< Yeremia 46 >

1 Hili ni neno la Bwana lililomjia nabii Yeremia kuhusu mataifa:
Beseda od Gospoda, ki je prišla preroku Jeremiju zoper pogane;
2 Kuhusu Misri: Huu ni ujumbe dhidi ya jeshi la Farao Neko mfalme wa Misri, lililoshindwa huko Karkemishi kwenye Mto Frati na Nebukadneza mfalme wa Babeli, katika mwaka wa nne wa utawala wa Yehoyakimu mwana wa Yosia mfalme wa Yuda:
zoper Egipt, zoper vojsko faraona Nehota, egiptovskega kralja, ki je bil pri reki Evfratu v Kárkemišu, ki ga je babilonski kralj Nebukadnezar udaril v četrtem letu Jojakíma, Jošíjevega sina, Judovega kralja.
3 “Wekeni tayari ngao zenu, kubwa na ndogo, mtoke kwa ajili ya vita!
»›Pripravite majhen ščit in ščit ter se približajte boju.
4 Fungieni farasi lijamu, pandeni farasi! Shikeni nafasi zenu mkiwa mmevaa chapeo! Isugueni mikuki yenu, vaeni dirii vifuani!
Vprezite konje in vstanite, vi konjeniki in postavite se s svojimi čeladami; zgladite sulice in si nadenite oklepe.
5 Je, ninaona nini? Wametiwa hofu, wanarudi nyuma, askari wao wameshindwa. Wanakimbia kwa haraka pasipo kutazama nyuma, tena kuna hofu kuu kila upande,” asema Bwana.
Zakaj sem jih videl zaprepadene in obrnjene nazaj? In njihovi mogočni so potolčeni in so naglo zbežali in niso gledali nazaj, kajti strah je bil naokoli, ‹ govori Gospod.
6 Walio wepesi na wenye mbio hawawezi kukimbia, wala wenye nguvu hawawezi kutoroka. Kaskazini, kando ya Mto Frati, wanajikwaa na kuanguka.
›Ne dopusti, da hitri izgine niti da mogočni človek pobegne; opotekali se bodo in padali proti severu, pri reki Evfratu.
7 “Ni nani huyu ajiinuaye kama Mto Naili, kama mito yenye maji yanayofanya mawimbi?
Kdo je ta, ki prihaja gor kakor poplava, katerega vode se premikajo kakor reke?‹
8 Misri hujiinua kama Mto Naili, kama mito yenye maji yanayofanya mawimbi. Husema, ‘Nitainuka na kufunika dunia, nitaiangamiza miji na watu wake.’
Egipt se vzdiguje kakor poplava in njegove vode se premikajo kakor reke; in pravi: ›Šel bom gor in pokril zemljo, uničil bom mesto in njegove prebivalce.
9 Songeni mbele, enyi farasi! Endesheni kwa ukali, enyi magari ya farasi, Endeleeni mbele, enyi mashujaa: watu wa Kushi na Putu wachukuao ngao, watu wa Ludi wavutao upinde.
Pridite gor, vi konji; in besnite, vi bojni vozovi in naj mogočni možje pridejo naprej. Etiopijci in Libijci, ki prijemajo ščit; in Ludéjci, ki prijemajo in napenjajo lok.
10 Lakini ile siku ni ya Bwana, Bwana Mwenye Nguvu Zote, siku ya kulipiza kisasi, kisasi juu ya adui zake. Upanga utakula hata utakapotosheka, hadi utakapozima kiu yake kwa damu. Kwa maana Bwana, Bwana Mwenye Nguvu Zote, atatoa dhabihu kwenye nchi ya kaskazini, kando ya Mto Frati.
Kajti to je dan Gospoda Boga nad bojevniki, dan maščevanja, da se lahko maščuje svojim nasprotnikom in meč bo požiral in ta bo nasičen in opijanjen z njihovo krvjo, kajti Gospod Bog nad bojevniki ima klavno daritev v severni deželi, pri reki Evfratu.
11 “Panda hadi Gileadi ukapate zeri, ee Bikira Binti wa Misri. Lakini umetumia dawa nyingi bila mafanikio; huwezi kupona.
Pojdi gor v Gileád in vzemi balzam, oh devica, egiptovska hči. Zaman boš uporabljala mnoga zdravila, kajti ne boš ozdravljena.
12 Mataifa yatasikia juu ya aibu yako, kilio chako kitaijaza dunia. Shujaa mmoja atajikwaa juu ya mwingine, nao wataanguka chini pamoja.”
Narodi so slišali o tvoji sramoti in tvoje vpitje je napolnilo deželo, kajti mogočen človek se je spotaknil zoper mogočnega in oba skupaj sta padla.‹«
13 Huu ndio ujumbe Bwana aliomwambia nabii Yeremia kuhusu kuja kwa Nebukadneza mfalme wa Babeli ili kuishambulia Misri:
Beseda, ki jo je Gospod spregovoril preroku Jeremiju, kako bo babilonski kralj Nebukadnezar prišel in udaril egiptovsko deželo.
14 “Tangaza hili katika Misri, nawe ulihubiri katika Migdoli, hubiri pia katika Memfisi na Tahpanhesi: ‘Shikeni nafasi zenu na mwe tayari, kwa kuwa upanga unawala wale wanaokuzunguka.’
›Oznanite v Egiptu, razglasite v Migdólu, razglasite v Nofu in v Tahpanhésu, recite: ›Stoj trdno in se pripravi, kajti meč bo požiral okoli tebe.
15 Kwa nini mashujaa wako wamesombwa na kupelekwa mbali? Hawawezi kusimama, kwa maana Bwana atawasukuma awaangushe chini.
