< Yeremia 38 >
1 Shefatia mwana wa Matani, na Gedalia mwana wa Pashuri, na Yehukali mwana wa Shelemia, na Pashuri mwana wa Malkiya wakasikia kile Yeremia alichokuwa akiwaambia watu wote wakati aliposema,
Na da dunu huluane ilima Hina Gode ea sia: i amane olelei, “Nowa dunu da Yelusaleme ganodini ouesalea, e da gegesu o ha: bagade o olosu amoga bogomu. Be nowa da gadili ahoasea, Ba: bilone fi ilima e gagulaligima: ne olelesea, e da medole legei dagoi hame ba: mu. E da esalumu. Na da Hina Gode Ea sia: i eno ilima olelei, amane,” Na da moilai bai bagade amo Ba: bilone dadi gagui wa: i ilima imunu, amola ilia da huluane gesowale lale dagomu.” Siefadaia (Ma: da: ne egefe), Gedalaia (Ba: sie egefe), Yihuga: le (Sielemaia egefe) amola Ba: sie (Ma: legaia egefe) ilia da na sia: nabi dagoi.
2 “Hili ndilo asemalo Bwana: ‘Yeyote akaaye ndani ya mji huu atakufa kwa upanga, njaa au tauni, lakini yeyote atakayejisalimisha kwa Wakaldayo ataishi. Atakayeyatoa maisha yake kama nyara, ataishi.’
3 Tena hili ndilo asemalo Bwana: ‘Mji huu kwa hakika utatiwa mikononi mwa jeshi la mfalme wa Babeli, ambaye atauteka.’”
4 Ndipo maafisa wakamwambia mfalme, “Mtu huyu imempasa kuuawa. Anawakatisha tamaa askari waliobaki katika mji huu, vivyo hivyo na watu wote pia, kwa ajili ya mambo anayowaambia. Mtu huyu hawatakii mema watu hawa, bali maangamizi yao.”
Amalalu, ilia da hina bagadema asili, amane sia: i, “Amo dunu medole legemu da defea. E da amane sia: dalebeba: le, dadi gagui dunu da beda: su laha. Amola e da dunu huluane moilai ganodini esalebe, ilima ili beda: ma: ne sia: sa. E da dunu hame fidisa. E da ili se nabima: ne fawane hanai galebe.”
5 Mfalme Sedekia akajibu, “Yeye yuko mikononi mwenu! Mfalme hawezi kufanya lolote kuwapinga ninyi.”
Hina bagade Sedegaia da amane adole i, “Defea! Dilia hanaiga ema hamoma! Na da dilia logo ga: musa: hame dawa: !”
6 Basi wakamchukua Yeremia na kumtia kwenye kisima cha Malkiya, mwana wa mfalme, kilichokuwa katika ua wa walinzi. Wakamteremsha Yeremia kwa kamba ndani ya kisima. Hakikuwa na maji ndani yake, ila tope tu, naye Yeremia akazama ndani ya matope.
Amaiba: le, ilia da na gagulaligili, efega la: gili, hina bagade egefe Ma: legaia amo ea hano uli dogoi ganodini sanasi. Hano uli dogoi ganodini da hano hame dialu, fafu fawane dialebe ba: i. Amo ganodini na da bosona sa: i dagoi.
7 Lakini Ebed-Meleki Mkushi, aliyekuwa afisa katika jumba la kifalme, akasikia kuwa walikuwa wamemtia Yeremia ndani ya kisima. Wakati mfalme alipokuwa ameketi katika Lango la Benyamini,
Be Ibedemilege (amo da Suda: ne soge gulusu danai dunu, e da hina bagade diasu ganodini hawa: hamonanu), ilia da na hano uli dogoi ganodini sanasi amo nabi. Amo esoga, hina bagade da Bediamini Logo Ga: su amoga fofada: su hamonanu.
8 Ebed-Meleki akatoka nje ya jumba la kifalme na kumwambia,
Amaiba: le, Ibedemilege da amoga asili, hina bagadema amane sia: i,
9 “Mfalme bwana wangu, watu hawa wamefanya uovu kwa yote waliomtendea nabii Yeremia. Wamemtupa ndani ya kisima, mahali ambapo atakufa kwa njaa wakati ambapo hakuna chakula popote katika mji.”
“Hina bagade! Amo dunu ilia da wadela: le hamoi. Ilia da Yelemaia amo hano uli dogoi amo ganodini sanasi. Amogawi, e da dafawane bogomu. Bai moilai bai bagade amo ganodini da ha: i manu hame gala.”
