< Yeremia 37 >
1 Sedekia mwana wa Yosia akafanywa kuwa mfalme wa Yuda na Nebukadneza mfalme wa Babeli, naye akatawala mahali pa Yehoyakini mwana wa Yehoyakimu.
Tokosra Nebuchadnezzar lun Babylonia el akleumyalak Zedekiah wen natul Josiah, tuh elan tokosrala lun Judah in aolul Jehoiachin wen natul Jehoiakim.
2 Lakini sio Sedekia, wala watumishi wake, wala watu wa nchi walisikiliza maneno ya Bwana aliyonena kupitia kwa nabii Yeremia.
Tusruktu Zedekiah ac mwet leum lal ac mwet uh tiana akos kas ma LEUM GOD El ase nu sik in fahkak.
3 Hata hivyo, Mfalme Sedekia akamtuma Yehukali mwana wa Shelemia, pamoja na kuhani Sefania mwana wa Maaseya kwa nabii Yeremia na ujumbe huu: “Tafadhali utuombee kwa Bwana, Mungu wetu.”
Tokosra Zedekiah el supwalma Jehucal wen natul Shelemiah, ac mwet tol Zephaniah wen natul Maaseiah, in siyuk sik in aol mutunfacl sesr in pre nu sin LEUM GOD lasr.
4 Wakati huu Yeremia alikuwa huru kuingia na kutoka katikati ya watu, kwa sababu alikuwa bado hajatiwa gerezani.
In pacl se inge nga soenna kauli in presin, ac nga srakna sukosok in forfor inmasrlon mwet uh.
5 Jeshi la Farao lilikuwa limetoka Misri, nao Wakaldayo waliokuwa wameuzunguka Yerusalemu kwa majeshi waliposikia taarifa kuhusu jeshi hilo walijiondoa Yerusalemu.
Mwet mweun lun Babylonia elos kuhlusya Jerusalem, tusruktu ke elos lohngak lah un mwet mweun lun Egypt elos tupalla tari masrol lun Egypt, elos folokla.
6 Ndipo neno la Bwana likamjia nabii Yeremia kusema:
Na LEUM GOD lun Israel, El fahk nu sik
7 “Hili ndilo asemalo Bwana, Mungu wa Israeli: Mwambie mfalme wa Yuda aliyekutuma uniulize mimi, ‘Jeshi la Farao lililotoka kuja kukusaidia litarudi katika nchi yake yenyewe, yaani Misri.
in fahkang nu sel Zedekiah, “Mwet mweun lun Egypt elos tuku in kasrekom, tusruktu elos ac folokla nu in facl selos.
8 Kisha Wakaldayo watarudi na kushambulia mji huu, watauteka na kuuchoma moto.’
Na mwet Babylonia ac sifilpa foloko. Elos ac fah mweuni siti uh, sruokya, ac esukak.
9 “Hili ndilo Bwana asemalo: Msijidanganye wenyewe mkifikiri, ‘Hakika Wakaldayo watatuacha na kwenda zao.’ Hakika hawatawaacha!
Nga, LEUM GOD, fahk nu suwos in tia sifacna kiapwekowos ac nunku mu mwet Babylonia elos ac tia foloko, mweyen elos ac foloko.
10 Hata kama mngelishinda jeshi lote la Wakaldayo linalowashambulia ninyi, na wakawa ni watu waliojeruhiwa tu waliobaki kwenye mahema yao, wangetoka na kuuchoma mji huu moto.”
Kowos finne kutangla un mwet mweun lun Babylonia nufon ac mwet kinet mukena lula oan in lohm nuknuk selos, mwet ingan ac tukakek ac furreak siti se inge nwe ke apatla.”
11 Baada ya jeshi la Wakaldayo kujiondoa kutoka Yerusalemu kwa sababu ya jeshi la Farao,
Un mwet mweun lun Babylonia elos folokla liki acn Jerusalem ke elos etauk lah mwet mweun lun Egypt uh apkuranme.
12 Yeremia akaanza kuondoka mjini ili kwenda nchi ya Benyamini ili akapate sehemu yake ya milki miongoni mwa watu huko.
Ouinge nga ako in mukuila liki acn Jerusalem ac som nu in facl sin Benjamin nga in eis ip luk ke acn lun sou.
