< Yeremia 45 >

1 Hili ndilo nabii Yeremia alilomwambia Baruku mwana wa Neria katika mwaka wa nne wa utawala wa Yehoyakimu mwana wa Yosia mfalme wa Yuda, baada ya Baruku kuandika katika kitabu maneno ambayo yalitoka kinywani mwa Yeremia wakati ule:
Message que Jérémie, le prophète, adressa à Baruc, fils de Neriah, lorsqu'il écrivit ces paroles dans un livre de la bouche de Jérémie, la quatrième année de Jojakim, fils de Josias, roi de Juda, en disant:
2 “Hili ndilo Bwana, Mungu wa Israeli, akuambialo wewe Baruku:
« Yahvé, le Dieu d'Israël, te parle, Baruc:
3 Ulisema, ‘Ole wangu! Bwana ameongeza huzuni juu ya maumivu yangu, nimechoka kwa kulia kwa uchungu wala sipati pumziko.’”
Tu as dit: « Malheur à moi maintenant! Car Yahvé a ajouté la douleur à ma peine! Je suis fatigué par mes gémissements, et je ne trouve pas de repos. »
4 Bwana akasema, “Mwambie hivi: ‘Hili ndilo asemalo Bwana: Nitakibomoa kile nilichokijenga, na kungʼoa kile nilichokipanda katika nchi yote.
Tu lui diras: Yahvé dit: « Voici, je détruirai ce que j'ai construit, j'arracherai ce que j'ai planté, et cela dans tout le pays.
5 Je, utajitafutia mambo makubwa kwa ajili yako mwenyewe? Usiyatafute hayo. Kwa kuwa nitaleta maangamizi juu ya watu wote, asema Bwana, lakini popote utakapokwenda, nitayaokoa maisha yako.’”
Cherches-tu de grandes choses pour toi-même? Ne les cherche pas, car voici que je vais faire venir le malheur sur toute chair, dit Yahvé, mais je te laisserai échapper avec ta vie partout où tu iras. »

< Yeremia 45 >