Zakaj so tvoji hrabri možje pometeni proč? Niso obstali, ker jih je Gospod pognal.
16 Watajikwaa mara kwa mara, wataangukiana wao kwa wao. Watasema, ‘Amka, turudi kwa watu wetu na nchi yetu, mbali na upanga wa mtesi.’
Mnoge je pripravil, da padejo, da, eden je padel na drugega. Rekli so: ›Vstanimo in ponovno pojdimo k svojemu ljudstvu in k deželi svojega rojstva, proč od zatiralskega meča.‹
17 Huko watatangaza, ‘Farao mfalme wa Misri ni makelele tu, amekosa wasaa wake.’
Tam so vpili: ›Faraon, egiptovski kralj, je samo hrup; zamudil je določeni čas.‹
18 “Kwa hakika kama niishivyo,” asema Mfalme, ambaye jina lake ni Bwana Mwenye Nguvu Zote, “mmoja atakuja ambaye ni kama Tabori miongoni mwa milima, kama Karmeli kando ya bahari.
› Kakor jaz živim, ‹ govori Kralj, čigar ime je Gospod nad bojevniki: ›Zagotovo, kakor je Tabor med gorami in kakor Karmel pri morju, tako bo on prišel.
19 Funga mizigo yako kwenda uhamishoni, wewe ukaaye Misri, kwa kuwa Memfisi utaangamizwa na kuwa magofu pasipo mkazi.
Oh ti hči, prebivajoča v Egiptu, oskrbi se, da greš v ujetništvo, kajti Nof bo opustošen in zapuščen, brez prebivalca.
20 “Misri ni mtamba mzuri, lakini kipanga anakuja dhidi yake kutoka kaskazini.
Egipt je podoben zelo lepi telici, toda uničenje prihaja; to prihaja iz severa.
21 Askari wake waliokodiwa katika safu zake wako kama ndama walionenepeshwa. Wao pia watageuka na kukimbia pamoja, hawataweza kuhimili vita, kwa maana siku ya msiba inakuja juu yao, wakati wao wa kuadhibiwa.
Prav tako so njegovi najeti možje v njegovi sredi podobni pitanim bikcem; kajti obrnjeni so tudi nazaj in skupaj so pobegnili proč; niso obstali, ker je nadnje prišel dan njihove katastrofe in čas njihovega obiskanja.
22 Misri atatoa sauti kama ya nyoka anayekimbia kadiri adui anavyowasogelea na majeshi, watakuja dhidi yake wakiwa na mashoka, kama watu wakatao miti.
Njihov glas bo šel kakor kača; kajti korakali bodo z vojsko in zoper njega bodo prišli s sekirami kakor drvarji.
23 Wataufyeka msitu wake,” asema Bwana, “hata kama umesongamana kiasi gani. Ni wengi kuliko nzige, hawawezi kuhesabika.
Posekali bodo njegov gozd, ‹ govori Gospod, ›čeprav ta ne more biti preiskan, ker jih je več kakor kobilic in so brezštevilni.
24 Binti wa Misri ataaibishwa, atatiwa mikononi mwa watu wa kaskazini.”
Egiptovska hči bo zbegana; izročena bo v roko severnega ljudstva.‹
25 Bwana Mwenye Nguvu Zote, Mungu wa Israeli, asema: “Nakaribia kuleta adhabu juu ya Amoni mungu wa Thebesi, na juu ya Farao, Misri na miungu yake, na wafalme wake, pamoja na wale wanaomtegemea Farao.
Gospod nad bojevniki, Izraelov Bog, pravi: ›Glejte, kaznoval bom množico iz Noja in faraona in Egipt z njihovimi bogovi in njihovimi kralji, celo faraona in vse tiste, ki zaupajo vanj.
26 Nitawatia mikononi mwa wale wanaotafuta uhai wao, yaani Nebukadneza mfalme wa Babeli na maafisa wake. Hatimaye, hata hivyo, Misri itakaliwa kama nyakati zilizopita,” asema Bwana.
Izročil jih bom v roko tistih, ki jim strežejo po življenju, v roko babilonskega kralja Nebukadnezarja in v roko njegovih služabnikov. Potem bo ta naseljen kakor v dneh davnine, ‹ govori Gospod.
27 “Usiogope, ee Yakobo mtumishi wangu, usifadhaike, ee Israeli. Hakika nitakuokoa kutoka nchi za mbali, uzao wako kutoka nchi ya uhamisho wao. Yakobo atakuwa tena na amani na salama, wala hakuna hata mmoja atakayewatia hofu.
›Vendar se ne boj, oh moj služabnik Jakob in ne bodi zaprepaden, oh Izrael, kajti glej, rešil te bom od daleč in tvoje seme iz dežele njihovega ujetništva. Jakob se bo vrnil in bo počival in bo sproščen in nihče ga ne bo naredil prestrašenega.
28 Usiogope, ee Yakobo mtumishi wangu, kwa maana mimi niko pamoja nawe,” asema Bwana. “Ingawa nitayaangamiza kabisa mataifa yote ambayo miongoni mwake nimekutawanya, sitakuangamiza wewe kabisa. Nitakurudi, lakini kwa haki tu, wala sitakuacha kabisa bila kukuadhibu.”
Ne boj se, Jakob, moj služabnik, ‹ govori Gospod, ›kajti jaz sem s teboj, kajti naredil bom popoln konec vseh narodov, kamor sem te pognal. Toda iz tebe ne bom naredil popolnega konca, temveč te bom grajal po meri; vendar te ne bom pustil v celoti nekaznovanega.‹«

< Yeremia 46 >