< Yeremia 48 >
1 Kuhusu Moabu: Hili ndilo Bwana Mwenye Nguvu Zote, Mungu wa Israeli, asemalo: “Ole wake Nebo, kwa maana utaharibiwa. Kiriathaimu utaaibishwa na kutekwa; Misgabu itaaibishwa na kuvunjavunjwa.
Israel Pathen caempuei BOEIPA loh Moab ham he ni a. thui. Anunae Nebo aih te, a rhoelrhak neh yak vetih a tuuk ni. Kiriathaim khaw yak vetih a imsang khaw rhihyawp ni.
2 Moabu haitasifiwa tena; huko Heshboni watu watafanya shauri baya la anguko lake: ‘Njooni na tuangamize taifa lile.’ Wewe nawe, ee Madmena, utanyamazishwa; upanga utakufuatia.
Moab koehnah te koep om mahpawh. Heshbon ah anih te a moeh tih boethae loh a pongpa thil. Madmen khaw namtom lamloh saii uh sih. Namah hnukah cunghang loh m'paan daengah na kuemsuem bitni.
3 Sikiliza kilio kutoka Horonaimu, kilio cha maangamizi makuu na uharibifu.
Horonaim lamkah rhoelrhanah pangngawlnah ol neh pocinah tanglue aih te.
4 Moabu utavunjwa, wadogo wake watapiga kelele.
Moab te bawt vetih a pang te a canoi loh a yaak ni.
5 Wanapanda kwenda njia ya kuelekea Luhithi, wakilia kwa uchungu wanapotembea, kwenye njia inayoshuka kwenda Horonaimu, kilio cha uchungu kwa ajili ya uharibifu kinasikika.
Luhith kah Luhith tangkham te a rhah a rhah doeah luei. Horonaim singling ah khaw rhal taengkah pocinah pangngawlnah te a yaak uh.
6 Kimbieni! Okoeni maisha yenu, kuweni kama kichaka jangwani.
Rhaelrham lamtah na hinglu ham poenghal puei laeh. Khosoek kah koknai bangla na om coeng.
7 Kwa kuwa mmetumainia matendo yenu na mali zenu, ninyi pia mtachukuliwa mateka, naye Kemoshi atakwenda uhamishoni, pamoja na makuhani wake na maafisa wake.
Na bibi neh na thakvoh dongah na pangtung dongah namah khaw n'tuuk pawn ni. Khemosh kah a khosoih rhoek neh a mangpa rhoek vangsawn la rhenten a khuen ni.
8 Mharabu atakuja dhidi ya kila mji, wala hakuna mji utakaookoka. Bonde litaangamizwa na uwanda utaharibiwa, kwa sababu Bwana amesema.
Khopuei tom ah aka rhoelrhak te ha pawk vetih khopuei te loeih mahpawh. BOEIPA loh a thui coeng dongah tuikol loh moelh vetih tlangkol tim ni.
9 Wekeni chumvi kwa ajili ya Moabu, kwa kuwa ataangamizwa; miji yake itakuwa ukiwa, pasipo kuwa na mtu atakayeishi ndani yake.
Moab te ding sak ham a phae pae lamtah khuen laeh saeh. A khopuei te imsuep la om vetih a khuiah khosa om mahpawh.
10 “Alaaniwe yeye afanyaye kazi ya Bwana kwa hila! Alaaniwe yeye auzuiaye upanga wake usimwage damu!
Vuelvaeknah neh BOEIPA kah bitat aka saii tah thae a phoei coeng tih ak thii lamloh a cunghang aka hloh khaw thae a phoei thil.
11 “Moabu amestarehe tangu ujana wake, kama divai iliyoachwa kwenye machujo yake, haikumiminwa kutoka chombo kimoja hadi kingine, hajaenda uhamishoni. Kwa hiyo ana ladha ile ile kama aliyokuwa nayo, nayo harufu yake haijabadilika.
Moab he a camoe lamloh rhalthal tih a sampa dongah mong te. Am khat lamloh am khat dongla kong noek pawt tih vangsawn la a caeh noek moenih. A khuikah a omih te cak tangloeng tih a bo khaw sap pawh.
12 Lakini siku zinakuja,” asema Bwana, “nitakapotuma watu wamiminao kutoka kwenye magudulia, nao watamimina; wataacha magudulia yake yakiwa matupu na kuvunja mitungi yake.
