< Yeremia 8 >

1 “‘Wakati huo, asema Bwana, mifupa ya wafalme na maafisa wa Yuda, mifupa ya makuhani na manabii, na mifupa ya watu wa Yerusalemu itaondolewa kutoka makaburi yao.
Hina Gode da eno amane sia: i, “Amo esoha, ilia da hina bagade, eagene ouligisu dunu, gobele salasu dunu, balofede dunu amola dunu eno musa: Yelusaleme ganodini esalu, amo ilia gasa ilia uli dogoiga sali amo hagamu.
2 Itawekwa wazi kwa jua, na mwezi, na nyota zote za mbingu, ambazo walizipenda na kuzitumikia, na ambazo wamezifuata kutafuta ushauri na kuziabudu. Hawatakusanywa pamoja au kuzikwa, lakini watakuwa kama mavi yaliyotapakaa juu ya ardhi.
Ilia gasa da bu mae uli dogole, be iga defele, osoboga afagogole dialebe ba: mu. Ilia da eso amola oubi amola gasumuni ilia midadi afagogole dialebe ba: mu. Bai amo dunu da eso amola oubi amola gasumuni amoma asigisu, amola ilima hawa: hamosu amola ilima adole ba: su amola nodone sia: ne gadosu.
3 Popote nitakapowafukuzia, mabaki wote wa kizazi hiki kiovu watatamani kufa kuliko kuishi, asema Bwana Mwenye Nguvu Zote.’
Amola amo wadela: i fi ilia dunu da mae bogole esalebe ba: sea, da fifi asi gala amoga Na da ili afagogoi, amo ganodini esalumu. Be ilia da baligili da: i dioiba: le, ilia da bogomusa: hanaiwane ba: mu. Na, Hina Gode Bagadedafa, da sia: i dagoi.”
4 “Waambie, ‘Hivi ndivyo asemavyo Bwana: “‘Je, watu wanapoanguka hawainuki? Je, mtu anapopotea harudi?
Hina Gode da nama Yuda fi ilima alofele sia: ma: ne sia: i, “Dunu da dafasea, e da bu wa: legadosala: ? E da bu wa: legadosa! Dunu da logo giadofasea, e da bu sinidigisala: ? Dafawane! E da bu sinidigisa!
5 Kwa nini basi watu hawa walipotea? Kwa nini Yerusalemu inapotea kila mara? Wanangʼangʼania udanganyifu na wanakataa kurudi.
Amaiba: le, Na fi dunu! Dilia da abuliba: le Na yolesili, bu hame sinidigisala: ? Dilia da dilia loboga hamoi ‘gode’ gasawane gagulaligisa, be Nama bu sinidigimu higasa.
6 Nimewasikiliza kwa makini, lakini hawataki kusema lililo sawa. Hakuna anayetubia makosa yake akisema, “Nimefanya nini?” Kila mmoja hufuata njia yake mwenyewe kama farasi anayekwenda vitani.
Na da dilia sia: noga: le nabasu. Be dilia da ogogoi. Dilia huluane da wadela: le hamoi, be dunu afae da gogosiabeba: le, hame sinidigisa. Dunu afae da ‘Na da adi wadela: i hamoi?’ hame adole ba: su. Dunu huluane afae afae da hi hanaiga, hosi da gegemusa: hehenasu defele, hehenasa.
7 Hata korongo aliyeko angani anayajua majira yake yaliyoamriwa, nao njiwa, mbayuwayu na koikoi hufuata majira yao ya kurudi. Lakini watu wangu hawajui Bwana anachotaka kwao.
‘Sidoge’ sio da ea sinidigisu eso noga: le dawa: ‘Dafe’ amola diogonabu amola ‘dalasie’ sio huluane da ilia ga masunu eso noga: le dawa: Be Na fi dunu! Dilia da sema amoga Na da dili ouligimusa: dawa: , amo dilia hame dawa:
8 “‘Mwawezaje kusema, “Sisi tuna busara kwa sababu tunayo sheria ya Bwana,” wakati ambapo kwa hakika kalamu ya uongo ya waandishi imeandika kwa udanganyifu?
Dilia da habodane, dilia da asigi dawa: su bagade gala amola Na sema huluane noga: le dawa: , amane sia: sala: ? Ba: ma: i! Ogogosu sema dedesu dunu da Na sema amo afadenei dagoi.
9 Wenye hekima wataaibika, watafadhaika na kunaswa. Kwa kuwa wamelikataa neno la Bwana, hiyo hekima waliyo nayo ni ya namna gani?
Dilia bagade asigi dawa: su dunu da gogosiasu lai dagoi. Ilia da ededenagia: i. Amola ilia da fedege agoane sani ganodini sa: i dagoi. Ilia da Na sia: yolesi dagoiba: le, hame dawa: su dunu agoai ba: sa.
10 Kwa hiyo nitawapa watu wengine wake zao, na mashamba yao kwa wamiliki wengine. Kuanzia aliye mdogo kabisa hadi aliye mkubwa kabisa, wote wana tamaa ya kupata zaidi; manabii na makuhani wanafanana, wote wanafanya udanganyifu.
Amaiba: le, Na da ilia soge amola ilia uda amo eno dunuma imunu. Dunu huluane, bagade amola fonobahadi, da muni ogogole lamusa: hanai gala. Balofede dunu amola gobele salasu dunu da dunu eno ilima ogogole muni laha.
11 Wanafunga majeraha ya watu wangu bila uangalifu. Wanasema, “Amani, amani,” wakati hakuna amani.
Na fi dunu da bagadewane fafa: ginisi dagoi. Be ouligisu dunu da amo fa: gi fonobahadidafa agoane ba: sa. ‘Hou huluane da defea!’ ilia da sia: sa. Be hou huluane da defea hame.
