< Ayubu 10 >

1 “Nayachukia sana haya maisha yangu; kwa hiyo nitatoa malalamiko yangu kwa wazi bila kujizuia, nami nitanena kutokana na uchungu wa moyo wangu.
Ka hingnah soah ka hinglu loh a ko-oek coeng. Ka kohuetnah he kamah taengah ka sah tih ka hinglu a khahing hil ka thui.
2 Nitamwambia Mungu: Usinihukumu, bali niambie una mashtaka gani dhidi yangu.
Pathen taengah, “Kai m'boe sak boeh, balae tih kai nan ho, kai m'ming sak.
3 Je, inakupendeza wewe kunionea, kuikataa kwa dharau kazi ya mikono yako, huku wewe ukitabasamu juu ya mipango ya waovu?
Na kut thaphu na hnawt vaengah halang kah cilsuep dongah na sae tih na hnaemtaek te nang ham then a?
4 Je, wewe una macho ya kimwili? Je, wewe huona kama mwanadamu aonavyo?
Hlanghing he na sawt tih na hmuh bangla nang taengah pumsa mik om a?
5 Je, siku zako ni kama zile za mwanadamu, au miaka yako ni kama ile ya mtu,
Na khohnin he hlanghing khohnin bangla, na kum khaw hlang khohnin bangla om a?
6 ili kwamba utafute makosa yangu na kuichunguza dhambi yangu;
Te dongah kai kathaesainah te na tlap tih ka tholhnah hnukah nan toem.
7 ingawa wajua kuwa mimi sina hatia, na hakuna awezaye kunitoa mkononi mwako?
Ka boe pawt tih na kut lamloh a huul thai pawt te na mingnah dongah om pataeng.
8 “Mikono yako ndiyo iliyoniumba na kunifanya. Je, sasa utageuka na kuniangamiza?
Na kut loh kai n'noih pai tih thikat la kai n'saii akhaw kai nan dolh pawn ni.
9 Kumbuka kuwa ulinifinyanga kama udongo wa mfinyanzi. Je, sasa utanifanya kuwa mavumbi tena?
Amlai bangla kai nan saii tih laipi la kai nan mael sak te poek mai lah.
10 Je, wewe hukunimimina mimi kama maziwa, na kunigandisha kama jibini,
Suktui bangla kai nan sui tih sukkhal bangla kai nan khal sak moenih a?
11 ukanivika ngozi na nyama, na kuniunga pamoja kwa mifupa na mishipa?
Kai he ka vin ka saa neh nan dah tih ka rhuh neh tharhui neh nan cun.
12 Umenipa uhai na kunitendea wema, katika uangalizi wako umeilinda roho yangu.
Hingnah neh sitlohnah te kai taengah nan khueh tih ka mueihla loh na ngoldoelh a ngaithuen.
13 “Lakini hili ndilo ulilolificha moyoni mwako, nami ninajua kuwa hili lilikuwa katika nia yako:
Tedae na thinko ah na khoem he na khuiah tila ka ming.
14 Kama nilifanya dhambi, ungekuwa umeniona, wala usingeacha kosa langu lipite bila kuadhibiwa.
Ka tholh sitoe cakhaw kai nan ngaithuen dongah kai kathaesainah lamloh kai nan hmil moenih.
15 Kama nina hatia, ole wangu! Hata kama ningekuwa sina hatia, siwezi kukiinua kichwa changu, kwa kuwa nimejawa na aibu, na kuzama katika mateso yangu.
Ya-oe kai he ka boe akhaw, ka tang akhaw ka lu ka dangrhoek moenih. Yah ka hah tih ka phacip phabaem loh n'yan.
16 Kama nikiinua kichwa changu juu, unaninyatia kama simba, na kuonyesha tena uwezo wa kutisha dhidi yangu.
Sathuengca bangla a phul atah kai nan mae tih kai taengah khobaerhambae la na mael.
17 Wewe waleta mashahidi wapya dhidi yangu na kuzidisha hasira yako juu yangu; nazo nguvu zako zinanijia wimbi moja baada ya jingine.
Na laipai neh kai hmai ah nan tlaih tih kai taengah na konoinah na hong. Thovaelnah neh caempuei la kai taengah na pai.
18 “Kwa nini basi ulinitoa tumboni? Ninatamani ningekufa kabla jicho lolote halijaniona.
Balae tih bung khui lamloh loh kai nan poh. Ka pal palueng vetih mik loh kai m'hmu pawt mako.
19 Laiti nisingekuwako kamwe, au ningekuwa nimechukuliwa moja kwa moja kutoka tumboni kwenda kaburini!
A om khaw a om pawt bangla bungko lamloh phuel la n'khuen.
20 Je, siku zangu chache si zimekaribia kuisha? Niachie ili niweze kupata muda mfupi wa kufurahi
Ka khohnin he bawn tih a muei la a muei moenih a? Kai lamkah he na dueh na dueh vetih ka ngaidip laem mako.
21 kabla sijaenda mahali ambapo hakuna kurudi tena, katika nchi ya giza na uvuli wa mauti,
Ka caeh hlan vaengah hmaisuep khohmuen neh dueknah hlipkhup la ka mael pawt mako.
22 nchi ya giza kuu sana, yenye uvuli wa giza na machafuko, mahali ambapo hata nuru ni giza.”
khoyinnah kho tah dueknah hlipkhup a hmuep bangla om tih cikngae pawh. Te dongah a hmuep la sae,’ ka ti ni,” a ti.

< Ayubu 10 >