< Yeremia 9 >
1 Laiti kichwa changu kingekuwa chemchemi ya maji na macho yangu yangekuwa kisima cha machozi! Ningelia usiku na mchana kwa kuuawa kwa watu wangu.
Na dialuma da si hano amoga nabai ganumu da defea. Amola na si da si hano amoga nabale bubuga: mu da defea. Amai galea, na da eso amola gasia mae fisili, na fi dunu medole legei amo dawa: ma: ne dinanumu defele ba: mu.
2 Laiti ningekuwa na nyumba ya kukaa wasafiri jangwani, ningewaacha watu wangu na kwenda mbali nao, kwa kuwa wote ni wazinzi, kundi la watu wadanganyifu.
Na da hafoga: i sogega wamoaligisu sogebi lamu hanai gala. Amoga, na da na fi dunu yolesili masunu da defea. Bai na fi dunu huluane da molole fa: no bobogesu hou hame dawa: Ilia huluane da hohonosu dunu.
3 “Huweka tayari ndimi zao kama upinde, ili kurusha uongo; wamekuwa na nguvu katika nchi lakini si katika ukweli. Wanatoka dhambi moja hadi nyingine, hawanitambui mimi,” asema Bwana.
Ilia da eso huluane ogogomusa: ouesala. Moloidafa hou hame be ogogosu hou fawane da amo soge ouligisa. Hina Gode da amane sia: sa, “Na fi dunu da wadela: i hou afae hamone, bu wadela: i hou eno hamonana. Ilia da Na da ilia Gode hame ilegesa.”
4 “Jihadhari na rafiki zako; usiwaamini ndugu zako. Kwa kuwa kila ndugu ni mdanganyifu, na kila rafiki ni msingiziaji.
Hohonosu hou da bagade. Amaiba: le, dunu huluane afae afae da ea sama amola ea yolali ilia hou dafawaneyale hame dawa: sa. Yolali fi huluane da Ya: igobe defele, ogogosu dawa: Amola dunu huluane da ea na: iyado ea hou baligiduwane sia: sa.
5 Rafiki humdanganya rafiki, hakuna yeyote asemaye kweli. Wamefundisha ndimi zao kudanganya, wanajichosha wenyewe katika kutenda dhambi.
6 Unakaa katikati ya udanganyifu; katika udanganyifu wao wanakataa kunitambua mimi,” asema Bwana.
Ilia da ilia sama dunu huluane ilima ogogosa. Amola ilia moloidafa sia: mu hame dawa: Ilia da ogogole sia: ma: ne, ilia gona: su noga: le olelesa, amola ilia wadela: i hou hamonana amo yolesimu ilia hame dawa: Ilia da nimi bagade fasu hou hamonana, amola ogogosu hou hamonana. Hina Gode da amane sia: sa, “Na fi dunu da Na higale yolesi dagoi.”
7 Kwa hiyo hili ndilo asemalo Bwana Mwenye Nguvu Zote: “Tazama, nitawasafisha na kuwajaribu, kwani ni nini kingine niwezacho kufanya kwa sababu ya dhambi ya watu wangu?
Amaiba: le, Hina Gode Bagadedafa da amane sia: sa, “Na da Na fi dunu ouli adoba: su hou defele, ili adoba: mu. Bai Na fi dunu da wadela: i hou hamoi dagoi. Amaiba: le, Na da adoba: su hou fawane ilima hamomu.
8 Ndimi zao ni mshale wenye sumu, hunena kwa udanganyifu. Kwa kinywa chake kila mmoja huzungumza maneno mazuri na jirani yake, lakini moyoni mwake humtegea mtego.
Ilia gona: su da medole legesu dadi ganisi defele gala. Ilia da mae fisili, ogogolala. Dunu huluane da ea na: iyadoma asigi sia: sa. Be e da asigi hame - e da ea na: iyado hohonomusa: dawa:
9 Je, nisiwaadhibu kwa ajili ya jambo hili?” asema Bwana. “Je, nisijilipizie kisasi kwa taifa kama hili?”
Na da ilima se ima: bela: ? Na da ilia wadela: i hou hamoi, amoma dabe ima: bela: ? Dafawane! Na da se ilima imunu. Na, Hina Gode, da sia: i dagoi.”