12 Je, wanaona aibu kwa ajili ya tabia yao inayochukiza mno? Hapana, hawana aibu hata kidogo, hawajui hata kuona haya. Kwa hiyo wataanguka miongoni mwa hao walioanguka, watashushwa chini watakapoadhibiwa, asema Bwana.
Na fi dunu! Dilia da amo wadela: idafa hou hamobeba: le, gogosiabela: ? Hame mabu! Dilia da hamedafa gogosia: i. Dilia da gogosiane dialuma fili dasu hame dawa: Amaiba: le, dilia da eno dunu ilia dafasu defele dafamu. Na da dilima se iasea, dilia da wadela: lesili, hamedafa ba: mu. Na, Hina Gode, da sia: i dagoi.
13 “‘Nitayaondoa mavuno yao, asema Bwana. Hapatakuwepo zabibu kwenye mzabibu. Hapatakuwepo na tini kwenye mtini, majani yake yatanyauka. Kile nilichowapa watanyangʼanywa.’”
Dunu da ea ha: i manu faisia, gagadosa, amo defele Na da Na fi dunu gagadomusa: dawa: iou. Be ilia da waini efe fage hame gala, amola figi ifa fage hame gala, agoai ba: sa. Lubi huluane amola da bioi dagoi. Amaiba: le, ga fi dunu ilia soge lama: ne, Na da logo doasi dagoi.”
14 “Kwa nini tunaketi hapa? Kusanyikeni pamoja! Tukimbilie kwenye miji yenye maboma, tukaangamie huko! Kwa kuwa Bwana, Mungu wetu ametuhukumu kuangamia, na kutupa maji yenye sumu tunywe, kwa sababu tumemtenda dhambi.
Gode Ea fi dunu da amane adole ba: sa, “Ninia abuliba: le udigili fi esalabala? Hadiga! Ninia da gasa bagade gagili moilai bai bagadega hobeale, amogai bogomu da defea. Ninia Hina Gode da nini bogoma: ne ilegei dagoi. Ninia da Ema wadela: le hamoiba: le, E da wadela: i medosu hano ninia da: gima: ne, ninima i dagoi.
15 Tulitegemea amani, lakini hakuna jema lililokuja, tulitegemea wakati wa kupona, lakini kulikuwa hofu tu.
Ninia da olofosu hou amola uhinisisu hou amo da misunu hanai galu. Be beda: su fawane doaga: i.
16 Mkoromo wa farasi za adui umesikika kuanzia Dani, kwa mlio wa madume yao ya farasi, nchi yote inatetemeka. Wamekuja kuangamiza nchi na vyote vilivyomo, mji na wote waishio ndani yake.”
Ninia ha lai da Da: ne moilai bai bagade amo ganodini esalebe. Ninia da ilia hosi gogosu sia: naba. Ilia hosiga gona: bega: soge huluane da fofogosa. Ninia ha lai da ninia moilai amola liligi huluane amo ganodini diala amola ninia fi dunu huluane amo wadela: musa: misi dagoi.”
17 “Tazama, nitatuma nyoka wenye sumu kali katikati yenu, fira ambao hawawezi kulogwa, nao watawauma,” asema Bwana.
Hina Gode da amane sia: sa, “Dawa: ma: i! Na da wadela: i defo hano sania dilima asula ahoa. Ilia da dili gasomanu amola dilia da dawa: hou amoga ilia logo hedofamu hamedei ba: mu.”
18 Ee Mfariji wangu katika huzuni, moyo wangu umezimia ndani yangu.
Na da: i diosu da uhimu hame gala. Na da na dogoga oloi bagade.
19 Sikia kilio cha watu wangu kutoka nchi ya mbali: “Je, Bwana hayuko Sayuni? Je, Mfalme wake hayuko tena huko?” “Kwa nini wamenikasirisha kwa vinyago vyao, kwa sanamu zao za kigeni zisizofaa?”
Nabima! Soge huluane amo ganodini, na da na fi dunu dinanebe naba. Ilia da amane disa, “Hina Gode da Saione amo ganodini hame esalabala? Saione Hina Bagade da Ea moilai yolesili, hame esalabala?” Hina Gode, ilia Hina Bagadedafa, da ilima bu adole iaha, “Dilia da abuliba: le Na ougima: ne, dilia loboga hamoi ‘gode’ agoaila ilima nodone sia: ne gadobela: ? Amola dilia hamedei ogogosu ga fi ‘gode’ ilima begudubala: ?”
20 “Mavuno yamepita, kiangazi kimekwisha, nasi hatujaokolewa.”
Na fi dunu da amane disa, “Gia: i eso da asi dagoi, amola faisu eso da dagoi. Be ninia da hame gaga: i agoane ba: sa.”
21 Kwa kuwa watu wangu wamepondwa, nami nimepondeka pia; ninaomboleza, nayo hofu kuu imenishika.
Na dogo da goudai dagoi. Bai na fi dunu da goudai dagoi. Na da dinana. Na da baligili da: i dioidafa.
22 Je, hakuna zeri ya kuponya katika Gileadi? Je, hakuna tabibu huko? Kwa nini basi hakuna uponyaji wa majeraha ya watu wangu?
Gilia: de soge ganodini da manoma hame ganabela: ? Gala! Manoma ouligisu dunu da hame esalabala? Esala! Amaiba: le, na fi dunu da abuliba: le uhinisisu hou hame ba: bela: ?

< Yeremia 8 >