< Yeremia 52 >

1 Sedekia alikuwa na umri wa miaka ishirini na mmoja alipoanza kutawala, naye akatawala huko Yerusalemu kwa miaka kumi na mmoja. Jina la mama yake aliitwa Hamutali binti Yeremia, kutoka Libna.
Zedekiah chu leng ahung channin kum somni le khat alhingtai, Jerusalem ‘a kum som le khat aleng chang e, anu min chu Hamutal ahin, Libnah kho – a Jeremiah chanu ahi.
2 Alifanya maovu machoni pa Bwana, kama alivyofanya Yehoyakimu.
Ahivang in Zedekiah jong Pakai mitmun thilsi abol in, Jehoiachin lengpa bang in aum in ahi.
3 Ilikuwa ni kwa sababu ya hasira ya Bwana haya yote yalitokea Yerusalemu na Yuda, naye mwishoni akawaondoa mbele zake. Basi, Sedekia akaasi dhidi ya mfalme wa Babeli.
Hiche thil hi anasoh in ahi. Pakai lunghanna konin Jerusalem le Judah gamsung chu amit mua konin abonchauvin atolmang tai. Zedekiah chu Babylon lengpa dounan gal abol’ in ahi.
4 Hivyo katika mwaka wa tisa wa utawala wa Sedekia, katika siku ya kumi ya mwezi wa kumi, Nebukadneza mfalme wa Babeli akiwa na jeshi lake lote alifanya vita dhidi ya Yerusalemu. Wakapiga kambi nje ya mji na kuuzunguka mji pande zote.
Hichun Tuolbuol som le nga nikhon, a alengchan kumko lhinkum, Babylon lengpa Nubuchadnezzer chu aseipaite jouse toh Jerusalem satdin ahung un, amaidon na chun ponbuh asongun, akhopi kimvela galkul akaikhum taove.
5 Mji ulizungukwa na jeshi mpaka mwaka wa kumi na moja wa utawala wa Mfalme Sedekia.
Hitichun Zedekiah lengpa lengchankal kum som le khat lhin geijin Jerusalem chu aumchah tauve.
6 Ilipowadia siku ya tisa ya mwezi wa nne, njaa ikazidi kuwa kali sana ndani ya mji, hadi hapakuwa na chakula kwa ajili ya watu.
Lhamul som le get, kum som le khat lhinna Zedekiah lengvaipoh chun kel akhohtan, gamsung mite din neh ding abeihel tai.
7 Kisha ukuta wa mji ukavunjwa na jeshi lote likakimbia. Wakaondoka mjini usiku kupitia lango lililokuwa kati ya kuta mbili karibu na bustani ya mfalme, ingawa Wakaldayo walikuwa wameuzunguka mji. Wakakimbia kuelekea Araba.
Chujouvin kulpi pal atumkeh tauve, Babylon miten khopi aumchah jeng vangun, jankah-in sepai jouse ajamdoh tauve, kulbang nikah-a lengpa hon lampi kotpi-a chun ajamdoh – un, Jordan phaicham lampi chu ajon taove.
8 Lakini jeshi la Wakaldayo likamfuatia Mfalme Sedekia na kumpata katika sehemu tambarare za Yeriko. Askari wake wote wakatengwa naye na kutawanyika,
Ahinlah Babylon Sepaiten Zedekiah lengpa chu adal uhvin. Jericho phaicham a aman tauve, Ama Sepaite jouse ama – a konin akithe cheh taove.
9 naye akakamatwa. Akapelekwa kwa mfalme wa Babeli huko Ribla, katika nchi ya Hamathi, mahali ambapo alimtangazia hukumu.
Hichun ama chu amanun, Hamath gam'a Riblah a Babylon lengpa henga apui taove. Hia chun achung athu akitan tai.
10 Huko Ribla mfalme wa Babeli aliwachinja wana wa Sedekia mbele ya macho yake. Pia akawaua maafisa wote wa Yuda.
Ama mitmu changtah- in achapate le gam vaipote athapeh tai.
11 Kisha akayangʼoa macho ya Sedekia, akamfunga kwa pingu za shaba na kumpeleka Babeli, alipomweka gerezani mpaka siku ya kifo chake.
Chujouvin Zedekiah mitchang teni chu akaldoh pehuvin, chun thihkhaovin akanin, Babylon lama akaijin, athi nikho geijin songkul’ a aumtai.
12 Mnamo siku ya kumi ya mwezi wa tano, katika mwaka wa kumi na tisa wa utawala wa Nebukadneza mfalme wa Babeli, Nebuzaradani jemadari wa askari walinzi wa mfalme, aliyemtumikia mfalme wa Babeli, alikuja Yerusalemu.
