< Yeremia 43 >

1 Yeremia alipomaliza kuwaambia watu maneno yote ya Bwana Mungu wao, yaani kila kitu Bwana alichokuwa amemtuma kuwaambia,
Et lorsque Jérémie eut achevé de dire à tout le peuple toutes les paroles de l’Éternel, leur Dieu, toutes ces paroles avec lesquelles l’Éternel, leur Dieu, l’avait envoyé vers eux,
2 Azaria mwana wa Hoshaya, na Yohanani mwana wa Karea, na watu wote wenye kiburi wakamwambia Yeremia, “Wewe unasema uongo! Bwana Mungu wetu hajakutuma kusema, ‘Kamwe msiende Misri kukaa huko.’
il arriva qu’Azaria, fils de Hoshahia, et Jokhanan, fils de Karéakh, et tous les hommes orgueilleux, parlèrent à Jérémie, disant: C’est un mensonge que tu dis; l’Éternel, notre Dieu, ne t’a pas envoyé pour [nous] dire: N’allez point en Égypte pour y séjourner.
3 Lakini Baruku mwana wa Neria anakuchochea dhidi yetu ili ututie mikononi mwa Wakaldayo, ili watuue au watuchukue uhamishoni Babeli.”
Mais Baruc, fils de Nérija, t’incite contre nous, afin de nous livrer en la main des Chaldéens, pour nous faire mourir et pour nous transporter à Babylone.
4 Basi Yohanani mwana wa Karea, na maafisa wote wa jeshi, na watu wote wakakataa kutii amri ya Bwana ya kukaa katika nchi ya Yuda.
Et Jokhanan, fils de Karéakh, et tous les chefs des forces, et tout le peuple, n’écoutèrent point la voix de l’Éternel, pour habiter dans le pays de Juda.
5 Badala yake, Yohanani mwana wa Karea na maafisa wote wa jeshi wakawaongoza mabaki yote ya Yuda waliokuwa wamerudi kuishi katika nchi ya Yuda kutoka mataifa yote ambayo walikuwa wametawanywa.
Et Jokhanan, fils de Karéakh, et tous les chefs des forces, prirent tout le reste de Juda, ceux qui, de toutes les nations parmi lesquelles ils avaient été chassés, étaient retournés pour séjourner dans le pays de Juda:
6 Pia wakawaongoza wanaume wote, wanawake na watoto, na binti za mfalme ambao Nebuzaradani kiongozi wa walinzi wa mfalme alikuwa amewaacha na Gedalia mwana wa Ahikamu mwana wa Shafani, na nabii Yeremia, na Baruku mwana wa Neria.
les hommes forts, et les femmes, et les petits enfants, et les filles du roi, et toutes les âmes que Nebuzaradan, chef des gardes, avait laissées avec Guedalia, fils d’Akhikam, fils de Shaphan, et Jérémie le prophète, et Baruc, fils de Nérija;
7 Kwa hiyo wakaingia Misri kwa kutokumtii Bwana, wakaenda mpaka Tahpanhesi.
et ils entrèrent dans le pays d’Égypte, car ils n’avaient pas écouté la voix de l’Éternel; et ils vinrent jusqu’à Takhpanès.
8 Huko Tahpanhesi neno la Bwana likamjia Yeremia kusema:
Et la parole de l’Éternel vint à Jérémie, à Takhpanès, disant:
9 “Wayahudi wakiwa wanaona, chukua baadhi ya mawe makubwa na kuyazika katika udongo wa mfinyanzi katika njia iliyojengwa kwa matofali katika ingilio la jumba la kifalme la Farao huko Tahpanhesi.
Prends dans ta main de grosses pierres, et cache-les dans l’argile, dans le four à briques qui est à l’entrée de la maison du Pharaon, à Takhpanès, sous les yeux des Juifs;
10 Kisha uwaambie, ‘Hili ndilo Bwana Mwenye Nguvu Zote, Mungu wa Israeli, asemalo: Nitamtumania mtumishi wangu Nebukadneza mfalme wa Babeli, nami nitakiweka kiti chake cha enzi juu ya haya mawe niliyoyazika hapa, naye atatandaza hema yake ya ufalme juu yake.
et dis-leur: Ainsi dit l’Éternel des armées, le Dieu d’Israël: Voici, j’envoie, et je prendrai Nebucadretsar, roi de Babylone, mon serviteur; et je mettrai son trône au-dessus de ces pierres que j’ai cachées, et il étendra sur elles sa tente magnifique;
11 Atakuja na kuishambulia Misri, akiwaua wale waliokusudiwa kuuawa, awateke mateka wale waliokusudiwa kutekwa, na upanga kwa wale waliokusudiwa upanga.
et il viendra, et frappera le pays d’Égypte: qui pour la mort, à la mort, et qui pour la captivité, à la captivité, et qui pour l’épée, à l’épée.
12 Atachoma moto mahekalu yao ya miungu ya Misri, atachoma mahekalu yao na kuteka miungu yao. Kama vile mchungaji ajizungushiavyo vazi lake ndivyo atakavyojizungushia Misri na kuondoka mahali hapo bila kudhurika.
Et j’allumerai un feu dans les maisons des dieux d’Égypte, et [Nebucadretsar] les brûlera, et les emmènera captifs; et il se revêtira du pays d’Égypte comme un berger se revêt de son vêtement, et il en sortira en paix.
13 Humo ndani ya hekalu la jua nchini ya Misri atabomoa nguzo za ibada, na kuteketeza kwa moto mahekalu ya miungu wa Misri.’”
Et il brisera les stèles de Beth-Shémesh, qui est dans le pays d’Égypte, et brûlera par le feu les maisons des dieux de l’Égypte.

< Yeremia 43 >