< Yeremia 43 >
1 Yeremia alipomaliza kuwaambia watu maneno yote ya Bwana Mungu wao, yaani kila kitu Bwana alichokuwa amemtuma kuwaambia,
A kad izgovori Jeremija svemu narodu sve rijeèi Gospoda Boga njihova, koje mu Gospod Bog njihov zapovjedi za njih, sve te rijeèi,
2 Azaria mwana wa Hoshaya, na Yohanani mwana wa Karea, na watu wote wenye kiburi wakamwambia Yeremia, “Wewe unasema uongo! Bwana Mungu wetu hajakutuma kusema, ‘Kamwe msiende Misri kukaa huko.’
Tada Azarija sin Osajin i Joanan sin Karijin i svi oni ljudi oholi rekoše Jeremiji govoreæi: nije istina što govoriš; nije te poslao Gospod Bog naš da nam kažeš: ne idite u Misir da se ondje stanite.
3 Lakini Baruku mwana wa Neria anakuchochea dhidi yetu ili ututie mikononi mwa Wakaldayo, ili watuue au watuchukue uhamishoni Babeli.”
Nego Varuh sin Nirijin podgovara te na nas da nas preda u ruke Haldejcima da nas pogube ili da nas presele u Vavilon.
4 Basi Yohanani mwana wa Karea, na maafisa wote wa jeshi, na watu wote wakakataa kutii amri ya Bwana ya kukaa katika nchi ya Yuda.
I tako Joanan sin Karijin i sve vojvode i sav narod ne poslušaše glasa Gospodnjega da ostanu u zemlji Judinoj.
5 Badala yake, Yohanani mwana wa Karea na maafisa wote wa jeshi wakawaongoza mabaki yote ya Yuda waliokuwa wamerudi kuishi katika nchi ya Yuda kutoka mataifa yote ambayo walikuwa wametawanywa.
Nego Joanan sin Karijin i sve vojvode uzeše sav ostatak Judin koji se bijaše vratio da živi u zemlji Judinoj iz svijeh naroda u koje bijahu razagnani,
6 Pia wakawaongoza wanaume wote, wanawake na watoto, na binti za mfalme ambao Nebuzaradani kiongozi wa walinzi wa mfalme alikuwa amewaacha na Gedalia mwana wa Ahikamu mwana wa Shafani, na nabii Yeremia, na Baruku mwana wa Neria.
Ljude i žene i djecu i kæeri careve, i sve duše što bijaše ostavio Nevuzardan zapovjednik stražarski s Godolijom sinom Ahikama sina Safanova, i Jeremiju proroka i Varuha sina Nirijina,
7 Kwa hiyo wakaingia Misri kwa kutokumtii Bwana, wakaenda mpaka Tahpanhesi.
I otidoše u zemlju Misirsku, jer ne poslušaše glasa Gospodnjega; i doðoše do Tafnesa.
8 Huko Tahpanhesi neno la Bwana likamjia Yeremia kusema:
I doðe rijeè Gospodnja Jeremiji u Tafnesu govoreæi:
9 “Wayahudi wakiwa wanaona, chukua baadhi ya mawe makubwa na kuyazika katika udongo wa mfinyanzi katika njia iliyojengwa kwa matofali katika ingilio la jumba la kifalme la Farao huko Tahpanhesi.
Uzmi u ruke velikoga kamenja, i pokrij ga kalom u peæi za opeke što je na vratima doma Faraonova u Tafnesu da vide Judejci;
10 Kisha uwaambie, ‘Hili ndilo Bwana Mwenye Nguvu Zote, Mungu wa Israeli, asemalo: Nitamtumania mtumishi wangu Nebukadneza mfalme wa Babeli, nami nitakiweka kiti chake cha enzi juu ya haya mawe niliyoyazika hapa, naye atatandaza hema yake ya ufalme juu yake.
I reci im: ovako veli Gospod nad vojskama Bog Izrailjev: evo, ja æu poslati i dovesti Navuhodonosora cara Vavilonskoga slugu svojega, i metnuæu prijesto njegov na ovo kamenje koje sakrih, i razapeæe carski šator svoj na njemu.
11 Atakuja na kuishambulia Misri, akiwaua wale waliokusudiwa kuuawa, awateke mateka wale waliokusudiwa kutekwa, na upanga kwa wale waliokusudiwa upanga.
Jer æe doæi i zatrti zemlju Misirsku; ko bude za smrt otiæi æe na smrt, ko za ropstvo, u ropstvo, ko za maè, pod maè.
12 Atachoma moto mahekalu yao ya miungu ya Misri, atachoma mahekalu yao na kuteka miungu yao. Kama vile mchungaji ajizungushiavyo vazi lake ndivyo atakavyojizungushia Misri na kuondoka mahali hapo bila kudhurika.
I raspaliæu oganj u kuæama bogova Misirskih; i popaliæe ih i odvešæe ih u ropstvo, i ogrnuæe se zemljom Misirskom kao što se pastir ogræe plaštem svojim, i otiæi æe odande s mirom.
13 Humo ndani ya hekalu la jua nchini ya Misri atabomoa nguzo za ibada, na kuteketeza kwa moto mahekalu ya miungu wa Misri.’”
I izlomiæe stupove u domu sunèanom što je u zemlji Misirskoj, i kuæe bogova Misirskih popaliæe ognjem.