Lhajing som le sagi nikho hiche kum, Nubuchadnezzar lengpa lengvaipoh kal kum som le ko lhinna ahin, Babylon lengpa kinbol, Sepai gal lamkai Nebuzaradan chu Jersusalem; a ahunglhun tai.
13 Alichoma moto Hekalu la Bwana, jumba la kifalme, na nyumba zote za Yerusalemu. Aliteketeza kila jengo muhimu.
Ama Jerusalem a cheng milen milalte inho le leng inpi chule Pakai Houin ahallhai.
14 Jeshi lote la Wakaldayo chini ya jemadari wa askari walinzi wa mfalme walivunja kuta zote zilizoizunguka Yerusalemu.
Chuin Aman Sepai jouse chu Jerusalem kimvela kulbang jouse avochim soh hel ding athulhah tai.
15 Nebuzaradani, jemadari wa askari walinzi, akawapeleka uhamishoni baadhi ya watu maskini sana na wale waliobaki katika mji, pamoja na mabaki ya watu wa kawaida, na wale waliojisalimisha kwa mfalme wa Babeli.
Chujouvin Sepai gal lamkai Nubuzaradan’ in miho lah – a migenthei phabep le khopi sung a umnalai amohho, Babylon lengpa henga kipelut ho, chule khutthem umden loi ho sohchangin akaimang tai.
16 Lakini Nebuzaradani akawaacha mabaki ya wale watu maskini kabisa ili watunze mashamba ya mizabibu na mashamba mengine.
Mivaicha behseh, thil le lo bei chengse vang chu Judah gam'a adalhan, lengpilei le louva natong din akoiye.
17 Wakaldayo walivunja vipande zile nguzo za shaba, vile vishikilio vya shaba vilivyohamishika, na ile Bahari ya shaba, ambavyo vyote vilikuwa katika Hekalu la Bwana. Hivyo wakaichukua hiyo shaba yote na kuipeleka Babeli.
Babylon miten Pakai Houin mai a sum-eng khomho le sum – eng velkol, chule sum-eng konglen chutoh avobongsoh keiyun, abonchan sum-eng jouse Babylon lama atol tauve.
18 Wakachukua pia vyungu, masepetu, mikasi ya kusawazishia tambi, mabakuli ya kunyunyizia, sahani na vyombo vyote vya shaba vilivyotumika katika huduma ya Hekalu.
Amahon sum-eng chaiche le, maicham suhtheng teng vutlona, thaomei limbolna manchah chengse, kilhaina gantha teng thisan dolna khonho, gimnamtui lhutnamna khon chengse, adang dang Houin kinbolna kimang sum-eng manchah chengse chutoh apomang tauve.
19 Jemadari wa askari walinzi wa mfalme akachukua yale masinia, vile vyetezo, yale mabakuli ya kunyunyizia, zile sufuria, vile vinara vya taa, zile sahani na yale mabakuli yaliyotumika kwa sadaka za vinywaji, vitu vyote vile vilivyokuwa vimetengenezwa kwa dhahabu safi au fedha.
Nubuzaradan, Sepai lamkaipa chun khon neoho le vutloho, kongtongho, khangbel lenho, meivah khomho, thihkhe ho, chule khon ho, sana- a kisem chu sana in, dangka- a kisem chu dangka-in akilah- in ahi.
20 Shaba iliyotokana na zile nguzo mbili, ile Bahari na wale mafahali kumi na mawili wa shaba waliokuwa chini yake, pamoja na vile vishikilio vilivyohamishika, ambavyo Mfalme Solomoni alikuwa ametengeneza kwa ajili ya Hekalu la Bwana, ilikuwa na uzito usioweza kupimika.
Hou in manchah dinga Solomon lengpa semsa sum-eng jouse, khom teni, velkol ho, atunna bongchal som le ni lim, agihval’ in tethei jong ahipoi.
21 Kila nguzo ilikuwa na urefu wa dhiraa kumi na nane, kimo chake na mzunguko dhiraa kumi na mbili, na unene wa nyanda nne, na zote zilikuwa wazi ndani.
Khompi khat chu asandan feet somni le sgai, akimvel feet somle get akol khumin, hichu bel li sa-a ahin, asung hom ahi.
22 Sehemu ya shaba juu ya ile nguzo moja ilikuwa na urefu wa dhiraa tano, na ilikuwa imepambwa kwa wavu na makomamanga ya shaba kuizunguka kote. Ile nguzo nyingine pamoja na makomamanga yake ilifanana na hiyo ya kwanza.