Te dongah BOEIPA kah olphong khohnin ha pawk tangloeng he. Hlang aka khuum rhoek te a taengla ka tueih vetih anih a khuum uh ni. A am te a khawk pah vetih a khap a thaeh pah ni.
13 Kisha Moabu atamwonea aibu mungu wao Kemoshi, kama vile nyumba ya Israeli walivyoona aibu walipotegemea mungu wa Betheli.
A pangtungnah Bethel kah Israel imkhui a yah bangla Khemosh kongah Moab te yak ni.
14 “Mwawezaje kusema, ‘Sisi ni mashujaa, watu jasiri katika vita’?
Balae tih, “Kaimih kah hlangrhalh rhoek neh tatthai hlang caemtloek la om,” na ti uh?
15 Moabu ataangamizwa na miji yake itavamiwa, vijana wake waume walio bora sana watachinjwa,” asema Mfalme, ambaye jina lake ni Bwana Mungu Mwenye Nguvu Zote.
Moab a rhoelrhak vetih a khopuei khuen ni. A tongpang hlangrhoei rhoek te a maeh la suntla uh ni. A ming dongah caempuei BOEIPA manghai kah olphong ni.
16 “Kuanguka kwa Moabu kumekaribia, janga kubwa litamjia kwa haraka.
Moab rhainah ha pawk ham yoei coeng tih a boethae loh bahoeng loe ni.
17 Ombolezeni kwa ajili yake, ninyi nyote mnaomzunguka, ninyi nyote mnaojua sifa zake, semeni, ‘Tazama jinsi ilivyovunjika fimbo ya kifalme yenye nguvu, tazama jinsi ilivyovunjika fimbo iliyotukuka!’
A kaepvai boeih neh a ming aka ming boeih loh anih te a suem uh tih, “Balae tih sarhi caitueng, boeimang cungkui khaw a paep,” ti uh laeh.
18 “Shuka kutoka fahari yako na uketi katika ardhi iliyokauka, enyi wenyeji wa Binti wa Diboni, kwa maana yeye aangamizaye Moabu atakuja dhidi yako, na kuangamiza miji yako iliyozungushiwa maboma.
Dibon nu dongkah khosa rhoek aw thangpomnah dongkah khosak lamloh rhum lamtah tuihalh dongla ngol uh laeh. Moab aka rhoelrhak loh nang te m'paan vetih na hmuencak te a phae ni.
19 Simama kando ya barabara na utazame, wewe unayeishi Aroeri. Muulize mwanaume anayekimbia na mwanamke anayetoroka, waulize, ‘Kumetokea nini?’
Longpuei taengah pai lamtah Aroer khosa rhoek ke tawt ne. Aka rhaelrham pa neh aka loeih nu te dawt lamtah, “Balae aka om,” ti na uh.
20 Moabu amefedheheshwa, kwa kuwa amevunjavunjwa. Lieni kwa huzuni na kupiga kelele! Tangazeni kando ya Arnoni kwamba Moabu ameangamizwa.
Moab khaw rhihyawp tih yak coeng. Rhung la, rhung lamtah pang khaw pang mai laeh. Moab a rhoelrhak te Arnon ah puen pah.
21 Hukumu imefika kwenye uwanda wa juu: katika Holoni, Yahasa na Mefaathi,
Te dongah laitloeknah he tlangkol khohmuen la, Holon la, Jahzah neh Mephaath la,
22 katika Diboni, Nebo na Beth-Diblathaimu,
Dibon la, Nebo la, Beth-diblathaim la,
23 katika Kiriathaimu, Beth-Gamuli na Beth-Meoni,
Kiriathaim la, Bethgamul neh Bethmeon la,
24 katika Keriothi na Bosra; kwa miji yote ya Moabu, iliyoko mbali na karibu.
Kerioth la, Bozrah neh Moab khohmuen khopuei a yoei a hla boeih la pawk coeng.
25 Pembe ya Moabu imekatwa, mkono wake umevunjwa,” asema Bwana.
Moab ki ngun coeng tih a ban khaw khaem coeng. He tah BOEIPA kah olphong ni.