10 Basi mfalme akamwamuru Ebed-Meleki Mkushi, akisema, “Chukua watu thelathini kutoka hapa pamoja nawe, mkamtoe nabii Yeremia huko kwenye kisima kabla hajafa.”
Amalalu, hina bagade Sedegaia da Ibedemilege ema e da dunu udiana oule asili, na bogosa: besa: le, hano uli dogoi amoga hiougili gadoma: ne sia: i.
11 Basi Ebed-Meleki akawachukua watu pamoja naye, wakaenda mpaka kwenye chumba kilichoko chini ya hazina ndani ya jumba la kifalme. Akachukua matambaa makuukuu pamoja na nguo zilizochakaa kutoka huko, na kumshushia Yeremia kwa kamba ndani ya kisima.
Amaiba: le, Ibedemilege da amo dunu oule asili, hina bagade liligi ligisisu diasu amoga hea abula lale, efega la: gili nama sanasi.
12 Ebed-Meleki Mkushi akamwambia Yeremia, “Weka haya matambaa makuukuu na hizo nguo zilizochakaa makwapani ili kuzuia kamba.” Yeremia akafanya hivyo,
E da na efega se nabasa: besa: le, amo hea abula na lobo haguduga ligisima: ne sia: i. Na da amo hamoi dagoi.
13 nao wakamvuta juu kwa kamba na kumtoa katika kisima. Yeremia akakaa katika ua wa walinzi.
Amalalu, ilia da efega na hano uli dogoi yolesima: ne, hiougili gadoi. Fa: no na da hina bagade diasu gagoi amo ganodini gagili ga: i agoane esalebe ba: i.
14 Ndipo Mfalme Sedekia akatuma watu wamwitie nabii Yeremia wamlete kwake kwenye ingilio la tatu la Hekalu la Bwana. Mfalme akamwambia Yeremia, “Ninataka kukuuliza jambo fulani, usinifiche kitu chochote.”
Eso enoga, hina bagade Sedegaia da, ilia na Debolo ea logo osoda amoga oule misa: ne sia: i. E da nama amane sia: i, “Na da dima adole ba: mu galebe. Di da dafawane sia: huluanedafa nama ima.”
15 Yeremia akamwambia Sedekia, “Nikikupa jibu, je, hutaniua? Hata kama nikikupa shauri, wewe hutanisikiliza.”
Na da bu adole i, “Na da dafawane sia: huluanedafa dima sia: sea, di da na medole legemusa: sia: mu. Amola na da dima fada: i sia: adole iasea, di da amo sia: hame lalegagumu.”
16 Lakini Mfalme Sedekia akamwapia Yeremia kiapo hiki kwa siri, akisema, “Hakika kama aishivyo Bwana, ambaye ametupa pumzi, sitakuua wala sitakutia mikononi mwa wale wanaotafuta uhai wako.”
Amaiba: le, hina bagade Sedegaia da wamowane nama amane sia: ne ilegei, “Na da Fifi Ahoanusu Gode E (amo Gode da esalusu ninima iasu) amo Ea Dioba: le agoane ilegesa. Na da di hamedafa medole legemu. Amola na da dunu amo di medole legemusa: hanai, amo ilia lobo da: iya di hame iasimu.”
17 Kisha Yeremia akamwambia Sedekia, “Hili ndilo asemalo Bwana Mungu Mwenye Nguvu Zote, Mungu wa Israeli: ‘Ikiwa utajisalimisha kwa maafisa wa mfalme wa Babeli, maisha yako yatasalimika, na mji huu hautateketezwa kwa moto. Pia wewe na jamaa yako mtaishi.
Amalalu, na da Sedegaiama, Hina Gode Bagadedafa, Isala: ili fi ilia Gode, amo Ea sia: alofele sia: i, “Di da Ba: bilone hina bagade ea ouligisu dunu amo di gagulaligima: ne ahoasea, di da hame bogomu amola amo moilai bai bagade laluga ulagi dagoi hame ba: mu. Di amola dia sosogo fi da mae bogole, esalebe ba: mu.
18 Lakini ikiwa hutajisalimisha kwa maafisa wa mfalme wa Babeli, mji huu utatiwa mikononi mwa Wakaldayo na watauteketeza kwa moto, nawe mwenyewe hutaweza kujiokoa mikononi mwao.’”
Be di da ilima bu gegesea, Ba: bilone dunu da Yelusaleme moilai bai bagade huluane lale, laluga ulagimu. Amola di da hobeale masunu hamedei ba: mu.”
19 Mfalme Sedekia akamwambia Yeremia, “Ninawaogopa Wayahudi ambao wamekimbilia kwa Wakaldayo, kwa kuwa Wakaldayo wanaweza kunitia mikononi mwao, nao wakanitenda vibaya.”
