< Yeremia 45 >

1 Hili ndilo nabii Yeremia alilomwambia Baruku mwana wa Neria katika mwaka wa nne wa utawala wa Yehoyakimu mwana wa Yosia mfalme wa Yuda, baada ya Baruku kuandika katika kitabu maneno ambayo yalitoka kinywani mwa Yeremia wakati ule:
Detta är det ord, som Propheten Jeremia talade till Baruch, Neria son, då han dessa orden skref i ene bok, utaf Jeremia mun, uti fjerde årena Jojakims, Josia sons, Juda Konungs, och sade:
2 “Hili ndilo Bwana, Mungu wa Israeli, akuambialo wewe Baruku:
Detta säger Herren, Israels Gud, om dig, Baruch:
3 Ulisema, ‘Ole wangu! Bwana ameongeza huzuni juu ya maumivu yangu, nimechoka kwa kulia kwa uchungu wala sipati pumziko.’”
Du sade: Ve mig, huru hafver Herren fogat mig jämmer till uppå min värk; jag suckar mig tröttan, och finner ingen ro.
4 Bwana akasema, “Mwambie hivi: ‘Hili ndilo asemalo Bwana: Nitakibomoa kile nilichokijenga, na kungʼoa kile nilichokipanda katika nchi yote.
Säg honom alltså: Så säger Herren: Si, det jag uppbyggt hafver, det bryter jag neder, och det jag planterat hafver, det upprycker jag, samt med allt detta mitt eget land.
5 Je, utajitafutia mambo makubwa kwa ajili yako mwenyewe? Usiyatafute hayo. Kwa kuwa nitaleta maangamizi juu ya watu wote, asema Bwana, lakini popote utakapokwenda, nitayaokoa maisha yako.’”
Och du begärar dig stor ting? Begära det intet; ty Si, jag vill låta olycko komma öfver allt kött, säger Herren; men dina själ vill jag gifva dig till ett byte, ehvart du drager.

< Yeremia 45 >