< Yeremia 47 >
1 Hili ndilo neno la Bwana lililomjia nabii Yeremia kuhusu Wafilisti, kabla Farao hajaishambulia Gaza:
Faro ni Gaza a tuk hoehnahlan e Filistinnaw e kong dawk, Profet Jeremiah koe BAWIPA e lawk teh a pha.
2 Hili ndilo asemalo Bwana: “Tazama jinsi maji yanavyoinuka huko kaskazini, yatakuwa mafuriko yenye nguvu sana. Yataifurikia nchi na vitu vyote vilivyomo ndani yake, miji na wale waishio ndani yake. Watu watapiga kelele; wote waishio katika nchi wataomboleza
Atunglah hoi tui kalen teh a lawng han. Ka poum lah a lawng vaiteh, ram hoi a thung kaawm e naw pueng heh a muem han. Khopui hoi athung kaawm e taminaw pueng a khuika awh vaiteh, ram thung kaawm e taminaw pueng a kâhram awh han.
3 kwa sauti ya kwato za farasi waendao mbio, kwa sauti ya magari ya adui na mngurumo wa magurudumu yake. Baba hawatageuka kuwasaidia watoto wao, mikono yao italegea.
A thakasai marang ka yawng thai e hoi tarantuknae rangleng ka sawm e hoi leng a tuen sak e pawlawk dawk napanaw ni a canaw khet mang laipalah a yawng awh han.
4 Kwa maana siku imewadia kuwaangamiza Wafilisti wote na kuwakatilia mbali walionusurika wote ambao wangeweza kusaidia Tiro na Sidoni. Bwana anakaribia kuwaangamiza Wafilisti, mabaki toka pwani za Kaftori.
Filistin taminaw raphoenae hnin, Taire hoi Sidon koehoi kabawmkung kaawm rae raphoenae hnin teh a pha vaiteh, bangkongtetpawiteh, BAWIPA ni kacawie Kaphtor ram koehoi ka tho e Filistinnaw hah a raphoe han.
5 Gaza atanyoa kichwa chake katika kuomboleza, Ashkeloni atanyamazishwa. Enyi mabaki kwenye tambarare, mtajikatakata wenyewe mpaka lini?
Gaza taminaw e lû a ngaw pouh han. Askelon teh a pâmit han. A ram tanghling dawk kacawirae hah, bangkongmaw namahoima na kâbouk han.
6 “Mnalia, ‘Aa, upanga wa Bwana, utaendelea mpaka lini ndipo upumzike? Rudi ndani ya ala yako; acha na utulie.’
Oe! BAWIPA e tahloi na totouh maw duem na o han. Na tabu dawk kâen nateh duem awmh.
7 Lakini upanga utatuliaje wakati Bwana ameuamuru, wakati ameuagiza kuishambulia Ashkeloni pamoja na pwani yake?”
BAWIPA ni Askelon hoi tuipui teng e ram taranlahoi kâ na poe e na thai nahlangva bangkongmaw duem ao thai han. Hawvah kâroe hanelah hruek e doeh telah ati.