10 Nitalia na kuomboleza kwa ajili ya milima na kuomboleza kuhusu malisho ya jangwani. Yamekuwa ukiwa, wala hakuna apitaye humo, milio ya ngʼombe haisikiki. Ndege wa angani wametoroka na wanyama wamekimbia.
Na (Yelemaia) da amane sia: i, “Na da dimu amola didigia: mu. Bai gisi da bioi dagoi amola goumi da wadela: lesi, amola amo sogega, dunu eno da hame ahoa. Wali ohe fi ilia sia: da hame naba amola sio fi amola sigua ohe huluane da hobea: i dagoi.”
11 “Nitaifanya Yerusalemu lundo la magofu, makao ya mbweha; nami nitaifanya miji ya Yuda kuwa ukiwa ili asiwepo atakayeishi humo.”
Hina Gode da amane sia: sa, “Na da Yelusaleme mugululi, e da isu ligisisu bi defele ba: mu. Amo ganodini, sigua wa: me fawane da esalumu. Yuda moilai bai bagade huluane da hafoga: i wadela: i soge ba: mu amola amo ganodini, dunu da hamedafa esalumu.”
12 Ni mtu yupi aliye na hekima ya kutosha ayaelewe haya? Ni nani aliyefundishwa na Bwana awezaye kuyaeleza haya? Kwa nini nchi imeharibiwa na kufanywa ukiwa kama jangwa ambapo hakuna awezaye kupita?
Na da amane adole ba: i, “Hina Gode! Soge da abuliba: le hafoga: i amola wadela: lesi dagoiba: le, dunu huluane da amoga hame ahoa? Amo bai dawa: ma: ne, dunu huluane ilia asigi dawa: su da defele hame. Di da amo ea bai nowama olelebela: ? Dunu afae da eno dunuma alofele olelema: ne, Di da nowama adobela: ?”
13 Bwana akasema, “Ni kwa sababu wameiacha sheria yangu, niliyoiweka mbele yao: hawajaniheshimu mimi wala kufuata sheria yangu.
Hina Gode da amane bu adole i, “Na fi dunu da Na olelesu amo fisi dagoiba: le, amo hou da ilima doaga: i. Ilia da Na sia: nabawane hame hamosu.
14 Badala yake wamefuata ukaidi wa mioyo yao, wamefuata Mabaali, kama vile baba zao walivyowafundisha.”
Be ilia dogo da ga: nasi hamone, ilia da ilia eda ilia olelesu defele, Ba: iele ogogosu loboga hamoi ogogosu ‘gode’ ilima nodone sia: ne gadolalusu.
15 Kwa hiyo, hivi ndivyo asemavyo Bwana Mwenye Nguvu Zote, Mungu wa Israeli: “Tazama, nitawafanya watu hawa wale chakula kichungu na kunywa maji yenye sumu.
Amaiba: le nabima! Na, Hina Gode Bagadedafa, Isala: ili fi ilia Gode, Na da agoane hamomu. Na da Na fi ilima gamogai ha: i manu imunu, amola wadela: i medosu hano ili moma: ne imunu.
16 Nitawatawanya katika mataifa ambayo wao wala baba zao hawakuwajua, nikiwafuata kwa upanga mpaka niwe nimewaangamiza kabisa.”
Ilia da fifi asi gala amo ilia amola ilia aowalalia da musa: hamedafa dawa: i, amo ganodini esaloma: ne, Na da ili afagogomu. Amola ili dafawanedafa wadela: lesima: ne, Na da dadi gagui wa: i gilisi ilima doagala: ma: ne asunasimu.”
17 Hivi ndivyo asemavyo Bwana Mwenye Nguvu Zote: “Fikiri sasa! Waite wanawake waombolezao waje, waite wale walio na ustadi kuliko wote.
Hina Gode Bagadedafa da amane sia: i, “Wali manebe hou dawa: ma! Didigia: su dawa: uda amo didigia: su gesami hea: lala, amo misa: ne sia: ma!
18 Nao waje upesi na kutuombolezea, mpaka macho yetu yafurike machozi na vijito vya maji vitoke kwenye kope zetu.
Yuda dunu ilia da amane sia: i, “Ilia hedolo misini, ninima idigisa gesami hea: ma: ne sia: ma! Amasea, ninia si da si hanoga nabai amola ninia si abo dibi amoga si abo nanegai ba: mu.”