13 Lakini alipofika kwenye Lango la Benyamini, mkuu wa walinzi, ambaye jina lake lilikuwa Iriya mwana wa Shelemia mwana wa Hanania, akamkamata Yeremia na kusema, “Wewe unakwenda kujiunga na Wakaldayo!”
Tusruktu ke nga sun Mutunpot Benjamin, mwet kol lun mwet karingin mutunpot uh, su inel pa Irijah wen natul Shelemiah ma natul Hananaiah, el tulokinyuwi ac fahk, “Kom kaingkinkutla in som kasru mwet Babylonia!”
14 Yeremia akasema, “Hiyo si kweli, mimi sijiungi na Wakaldayo.” Lakini Iriya hakumsikiliza; badala yake, akamkamata Yeremia na kumpeleka kwa maafisa.
Na nga fahk, “Mo! Nga tia kaing.” Tusruktu Irijah el tia lohngyu, a el sruokyuwi ac usyula nu yurin mwet leum.
15 Wakamkasirikia Yeremia, wakaamuru apigwe, na akafungwa katika nyumba ya Yonathani mwandishi waliyokuwa wameifanya gereza.
Elos arulana kasrkusrak sik ac sap in sringsring nga, ac kaliyuwi in lohm sel Jonathan, mwet sim lun tokosra, mweyen orekmakinyuk lohm sel nu ke iwen kapir.
16 Yeremia akawekwa kwenye chumba kilichofukuliwa chini, kilichojengwa kwa zege ndani ya gereza chini ya ngome, akakaa huko kwa muda mrefu.
Elos filiyuwi in sie fukil srisrik oan ye fohk uh, ac nga muta we ke pacl na loeloes.
17 Kisha Mfalme Sedekia akatumana aletwe katika jumba la kifalme, mahali alipomuuliza kwa siri, “Je, kuna neno lolote kutoka kwa Bwana?” Yeremia akajibu, “Ndiyo, utatiwa mikononi mwa mfalme wa Babeli.”
Tok Tokosra Zedekiah el sapla suliyu. Ke nga el mukena muta in lohm sel, el siyuk sik in lukma, “Ya oasr kutena kas sin LEUM GOD me?” Na nga topuk, “Oasr.” Na nga tafwelana in fahk, “Kom fah itukyang nu inpoun tokosra Babylonia.”
18 Kisha Yeremia akamwambia Mfalme Sedekia, “Nimefanya kosa gani dhidi yako na maafisa wako au watu hawa, hata ukanitia gerezani?
Na nga siyuk, “Ma koluk fuka nga oru lain kom, ku lain mwet leum lom ac mwet inge, in pwanang kom filiyuwi in presin?
19 Wako wapi manabii wako waliokutabiria wakisema, ‘Mfalme wa Babeli hatakushambulia wewe wala nchi hii?’
Pia mwet palu lom ma fahk mu tokosra lun Babylonia ac fah tia mweuni kom ku facl sum?
20 Lakini sasa, bwana wangu mfalme, tafadhali sikiliza. Niruhusu nilete maombi yangu mbele yako, usinirudishe kwenye nyumba ya Yonathani mwandishi, nisije nikafia humo.”
Na inge, Leum Fulat luk, nga kwafe sum in porongo mwe siyuk luk. Nunak munas, nimet folokinyula nu in presin in lohm sel Jonathan. Kom fin supweyula, pwayena nga fah misa we.”
21 Ndipo Mfalme Sedekia akatoa maagizo Yeremia awekwe katika ua wa walinzi, na apewe mkate kutoka mitaa ya waokaji kila siku mpaka mikate yote katika mji itakapokwisha. Kwa hiyo Yeremia akabaki katika ua wa walinzi.
Na Tokosra Zedekiah el sapkin nga in kauli na inkalkal lun mwet san ke inkul sin tokosra. Nga mutana we, ac len nukewa ac utuku lof in bread se nak liki nien manman flao, nwe ke na lihsr bread in siti uh.