26 “Mlevye, kwa kuwa amemdharau Bwana. Moabu na agaegae katika matapishi yake, yeye na awe kitu cha dhihaka.
BOEIPA te a pantai thil dongah anih te rhuihmil sak. Te daengah ni Moab te a lok dongah kut a paeng vetih amah khaw nueihbu la a om eh.
27 Je, Israeli hakuwa kitu chako cha kudhihakiwa? Je, alikamatwa miongoni mwa wezi, kiasi cha kutikisa kichwa chako kwa dharau kila mara unapozungumza juu yake?
Israel khaw nang ham tah nueihbu la om het pawt nim? Na ol neh anih na hnet dingdoeng bangla hlanghuen lakli ah a hmuh khaw a hmuh a?
28 Ondokeni kwenye miji yenu, mkaishi katikati ya miamba, enyi mnaoishi Moabu. Kuweni kama huwa ambaye hutengeneza kiota chake kwenye mdomo wa pango.
Moab khosa rhoek aw khopuei te hnoo uh lamtah thaelpang ah khosa uh. Rhalvangan kah rhom rhai ah butuk uh lamtah, vahui bangla om uh.
29 “Tumesikia juu ya kiburi cha Moabu: kutakabari kwake kwa kiburi na majivuno, kiburi chake na ufidhuli wake, na kujivuna kwa moyo wake.
Moab kah hoemdamnah neh thinthah pangkha la a oeknah neh a hoemdamnah khaw, a hoemnah neh a lungbuei buhuengpomnah khaw ka yaak uh coeng.
30 Ninaujua ujeuri wake, lakini ni bure,” asema Bwana, “nako kujisifu kwake hakumsaidii chochote.
Kai tah BOEIPA kah a thinpom olphong khaw ka ming dae a olsai tangloeng pawt tih a saii van moenih.
31 Kwa hiyo namlilia Moabu, kwa ajili ya Moabu yote ninalia, ninaomboleza kwa ajili ya watu wa Kir-Haresethi.
Te dongah Moab ham ka rhung tangloeng coeng, Moab ham a pum la ka pang. Kirhareseth hlang ham a thuep.
32 Ninalia machozi kwa ajili yenu, kama Yazeri aliavyo, enyi mizabibu ya Sibma. Matawi yako yameenea hadi baharini; yamefika hadi bahari ya Yazeri. Mharabu ameyaangukia matunda yako yaliyoiva na mizabibu yako iliyoiva.
Jazer kah a rhah lakah Sibam misur nang ham ka rhap. Na baek te tuipuei la yam tih Jazer tuipuei duela a pha. Na khohal thaih neh na misurbit te aka rhoelrhak loh a cuhu sak.
33 Shangwe na furaha vimetoweka kutoka bustani na mashamba ya Moabu. Nimekomesha kutiririka kwa divai kutoka mashinikizo; hakuna hata mmoja ayakanyagaye kwa kelele za shangwe. Ingawa kuna kelele, sio kelele za shangwe.
Kohoenah neh omngaihnah he cangphil cangngol lamkah, Moab khohmuen lamkah ni. Tedae khum coeng tih, va-am dongkah misurtui ka kak sak. Tamlung khaw tamlung pawt ah, tamlung neh neet boel saeh.
34 “Sauti ya kilio chao inapanda kutoka Heshboni hadi Eleale na Yahazi, kutoka Soari hadi Horonaimu na Eglath-Shelishiya, kwa kuwa hata maji ya Nimrimu yamekauka.
Heshbon lamkah a pang te Elealeh duela, Jahaz duela, Zoar lamloh vaito Horonaim duela a ol a huel uh. Nimrim tui khaw rhaerhap la om coeng.
35 Nitakomesha wale wote katika Moabu watoao sadaka mahali pa juu, na kufukiza uvumba kwa miungu yao,” asema Bwana.
He tah BOEIPA kah olphong ni. Moab kah hmuensang ah aka pongpa tih a pathen taengah aka phum rhoek te ka kangkuen sak ni.
36 “Kwa hiyo moyo wangu unaomboleza kwa ajili ya Moabu kama filimbi; unaomboleza kama filimbi kwa ajili ya watu wa Kir-Haresethi. Utajiri waliojipatia umetoweka.
Te dongah ka lungbuei he Moab ham tah phitphoet bangla cai tih ka lungbuei he Kirhareseth hlang ham phitphoet bangla cai. Te dongah koeva a tung te paltham coeng.