19 Sauti ya kuomboleza imesikika kutoka Sayuni: ‘Tazama jinsi tulivyoangamizwa! Tazama jinsi aibu yetu ilivyo kubwa! Ni lazima tuihame nchi yetu kwa sababu nyumba zetu zimekuwa magofu.’”
Saione sogega, didigia: su bagade nabima! “Ninia da wadela: lesi dagoi! Ninia da dafawanedafa gogosiasu nabi dagoi. Ninia soge yolesimu. Bai ninia diasu huluane da mugululi, wadela: lesi dagoi.”
20 Basi, enyi wanawake, sikieni neno la Bwana; fungueni masikio yenu msikie maneno ya kinywa chake. Wafundisheni binti zenu kuomboleza; fundishaneni kila mmoja na mwenzake maombolezo.
Na da amane sia: i, “Dilia uda! Hina Gode Ea sia: nabima amola noga: le dawa: digima! Dilia idiwi ilima da: i dioi didigia: su hou olelema! Amola dilia na: iyado ilima idigisa gesami hea: su olelema.
21 Mauti imeingia ndani kupitia madirishani, imeingia kwenye majumba yetu ya fahari; imewakatilia mbali watoto katika barabara na vijana waume kutoka viwanja vya miji.
Bogosu da ninia fo misa: ne agenesi amoga golili misi amola ninia hina bagade ilia diasuga golili misi. Ninia mano moilai logoga esalebe amola ayeligi bidi lasu sogebi amoga esala, amoga bogosu da doaga: i dagoi.
22 Sema, “Hili ndilo asemalo Bwana: “‘Maiti za wanaume zitalala kama mavi katika mashamba, kama malundo ya nafaka nyuma ya mvunaji, wala hakuna anayekusanya.’”
Bogoi da: i hodo da iga ligisisu defele soge huluane amoga afagogole dialebe. Bogoi da: i hodo da gagoma amo faisu dunu da udigili damuni, amo defele udigili dialebe ba: sa. Hina Gode da amo sia: dilima alofele sia: ma: ne nama sia: i dagoi.”
23 Hili ndilo asemalo Bwana: “Mwenye hekima asijisifu katika hekima yake, au mwenye nguvu ajisifu katika nguvu zake, wala tajiri ajisifu katika utajiri wake,
Hina Gode da amane sia: sa, “Bagade dawa: su dunu da ilia asigi dawa: su dawa: beba: le, hidale sia: mu da defea hame. Amola gasa bagade dunu ilia gasa dawa: beba: le, hidale sia: mu da defea hame. Amola bagade gagui dunu ilia muni amola liligi dawa: beba: le, hidale sia: mu da defea hame.
24 lakini yeye ajisifuye, na ajisifu kwa sababu hili: kwamba ananifahamu na kunijua mimi, kwamba mimi ndimi Bwana, nitendaye wema, hukumu na haki duniani, kwa kuwa napendezwa na haya,” asema Bwana.
Nowa da hidale sia: musa: dawa: sea, e da Na dawa: amola Na hou dawa: amo fawane hidale sia: mu da defea. Bai Na asigi hou da eso huluane diala. Amola Na da hou moloidafa fawane hamosa. Agoaiwane hou fawane, Na da hahawane ba: sa. Na, Hina Gode, da sia: i dagoi.”
25 “Siku zinakuja, nitakapowaadhibu wale wote ambao wametahiriwa kimwili tu, asema Bwana,
26 yaani Misri, Yuda, Edomu, Amoni, Moabu na wote wanaoishi jangwani sehemu za mbali. Kwa maana mataifa haya yote hayakutahiriwa mioyo yao, nayo nyumba yote ya Israeli haikutahiriwa.”
Hina Gode da amane sia: sa, “Eso da doaga: mu, amoga Na da dunu fi huluane Idibidi, Yuda, Idome, A:mone, Moua: be amola hafoga: i soge esalebe dunu (amo da ilia ogogosu ‘gode’ ilima nodone dawa: ma: ne ilia dialuma hinabo dadamusa) amo dunu huluane ilima se imunu. Amo dunu huluane da ilia gadofo damui dagoi ba: sa. Gadofo damusu da Na Gousa: su amo ea dawa: digima: ne olelesu. Be ilia da Na Gousa: su hamedafa dawa: digisa. Amo dunu huluane amola Isala: ili dunu da Na Gousa: su hamedafa dawa: digisa.”