< Yeremia 43 >

1 Yeremia alipomaliza kuwaambia watu maneno yote ya Bwana Mungu wao, yaani kila kitu Bwana alichokuwa amemtuma kuwaambia,
وقتی پیغام خداوند را به طور کامل به آنها اعلام نمودم،
2 Azaria mwana wa Hoshaya, na Yohanani mwana wa Karea, na watu wote wenye kiburi wakamwambia Yeremia, “Wewe unasema uongo! Bwana Mungu wetu hajakutuma kusema, ‘Kamwe msiende Misri kukaa huko.’
عزریا (پسر هوشعیا) و یوحانان (پسر قاریح) و سایر اشخاص خودپسند گفتند: «تو دروغ می‌گویی! خداوند، خدای ما به تو نگفته است که ما به مصر نرویم! باروک (پسر نیریا) بر ضد ما توطئه چیده و به تو گفته است که این مطالب را بگویی تا ما اینجا بمانیم و بابِلی‌ها ما را بکشند یا به تبعید ببرند.»
3 Lakini Baruku mwana wa Neria anakuchochea dhidi yetu ili ututie mikononi mwa Wakaldayo, ili watuue au watuchukue uhamishoni Babeli.”
4 Basi Yohanani mwana wa Karea, na maafisa wote wa jeshi, na watu wote wakakataa kutii amri ya Bwana ya kukaa katika nchi ya Yuda.
پس یوحانان و سرداران لشکر و سایر مردم نخواستند دستور خداوند را اطاعت کنند و در یهودا بمانند.
5 Badala yake, Yohanani mwana wa Karea na maafisa wote wa jeshi wakawaongoza mabaki yote ya Yuda waliokuwa wamerudi kuishi katika nchi ya Yuda kutoka mataifa yote ambayo walikuwa wametawanywa.
همهٔ ایشان، حتی تمام کسانی که به سرزمینهای نزدیک فرار کرده و بعد بازگشته بودند، با یوحانان و سرداران لشکر عازم مصر شدند.
6 Pia wakawaongoza wanaume wote, wanawake na watoto, na binti za mfalme ambao Nebuzaradani kiongozi wa walinzi wa mfalme alikuwa amewaacha na Gedalia mwana wa Ahikamu mwana wa Shafani, na nabii Yeremia, na Baruku mwana wa Neria.
در این گروه، مردان، زنان، کودکان و نیز دختران پادشاه و تمام کسانی که نبوزرادان، فرماندهٔ سپاه بابِل، به دست جدلیا سپرده بود، دیده می‌شدند؛ ایشان حتی من و باروک را به زور با خود بردند.
7 Kwa hiyo wakaingia Misri kwa kutokumtii Bwana, wakaenda mpaka Tahpanhesi.
به این ترتیب به مصر رسیدیم و وارد شهر تحفنحیس شدیم، زیرا آنها از دستور خداوند سرپیچی کردند.
8 Huko Tahpanhesi neno la Bwana likamjia Yeremia kusema:
آنگاه در تحفنحیس بار دیگر خداوند با من سخن گفت و فرمود:
9 “Wayahudi wakiwa wanaona, chukua baadhi ya mawe makubwa na kuyazika katika udongo wa mfinyanzi katika njia iliyojengwa kwa matofali katika ingilio la jumba la kifalme la Farao huko Tahpanhesi.
«مردان یهودا را جمع کن و در برابر چشمان ایشان، سنگهای بزرگی بگیر و در سنگفرش محوطه مشرف بر دروازهٔ قصر پادشاه مصر در تحفنحیس پنهان کن،
10 Kisha uwaambie, ‘Hili ndilo Bwana Mwenye Nguvu Zote, Mungu wa Israeli, asemalo: Nitamtumania mtumishi wangu Nebukadneza mfalme wa Babeli, nami nitakiweka kiti chake cha enzi juu ya haya mawe niliyoyazika hapa, naye atatandaza hema yake ya ufalme juu yake.
و به مردان یهودا بگو که من، خداوند لشکرهای آسمان، خدای اسرائیل بندهٔ خود، نِبوکَدنِصَّر، پادشاه بابِل را به مصر خواهم آورد، و او تخت سلطنت خود را روی همین سنگهایی که در اینجا پنهان شده‌اند، برقرار خواهد ساخت و سایبان شاهانه‌اش را روی آنها برخواهد افراشت.
11 Atakuja na kuishambulia Misri, akiwaua wale waliokusudiwa kuuawa, awateke mateka wale waliokusudiwa kutekwa, na upanga kwa wale waliokusudiwa upanga.
او مملکت مصر را ویران خواهد ساخت و آنانی را که محکوم به مرگند، خواهد کشت، آنانی را که محکوم به تبعیدند، به اسیری خواهد برد و آنانی را که باید با شمشیر کشته شوند، از دم شمشیر خواهد گذراند.
12 Atachoma moto mahekalu yao ya miungu ya Misri, atachoma mahekalu yao na kuteka miungu yao. Kama vile mchungaji ajizungushiavyo vazi lake ndivyo atakavyojizungushia Misri na kuondoka mahali hapo bila kudhurika.
همچنین معبدهای خدایان مصر را به آتش خواهد کشید، و بتها را یا خواهد سوزاند و یا با خود به غنیمت خواهد برد. همان‌گونه که چوپان ککهای لباس خود را یک به یک برمی‌چیند، نِبوکَدنِصَّر هم مصر را تمام غارت خواهد کرد و پیروزمندانه آنجا را ترک خواهد گفت.
13 Humo ndani ya hekalu la jua nchini ya Misri atabomoa nguzo za ibada, na kuteketeza kwa moto mahekalu ya miungu wa Misri.’”
او ستونهای معبد خورشید را خواهد شکست و معبدهای خدایان مصر را به آتش خواهد کشید.»

< Yeremia 43 >