< Yeremia 37 >

1 Sedekia mwana wa Yosia akafanywa kuwa mfalme wa Yuda na Nebukadneza mfalme wa Babeli, naye akatawala mahali pa Yehoyakini mwana wa Yehoyakimu.
Et le roi Sédécias, fils de Josias, régna en la place de Jéchonias, fils de Joakim, Nabuchodonosor, roi de Babylone, l’ayant établi roi dans la terre de Juda.
2 Lakini sio Sedekia, wala watumishi wake, wala watu wa nchi walisikiliza maneno ya Bwana aliyonena kupitia kwa nabii Yeremia.
Et il n’obéit pas, lui, ni ses serviteurs, ni tout le peuple de la terre aux paroles du Seigneur qu’il avait dites par l’entremise de Jérémie, le prophète.
3 Hata hivyo, Mfalme Sedekia akamtuma Yehukali mwana wa Shelemia, pamoja na kuhani Sefania mwana wa Maaseya kwa nabii Yeremia na ujumbe huu: “Tafadhali utuombee kwa Bwana, Mungu wetu.”
Et le roi Sédécias envoya Juchal, fils de Sélémias, et Sophonias, le prêtre, fils de Maasias, vers Jérémie, le prophète, disant: Priez pour nous le Seigneur notre Dieu.
4 Wakati huu Yeremia alikuwa huru kuingia na kutoka katikati ya watu, kwa sababu alikuwa bado hajatiwa gerezani.
Or, Jérémie se promenait librement au milieu du peuple; car on ne l’avait pas encore mis dans la garde de la prison. Enfin l’armée de Pharaon sortit de l’Egypte; et les Chaldéens qui assiégeaient Jérusalem, entendant cette nouvelle, s’éloignèrent de Jérusalem.
5 Jeshi la Farao lilikuwa limetoka Misri, nao Wakaldayo waliokuwa wameuzunguka Yerusalemu kwa majeshi waliposikia taarifa kuhusu jeshi hilo walijiondoa Yerusalemu.
Et la parole du Seigneur fut adressée à Jérémie, le prophète, disant:
6 Ndipo neno la Bwana likamjia nabii Yeremia kusema:
Voici ce que dit le Seigneur, Dieu d’Israël: Ainsi vous direz au roi de Juda, qui vous a envoyés pour me consulter: Voilà que l’armée de Pharaon, qui est sortie à votre secours, retournera dans sa terre en Egypte;
7 “Hili ndilo asemalo Bwana, Mungu wa Israeli: Mwambie mfalme wa Yuda aliyekutuma uniulize mimi, ‘Jeshi la Farao lililotoka kuja kukusaidia litarudi katika nchi yake yenyewe, yaani Misri.
Et les Chaldéens reviendront, et ils combattront contre cette cité; et ils la prendront et ils y mettront le feu.
8 Kisha Wakaldayo watarudi na kushambulia mji huu, watauteka na kuuchoma moto.’
Voici ce que dit le Seigneur: Ne trompez pas vos âmes, disant: Les Chaldéens s’en iront et se retireront de nous; parce qu’ils ne s’en iront pas.
9 “Hili ndilo Bwana asemalo: Msijidanganye wenyewe mkifikiri, ‘Hakika Wakaldayo watatuacha na kwenda zao.’ Hakika hawatawaacha!
Mais quand même vous auriez battu toute l’armée des Chaldéens qui combattent contre vous, et qu’il en serait resté seulement quelques blessés, ils sortiraient chacun de leur tente, et mettraient à feu cette cité.
10 Hata kama mngelishinda jeshi lote la Wakaldayo linalowashambulia ninyi, na wakawa ni watu waliojeruhiwa tu waliobaki kwenye mahema yao, wangetoka na kuuchoma mji huu moto.”
Ainsi lorsque l’armée des Chaldéens se fut retirée de Jérusalem, à cause de l’armée de Pharaon,
11 Baada ya jeshi la Wakaldayo kujiondoa kutoka Yerusalemu kwa sababu ya jeshi la Farao,
Jérémie sortit de Jérusalem, afin d’aller dans la terre de Benjamin, et d’y partager son bien en présence des citoyens.
