< Yeremia 45 >

1 Hili ndilo nabii Yeremia alilomwambia Baruku mwana wa Neria katika mwaka wa nne wa utawala wa Yehoyakimu mwana wa Yosia mfalme wa Yuda, baada ya Baruku kuandika katika kitabu maneno ambayo yalitoka kinywani mwa Yeremia wakati ule:
La parole que Jérémie le prophète dit à Baruc, fils de Nérija, lorsqu’il écrivait ces paroles-là dans un livre, sous la dictée de Jérémie, en la quatrième année de Jehoïakim, fils de Josias, roi de Juda, disant:
2 “Hili ndilo Bwana, Mungu wa Israeli, akuambialo wewe Baruku:
Ainsi dit l’Éternel, le Dieu d’Israël, à ton sujet, Baruc:
3 Ulisema, ‘Ole wangu! Bwana ameongeza huzuni juu ya maumivu yangu, nimechoka kwa kulia kwa uchungu wala sipati pumziko.’”
Tu as dit: Malheur à moi! car l’Éternel a ajouté le chagrin à ma douleur; je me suis fatigué dans mon gémissement, et je n’ai pas trouvé de repos.
4 Bwana akasema, “Mwambie hivi: ‘Hili ndilo asemalo Bwana: Nitakibomoa kile nilichokijenga, na kungʼoa kile nilichokipanda katika nchi yote.
Tu lui diras ainsi: Ainsi dit l’Éternel: Voici, ce que j’avais bâti, je le renverse, et ce que j’avais planté, je l’arrache, – tout ce pays.
5 Je, utajitafutia mambo makubwa kwa ajili yako mwenyewe? Usiyatafute hayo. Kwa kuwa nitaleta maangamizi juu ya watu wote, asema Bwana, lakini popote utakapokwenda, nitayaokoa maisha yako.’”
Et toi, tu chercherais pour toi de grandes choses? Ne les cherche pas; car voici, je fais venir du mal sur toute chair, dit l’Éternel; mais je te donnerai ta vie pour butin, dans tous les lieux où tu iras.

< Yeremia 45 >