37 Kila kichwa kimenyolewa na kila mwenye ndevu zimekatwa; kila mkono umekatwa na kila kiuno kimefunikwa kwa nguo ya gunia.
A lu khaw boeih lungawng tih hmuimul khaw boeih a kuet uh. A kut hma khaw cungkuem tih, a cinghen ah tlamhni a yen.
38 Juu ya mapaa yote katika Moabu na katika viwanja hakuna kitu chochote isipokuwa maombolezo, kwa kuwa nimemvunja Moabu kama gudulia ambalo hakuna mtu yeyote anayelitaka,” asema Bwana.
Moab imphu tom neh a toltung tom ah a rhaengsae uh. Moab te a ngaih pawh hnopai bangla ka phaek coeng. He tah BOEIPA kah olphong ni.
39 “Tazama jinsi alivyovunjikavunjika! Jinsi wanavyolia kwa huzuni! Tazama jinsi Moabu anavyogeuka kwa aibu! Moabu amekuwa kitu cha kudhihakiwa, kitu cha kutisha kwa wale wote wanaomzunguka.”
Rhihyawp tih rhung kanoek a? Moab loh rhawn a maelh te yak kanoek a? Te dongah Moab he nueihbu la, a kaepvai boeih te porhaknah la poeh.
40 Hili ndilo asemalo Bwana: “Tazama! Tai anashuka chini, akitanda mabawa yake juu ya Moabu.
He ni BOEIPA loh a thui. atha bangla ding tih Moab soah a phae a khuk.
41 Miji itatekwa na ngome zake zitatwaliwa. Katika siku hiyo, mioyo ya mashujaa wa Moabu itakuwa kama moyo wa mwanamke katika utungu wa kuzaa.
Kerioth te a tuuk vetih rhalmahim te a loh pah ni. Te khohnin ah tah Moab hlangrhalh lungbuei ah huta puencak kah lungbuei bangla om ni.
42 Moabu ataangamizwa kama taifa kwa sababu amemdharau Bwana.
BOEIPA te a taloeh thil dongah Moab he pilnam lamloh mitmoeng ni.
43 Hofu kuu, shimo na mtego vinawangojea, enyi watu wa Moabu,” asema Bwana.
Moab khosa nang ham birhihnah rhom neh pael om coeng lah ko. He tah BOEIPA kah olphong ni.
44 “Yeyote atakayeikimbia hiyo hofu kuu ataanguka ndani ya shimo, yeyote atakayepanda kutoka shimoni, atanaswa katika mtego, kwa sababu nitaletea Moabu mwaka wa adhabu yake,” asema Bwana.
Ngaihuet neh birhihnah hmai lamloh aka rhaelrham te rhom ah cungku ni. Rhom lamloh aka yoeng te khaw pael neh a boh ni. Moab loh a sokah a cawhnah kum te amah soah ka thoeng sak ni. He tah BOEIPA kah olphong ni.
45 “Katika kivuli cha Heshboni, wakimbizi wamesimama pasipo msaada, kwa kuwa moto umezimika huko Heshboni, mwali wa moto kutoka katikati ya Sihoni; unaunguza vipaji vya nyuso za Moabu, mafuvu yao wenye kujivuna kwa kelele.
Heshbon hlip ah aka pai te Heshbon lamkah hmai loh a coe thil tih thadueng om kolla rhaelrham coeng. Te vaengah Sihon laklo lamkah hmaisai loh Moab baengki neh longlonah ca rhoek kah luki te a hlawp pah.
46 Ole wako, ee Moabu! Watu wa Kemoshi wameangamizwa; wana wako wamepelekwa uhamishoni na binti zako wamechukuliwa mateka.
Anunae Moab nang aih te, Khemosh kah pilnam tah milh coeng. Na ca rhoek te tamna la, na canu rhoek tamna la a khuen uh coeng.
47 “Lakini nitarudisha mateka wa Moabu, katika siku zijazo,” asema Bwana. Huu ndio mwisho wa hukumu juu ya Moabu.
Hmailong tue ah tah Moab thongtla te ka mael puei ni. BOEIPA kah olphong coeng ni. He hil he Moab ham laitloeknah coeng ni.