< Yeremia 47 >
1 Hili ndilo neno la Bwana lililomjia nabii Yeremia kuhusu Wafilisti, kabla Farao hajaishambulia Gaza:
Idibidi hina bagade da Ga: isa moilai bai bagade amoga doagala: i. Be hidadea, Hina Gode da Filisidini fi ilia hou nama olelei.
2 Hili ndilo asemalo Bwana: “Tazama jinsi maji yanavyoinuka huko kaskazini, yatakuwa mafuriko yenye nguvu sana. Yataifurikia nchi na vitu vyote vilivyomo ndani yake, miji na wale waishio ndani yake. Watu watapiga kelele; wote waishio katika nchi wataomboleza
E da amane sia: i, “Ba: ma! Gagoe (north) sogega hano da heda: le, hano bagade heda: i defele dalebe ba: mu. Hano da soge huluane, liligi amola moilai amola dunu amogawi esala, amo huluane dedebomu. Dunu da ili fidima: ne wele sia: mu. Amola osobo bagade dunu huluane da ha: giwane dinanebe ba: mu.
3 kwa sauti ya kwato za farasi waendao mbio, kwa sauti ya magari ya adui na mngurumo wa magurudumu yake. Baba hawatageuka kuwasaidia watoto wao, mikono yao italegea.
Ilia da hosi ilia ahoa emo goba: heda: be agoai nabimu, amola sa: liode emo sisiga: iilia genena: genena: be nabimu. Eda da ilia mano gaga: musa: hame sinidigimu. Ilialobo da ilia afodili bodola: le gudusa.
4 Kwa maana siku imewadia kuwaangamiza Wafilisti wote na kuwakatilia mbali walionusurika wote ambao wangeweza kusaidia Tiro na Sidoni. Bwana anakaribia kuwaangamiza Wafilisti, mabaki toka pwani za Kaftori.
Filisidini soge ea wadela: mu eso da doaga: i dagoi. Daia amola Saidone moilai bai bagade da ilima fidimusa: logo ga: i dagoi ba: mu. Na, Hina Gode, da Filisidini dunu (amo da Galidi oga amoga misi) amo huluane wadela: lesimu.
5 Gaza atanyoa kichwa chake katika kuomboleza, Ashkeloni atanyamazishwa. Enyi mabaki kwenye tambarare, mtajikatakata wenyewe mpaka lini?
Ga: isa moilai bai bagade dunu huluane da da: i dioi bagade naba. Amola A: siegelone moilai bai bagade fi dunu da ouiya: le esala. Filisidini dunu eno huluane da habowali seda didigia: ma: bela: ?
6 “Mnalia, ‘Aa, upanga wa Bwana, utaendelea mpaka lini ndipo upumzike? Rudi ndani ya ala yako; acha na utulie.’
Dilia da amane wele sia: sa, ‘Hina Gode! Dia se iasu gobihei sedade da eso habowali seda hedofalaloma: bela: ? Amo ea salasu ganodini, helefima: ne, salima!”
7 Lakini upanga utatuliaje wakati Bwana ameuamuru, wakati ameuagiza kuishambulia Ashkeloni pamoja na pwani yake?”
Be Na da amo gobihei hawa: hamoma: ne sia: i dagoiba: le, e da helefimu hamedei ba: sa. Na da ema e da A: siegelone dunu fi hano wayabo bagade bega: esala, ilima doagala: musa: sia: i dagoi.”