12 Yeremia akaanza kuondoka mjini ili kwenda nchi ya Benyamini ili akapate sehemu yake ya milki miongoni mwa watu huko.
Et lorsqu’il fut parvenu à la porte de Benjamin, il y avait là un garde qui veillait à la porte à son tour, du nom de Jérias, fils de Sélémias, fils d’Hananias; et il arrêta Jérémie, le prophète, disant: Tu fuis vers les Chaldéens.
13 Lakini alipofika kwenye Lango la Benyamini, mkuu wa walinzi, ambaye jina lake lilikuwa Iriya mwana wa Shelemia mwana wa Hanania, akamkamata Yeremia na kusema, “Wewe unakwenda kujiunga na Wakaldayo!”
Et Jérémie répondit: Cela est faux, je ne fuis point vers les Chaldéens. Et Jérias ne l’écouta pas; mais il saisit Jérémie, et l’amena devant les princes.
14 Yeremia akasema, “Hiyo si kweli, mimi sijiungi na Wakaldayo.” Lakini Iriya hakumsikiliza; badala yake, akamkamata Yeremia na kumpeleka kwa maafisa.
À cause de cela les princes, irrités contre Jérémie, le firent battre et l’envoyèrent en la prison qui était dans la maison de Jonathan, le scribe; car c’est lui qui était préposé sur la prison.
15 Wakamkasirikia Yeremia, wakaamuru apigwe, na akafungwa katika nyumba ya Yonathani mwandishi waliyokuwa wameifanya gereza.
C’est pourquoi Jérémie entra dans la maison de la fosse et dans le cachot des esclaves; et Jérémie y demeura bien des jours.
16 Yeremia akawekwa kwenye chumba kilichofukuliwa chini, kilichojengwa kwa zege ndani ya gereza chini ya ngome, akakaa huko kwa muda mrefu.
Or le roi Sédécias l’envoya retirer, et il l’interrogea en secret dans sa maison, et dit: Crois-tu qu’il y a quelque parole venant du Seigneur? Et Jérémie: Il y en a; et il ajouta: Vous serez livré aux mains du roi de Babylone.
17 Kisha Mfalme Sedekia akatumana aletwe katika jumba la kifalme, mahali alipomuuliza kwa siri, “Je, kuna neno lolote kutoka kwa Bwana?” Yeremia akajibu, “Ndiyo, utatiwa mikononi mwa mfalme wa Babeli.”
Et Jérémie dit au roi Sédécias: En quoi ai-je péché contre vous, contre vos serviteurs et contre votre peuple, pour que vous m’ayez envoyé dans la maison de la prison?
18 Kisha Yeremia akamwambia Mfalme Sedekia, “Nimefanya kosa gani dhidi yako na maafisa wako au watu hawa, hata ukanitia gerezani?
Où sont vos prophètes qui vous prophétisaient, et qui disaient: Le roi de Babylone ne viendra pas contre vous et contre cette terre?
19 Wako wapi manabii wako waliokutabiria wakisema, ‘Mfalme wa Babeli hatakushambulia wewe wala nchi hii?’
Maintenant donc, écoutez, je vous conjure, mon seigneur roi; que ma prière instante soit puissante en votre présence; et ne me renvoyez pas dans la maison de Jonathan, le scribe, de peur que je n’y meure.
20 Lakini sasa, bwana wangu mfalme, tafadhali sikiliza. Niruhusu nilete maombi yangu mbele yako, usinirudishe kwenye nyumba ya Yonathani mwandishi, nisije nikafia humo.”
Le roi Sédécias ordonna donc que Jérémie fût mis dans le vestibule de la prison, et qu’on lui donnât tous les jours une miche de pain, outre les mets ordinaires, jusqu’à ce que tout le pain de la cité fût consumé; et Jérémie demeura dans le vestibule de la prison.
21 Ndipo Mfalme Sedekia akatoa maagizo Yeremia awekwe katika ua wa walinzi, na apewe mkate kutoka mitaa ya waokaji kila siku mpaka mikate yote katika mji itakapokwisha. Kwa hiyo Yeremia akabaki katika ua wa walinzi.

< Yeremia 37 >