< Yeremia 43 >

1 Yeremia alipomaliza kuwaambia watu maneno yote ya Bwana Mungu wao, yaani kila kitu Bwana alichokuwa amemtuma kuwaambia,
Pripetilo se je, da ko je Jeremija končal govorjenje vsemu ljudstvu vse besede Gospoda, njihovega Boga, za katere ga je Gospod, njihov Bog, poslal k njim, celó vse te besede,
2 Azaria mwana wa Hoshaya, na Yohanani mwana wa Karea, na watu wote wenye kiburi wakamwambia Yeremia, “Wewe unasema uongo! Bwana Mungu wetu hajakutuma kusema, ‘Kamwe msiende Misri kukaa huko.’
so potem spregovorili Hošajájev sin Azarjá, Karéahov sin Johanán in vsi ponosni možje, rekoč Jeremiju: »Napačno govoriš. Gospod, naš Bog, te ni poslal, da rečeš: ›Ne pojdite v Egipt, da začasno prebivate tam, ‹
3 Lakini Baruku mwana wa Neria anakuchochea dhidi yetu ili ututie mikononi mwa Wakaldayo, ili watuue au watuchukue uhamishoni Babeli.”
temveč te je Nerijájev sin Baruh naravnal zoper nas, da nas izročiš v roko Kaldejcev, da bi nas oni lahko usmrtili in nas odvedli ujetnike v Babilon.«
4 Basi Yohanani mwana wa Karea, na maafisa wote wa jeshi, na watu wote wakakataa kutii amri ya Bwana ya kukaa katika nchi ya Yuda.
Tako Karéahov sin Johanán, vsi poveljniki sil in vse ljudstvo niso ubogali glasu Gospoda, da prebivajo v Judovi deželi,
5 Badala yake, Yohanani mwana wa Karea na maafisa wote wa jeshi wakawaongoza mabaki yote ya Yuda waliokuwa wamerudi kuishi katika nchi ya Yuda kutoka mataifa yote ambayo walikuwa wametawanywa.
temveč so Karéahov sin Johanán in vsi poveljniki sil vzeli ves Judov preostanek, ki se je vrnil iz vseh narodov, kamor so bili pognani, da prebivajo v Judovi deželi;
6 Pia wakawaongoza wanaume wote, wanawake na watoto, na binti za mfalme ambao Nebuzaradani kiongozi wa walinzi wa mfalme alikuwa amewaacha na Gedalia mwana wa Ahikamu mwana wa Shafani, na nabii Yeremia, na Baruku mwana wa Neria.
celó može, ženske, otroke, kraljeve hčere in vsako osebo, ki jih je Nebuzaradán, poveljnik straže, pustil z Gedaljájem, sinom Ahikáma, sinom Šafána in prerokom Jeremijem in Nerijájevim sinom Baruhom.
7 Kwa hiyo wakaingia Misri kwa kutokumtii Bwana, wakaenda mpaka Tahpanhesi.
Tako so prišli v egiptovsko deželo, kajti niso ubogali glasu Gospoda. Tako so prišli celó v Tahpanhés.
8 Huko Tahpanhesi neno la Bwana likamjia Yeremia kusema:
Potem je prišla beseda od Gospoda Jeremiju v Tahpanhésu, rekoč:
9 “Wayahudi wakiwa wanaona, chukua baadhi ya mawe makubwa na kuyazika katika udongo wa mfinyanzi katika njia iliyojengwa kwa matofali katika ingilio la jumba la kifalme la Farao huko Tahpanhesi.
»V svojo roko vzemi velike kamne in jih skrij v ilo v opekarsko peč, ki je pri vhodu faraonove hiše v Tahpanhésu, pred očmi Judovih mož
10 Kisha uwaambie, ‘Hili ndilo Bwana Mwenye Nguvu Zote, Mungu wa Israeli, asemalo: Nitamtumania mtumishi wangu Nebukadneza mfalme wa Babeli, nami nitakiweka kiti chake cha enzi juu ya haya mawe niliyoyazika hapa, naye atatandaza hema yake ya ufalme juu yake.
in jim reci: ›Tako govori Gospod nad bojevniki, Izraelov Bog: ›Glejte, poslal bom in vzel babilonskega kralja Nebukadnezarja, svojega služabnika in njegov prestol bom postavil na teh kamnih, ki sem jih skril; in on bo nad njimi razpel svoj kraljevi paviljon.
11 Atakuja na kuishambulia Misri, akiwaua wale waliokusudiwa kuuawa, awateke mateka wale waliokusudiwa kutekwa, na upanga kwa wale waliokusudiwa upanga.
In ko pride, bo udaril egiptovsko deželo in izročil tiste, ki so za smrt, k smrti; in tiste, ki so za ujetništvo, k ujetništvu; in tiste, ki so za meč, k meču.
12 Atachoma moto mahekalu yao ya miungu ya Misri, atachoma mahekalu yao na kuteka miungu yao. Kama vile mchungaji ajizungushiavyo vazi lake ndivyo atakavyojizungushia Misri na kuondoka mahali hapo bila kudhurika.
In jaz bom prižgal ogenj v hišah egiptovskih bogov in on jih bo sežgal in jih odvedel proč ujetnike; in odel se bo z egiptovsko deželo, kakor si pastir nadene svojo obleko; in od tod bo šel naprej v miru.
13 Humo ndani ya hekalu la jua nchini ya Misri atabomoa nguzo za ibada, na kuteketeza kwa moto mahekalu ya miungu wa Misri.’”
Zlomil bo tudi podobe Bet Šemeša, ki je v egiptovski deželi; in hiše egipčanskih bogov bo sežgal z ognjem.«

< Yeremia 43 >