< Yeremia 43 >

1 Yeremia alipomaliza kuwaambia watu maneno yote ya Bwana Mungu wao, yaani kila kitu Bwana alichokuwa amemtuma kuwaambia,
A taengah a tueih pah a BOEIPA Pathen kah ol cungkuem te pilnam pum taengah a thui. Te te Jeremiah loh a khah vaengah a BOEIPA Pathen loh amih ham a paek ol te cung.
2 Azaria mwana wa Hoshaya, na Yohanani mwana wa Karea, na watu wote wenye kiburi wakamwambia Yeremia, “Wewe unasema uongo! Bwana Mungu wetu hajakutuma kusema, ‘Kamwe msiende Misri kukaa huko.’
Te vaengah Hoshaiah capa Azariah neh Kareah capa Johanan neh thinlen hlang boeih loh Jeremiah te, “A honghi ni na thui, Egypt la caeh pawt ham neh bakuep pahoi pawt ham aka thui la mamih kah Pathen BOEIPA loh nang n'tueih moenih.
3 Lakini Baruku mwana wa Neria anakuchochea dhidi yetu ili ututie mikononi mwa Wakaldayo, ili watuue au watuchukue uhamishoni Babeli.”
Tedae kaimih he Khalden kut ah paek ham, kaimih duek sak ham neh kaimih he Babylon ah poelyoe ham ni kaimih voelah Neriah capa Barukh loh nang te m'vueh,” a ti na uh.
4 Basi Yohanani mwana wa Karea, na maafisa wote wa jeshi, na watu wote wakakataa kutii amri ya Bwana ya kukaa katika nchi ya Yuda.
Judah khohmuen kah khosak ham dongah Kareah capa Johanan neh caem mangpa boeih neh pilnam pum loh BOEIPA ol te hnatun uh pawh.
5 Badala yake, Yohanani mwana wa Karea na maafisa wote wa jeshi wakawaongoza mabaki yote ya Yuda waliokuwa wamerudi kuishi katika nchi ya Yuda kutoka mataifa yote ambayo walikuwa wametawanywa.
Kareah capa Johanan neh caem mangpa boeih loh, Judah khohmuen ah bakuep sak ham a heh nah namtom boeih lamloh aka mael Judah kah a meet te boeih a loh.
6 Pia wakawaongoza wanaume wote, wanawake na watoto, na binti za mfalme ambao Nebuzaradani kiongozi wa walinzi wa mfalme alikuwa amewaacha na Gedalia mwana wa Ahikamu mwana wa Shafani, na nabii Yeremia, na Baruku mwana wa Neria.
Tongpa, huta neh camoe, manghai canu rhoek neh Shaphan koca Ahikam capa Gedaliah neh imtawt boeiping Nebuzaradan loh a paih hinglu boeih khaw, tonghma Jeremiah neh Neriah capa Barukh te a khuen.
7 Kwa hiyo wakaingia Misri kwa kutokumtii Bwana, wakaenda mpaka Tahpanhesi.
Te dongah Egypt khohmuen te a pha uh dae BOEIPA ol te a hnatun uh pawt dongah Tahpanhes la pawk uh.
8 Huko Tahpanhesi neno la Bwana likamjia Yeremia kusema:
Tahpanhes ah Jeremiah taengla BOEIPA ol koep ha pawk tih,
9 “Wayahudi wakiwa wanaona, chukua baadhi ya mawe makubwa na kuyazika katika udongo wa mfinyanzi katika njia iliyojengwa kwa matofali katika ingilio la jumba la kifalme la Farao huko Tahpanhesi.
“Na kut dongah lungto len lo lamtah Judah hlang rhoek kah mikhmuh ah Tahpanhes kah Pharaoh im thohka, taptlang laiting ah up.
10 Kisha uwaambie, ‘Hili ndilo Bwana Mwenye Nguvu Zote, Mungu wa Israeli, asemalo: Nitamtumania mtumishi wangu Nebukadneza mfalme wa Babeli, nami nitakiweka kiti chake cha enzi juu ya haya mawe niliyoyazika hapa, naye atatandaza hema yake ya ufalme juu yake.
Te phoeiah amih te thui pah. Israel Pathen caempuei BOEIPA loh he ni a thui. Ka sal Babylon manghai Nebukhanezar te ka tueih coeng dae ka loh pueng ni. He lungto ka up he anih kah ngolkhoel ka hol thil vetih a sokah amah po, amah po te a bueng thil ni.
11 Atakuja na kuishambulia Misri, akiwaua wale waliokusudiwa kuuawa, awateke mateka wale waliokusudiwa kutekwa, na upanga kwa wale waliokusudiwa upanga.
Egypt khohmuen la a pawk, a pawk vaengah dueknah ham tueng te dueknah neh, tamna ham tueng te tamna la, cunghang dongkah ham tueng te cunghang neh a ngawn ni.
12 Atachoma moto mahekalu yao ya miungu ya Misri, atachoma mahekalu yao na kuteka miungu yao. Kama vile mchungaji ajizungushiavyo vazi lake ndivyo atakavyojizungushia Misri na kuondoka mahali hapo bila kudhurika.
Egypt pathen im te hmai ka hlup phoeiah a hoeh vetih amih te a sol ni. Boiva aka dawn loh a himbai neh a kulup bangla Egypt khohmuen neh kulup uh vetih te lamloh ngaimong la khoe uh ni.
13 Humo ndani ya hekalu la jua nchini ya Misri atabomoa nguzo za ibada, na kuteketeza kwa moto mahekalu ya miungu wa Misri.’”
Egypt kho kah Bethshemesh kaam te a phaek pah vetih Egypt pathen im te hmai neh a hoeh ni,” a ti nah.

< Yeremia 43 >