Khom khat cheh chunga hin sum-eng don khat cheh chunga hin sum-eng don
23 Kulikuwa na makomamanga tisini na sita pembeni; jumla ya makomamanga juu ya wavu uliokuwa umezunguka yalikuwa mia moja.
Kolbuthei lim somko le gup cheh apang khatna aumin, themneltah a kijem chung achu agoma jakhat in akimvel ahi.
24 Yule jemadari wa askari walinzi akawachukua kama wafungwa Seraya kuhani mkuu, kuhani Sefania aliyefuata kwa cheo, na mabawabu watatu.
Nebuzaradan, Sepai lamkaipa in thempu chungnung Seraiah le Thempu ni channa Zephaniah chule kotngah thum hochu sohchang ding akaiyin ahi.
25 Miongoni mwa wale watu waliokuwa wamesalia katika mji, alimchukua afisa kiongozi wa wapiganaji, na washauri saba wa mfalme. Akamchukua pia mwandishi aliyesimamia uandikishaji wa watu wa nchi, pamoja na watu wake sitini waliopatikana ndani ya mji.
Khopi sunga konin sohchang din, Sepai gal lamkaipa, khopi sunga umnalai lengpa thumop’a pang mi sagi toh, gal lamkaipu thalhenpa, ama hi sepai thusim sun a pang ahin, chule milen cheh somgup toh akaithai.
26 Nebuzaradani jemadari akawachukua hao wote na kuwapeleka kwa mfalme wa Babeli huko Ribla.
Nabuzaradan, Sepai lamkai pan, abonchauvin Babylon lengpa umna Riblah alhut uvin ahi.
27 Huko Ribla, katika nchi ya Hamathi, mfalme wa Babeli akaamuru wanyongwe. Hivyo Yuda wakaenda utumwani, mbali na nchi yao.
Chuin Babylon lengpan Hamath gam a Riblah mun’a athat gamtai. Hitobang chun Judah chu ama gam'a konin sohchangin aki kaimang tan ahi.
28 Hii ndiyo hesabu ya watu ambao Nebukadneza aliwachukua kwenda uhamishoni: katika mwaka wa saba, Wayahudi 3,023;
Nubuchadnezzarin alengchan kal kum sagi in soh chang a akaimang miho sangthum le somni le thum ahi.
29 katika mwaka wa kumi na nane wa utawala wa Nebukadneza, watu 832 kutoka Yerusalemu;
Chujouvin Nebuchadnezzar lengchan kum som le getna in Jerusalem’a mi jaget le somthum le ni akai mangbe in ahi.
30 katika mwaka wa ishirini na tatu wa utawala wake, Wayahudi 745 walichukuliwa kwenda uhamishoni na Nebuzaradani jemadari wa askari walinzi wa mfalme. Jumla ya watu wote walikuwa 4,600.
Nebuchadnezzar lengchan kum som ni le thum kumin sepai lamkai Nebuzaradan asol in Judah te jasagi le somli lang ahinkai in, abonun mi sang li le jagup ahiuve.
31 Katika mwaka wa thelathini na saba tangu Yehoyakini mfalme wa Yuda apelekwe uhamishoni, katika mwaka ule ambao Evil-Merodaki alifanyika mfalme wa Babeli, alimwacha huru Yehoyakini mfalme wa Yuda, na kumfungua kutoka gerezani siku ya ishirini na tano ya mwezi wa kumi na mbili.
Kum somthum le sagi lhinna Judah lengpa Jehoiachin soh chan kal Lhakao somthum le khat hiche kum chun Evil Merodach Babylon lengpa dinmun chu alotai. Judah lengpa Jehoiachin chu khoto manin songkul’ a konin alhadoh tai
32 Alizungumza naye kwa upole na kumpa kiti cha heshima zaidi kuliko wale wafalme wengine aliokuwa nao huko Babeli.
Jehoiachin hepitah –in, sohchang khom leng dang ho sang in jong jana len cheh achansah in ahi.
33 Hivyo Yehoyakini akayavua mavazi yake ya mfungwa, na siku zote za maisha yake zilizobaki alikula mezani mwa mfalme.
Asohchanna vonho akhelpeh-in, ahinkho lhum keiyin lengpa dokhang ankong anejom jingpeh tan ahi.
34 Siku kwa siku mfalme wa Babeli alimpa Yehoyakini posho siku zote za maisha yake, hadi siku ya kifo chake.
Chule aneh le chah dingin Babylon lengpa athini geijin tanglouvin ape jing tan ahi.

< Yeremia 52 >