spēku pēc otra.
18 “Kwa nini basi ulinitoa tumboni? Ninatamani ningekufa kabla jicho lolote halijaniona.
Kāpēc tad Tu mani esi izvedis no mātes miesām? Kaut es būtu nomiris un neviena acs mani nebūtu redzējusi,
19 Laiti nisingekuwako kamwe, au ningekuwa nimechukuliwa moja kwa moja kutoka tumboni kwenda kaburini!
Tad es būtu kā kas mūžam nav bijis, no mātes miesām es būtu kapā guldīts.
20 Je, siku zangu chache si zimekaribia kuisha? Niachie ili niweze kupata muda mfupi wa kufurahi
Vai nav īss mans mūžs? Mities jel, atstājies no manis, ka es maķenīt atspirgstos,
21 kabla sijaenda mahali ambapo hakuna kurudi tena, katika nchi ya giza na uvuli wa mauti,
Pirms es noeju, un vairs neatgriežos, uz tumsības un nāves ēnas zemi,
22 nchi ya giza kuu sana, yenye uvuli wa giza na machafuko, mahali ambapo hata nuru ni giza.”
Uz zemi, kur bieza tumsība kā pusnakts, kur nāves ēna un nekāda skaidrība, un kur gaisma ir kā tumsība.