Be hina bagade da nama bu adole i, “Na da ninia fi dunu amo da hohonone, Ba: bilone dadi gagui fidimusa: asi, ilima beda: i galebe. Amabela: ? Ba: bilone dunu da na ilima ianu, ilia da nama se bagade imunu.”
20 Yeremia akajibu, “Hawatakutia mikononi mwao. Mtii Bwana kwa kufanya kile ninachokuambia. Kisha utafanikiwa na maisha yako yatakuwa salama.
Na da ema amane sia: i, “Ilia da di amo dunuma hame imunu. Dia Hina Gode Ea adole iasu nabima: ne, na da dima edegesa. Amasea, di da hahawane ba: mu, amola dia esalusu hame fisimu.
21 Lakini ukikataa kujisalimisha, hili ndilo Bwana alilonifunulia:
Be Hina Gode da na esala ba: su amo ganodini, di ilima gagulaligima: ne hame olesea, fa: no misunu hou nama olelei.
22 Wanawake wote walioachwa katika jumba la kifalme la mfalme wa Yuda wataletwa mbele ya maafisa wa mfalme wa Babeli. Wanawake hao watakuambia: “‘Walikupotosha na kukushinda, wale rafiki zako uliowaamini. Miguu yako imezama matopeni; rafiki zako wamekuacha.’
Na esala ba: su ganodini, na da uda huluane Yuda hina bagade diasu ganodini hame bogoi esalebe amo huluane Ba: bilone hina bagade ea dadi gagui ouligisu dunu ilima doaga: ma: ne, oule ahoanebe ba: i. Ilia da ahoasea, sia: dalebe nabima, amane, ‘Hina bagade ea dogolegei dunu ilia da ema ogogoi. Ilia da ea sia: banenesi dagoi. Amola e da wali fafuga bosona sa: i dagoiba: le, ea dogolegei ilia da e yolesi dagoi.”
23 “Wake zako wote na watoto wataletwa na kutiwa mikononi mwa Wakaldayo. Wewe mwenyewe hutaweza kujiokoa mikononi mwao. Lakini utatekwa na mfalme wa Babeli, na mji huu utateketezwa kwa moto.”
Amasea, na da eno amane sia: i, “Dia uda amola mano huluane da Ba: bilone dunu ilima oule asi dagoi ba: mu. Amola ilia da di gagulaligimu. Ba: bilone hina bagade da di udigili hawa: hamosu hamoma: ne gagulaligimu, amola e da Yelusaleme laluga nene dagoma: ne ulagimu.”
24 Kisha Sedekia akamwambia Yeremia, “Usiruhusu mtu yeyote ajue kuhusu haya mazungumzo, la sivyo utakufa.
Sedegaia da bu adole i, “Di da nama sia: dalebe amo eno dunuma maedafa olelema. Amasea, di da mae bogole, esalumu.
25 Maafisa wakisikia kwamba nimezungumza nawe, nao wakakujia na kusema, ‘Tuambie kile ulichozungumza na mfalme na kile mfalme alichokuambia, usitufiche au sivyo tutakuua,’
Eagene ouligisu dunu da na da dima sia: dalu nabasea, ilia da misini amola adi sia: dalula: adole ba: mu. Ilia da di da sia: huluane ilima adosea, di mae medole legema: ne ilegele sia: mu.
26 basi waambie, ‘Nilikuwa ninamsihi mfalme asinirudishe kwenye nyumba ya Yonathani nisije nikafia humo.’”
Be di amane sia: ma, ‘Na da Sedegaiama e da na bogoma: ne, bu gagili ga: i diasuga mae asunasima: ne edegenanoma: ne fawane sia: i.’”
27 Maafisa wote wakamjia Yeremia na kumuuliza, naye Yeremia akawaambia kila kitu mfalme alichomwagiza kusema. Kisha hawakusema lolote zaidi na Yeremia kwa sababu hakuna yeyote aliyesikia mazungumzo yake na mfalme.
Amalalu, ouligisu dunu huluane da nama misini, nama adole ba: i. Na da hina bagade Sedegaia ea nama sia: i liligi defele, ilima bu adole i. Ilia da eno hou hamoma: ne hame ba: i. Bai dunu eno da ania sia: dasu hame nabi.
28 Naye Yeremia akabaki katika ua wa walinzi hadi siku Yerusalemu ilipotekwa.
Amola na da hina bagade diasu gagoi ganodini udigili hawa: hamosu dunu agoane hamonanebe ba: i. Ba: bilone dunu da Yelusaleme lai dagoiba: le fawane yolesi.