< Yeremia 37 >

1 Sedekia mwana wa Yosia akafanywa kuwa mfalme wa Yuda na Nebukadneza mfalme wa Babeli, naye akatawala mahali pa Yehoyakini mwana wa Yehoyakimu.
Parole du Seigneur à Jérémie, pour qu'il dise:
2 Lakini sio Sedekia, wala watumishi wake, wala watu wa nchi walisikiliza maneno ya Bwana aliyonena kupitia kwa nabii Yeremia.
Ainsi parle le Seigneur Dieu d'Israël, disant: Écris dans un livre toutes les paroles que je t'ai révélées;
3 Hata hivyo, Mfalme Sedekia akamtuma Yehukali mwana wa Shelemia, pamoja na kuhani Sefania mwana wa Maaseya kwa nabii Yeremia na ujumbe huu: “Tafadhali utuombee kwa Bwana, Mungu wetu.”
Car voilà que les jours arrivent, dit le Seigneur, où je ramènerai les captifs de mon peuple d'Israël et de Juda; et je les ramènerai, dit le Seigneur, en la terre que j'ai donnée à leurs pères, et ils la possèderont.
4 Wakati huu Yeremia alikuwa huru kuingia na kutoka katikati ya watu, kwa sababu alikuwa bado hajatiwa gerezani.
Et voici les paroles que le Seigneur a dites sur Israël et sur Juda:
5 Jeshi la Farao lilikuwa limetoka Misri, nao Wakaldayo waliokuwa wameuzunguka Yerusalemu kwa majeshi waliposikia taarifa kuhusu jeshi hilo walijiondoa Yerusalemu.
Voici ce que dit le Seigneur: Vous entendrez une voix épouvantable; c'est l'épouvante, et non la paix;
6 Ndipo neno la Bwana likamjia nabii Yeremia kusema:
Demandez et voyez: est-ce que le mâle enfante? D'où vient donc la terreur qui les fait se tenir les reins et attendre leur délivrance? Pourquoi ai-je vu ainsi tout homme ayant les mains sur ses reins? Et tout visage a pâli.
7 “Hili ndilo asemalo Bwana, Mungu wa Israeli: Mwambie mfalme wa Yuda aliyekutuma uniulize mimi, ‘Jeshi la Farao lililotoka kuja kukusaidia litarudi katika nchi yake yenyewe, yaani Misri.
C'est que ce jour-là est grand; il n'en est point de semblable; c'est un temps de détresse pour Jacob; mais il en sera sauvé.
8 Kisha Wakaldayo watarudi na kushambulia mji huu, watauteka na kuuchoma moto.’
En ce jour-là, dit le Seigneur, je briserai le joug de leur cou, je romprai leurs liens; et ils ne travailleront plus pour les étrangers.
9 “Hili ndilo Bwana asemalo: Msijidanganye wenyewe mkifikiri, ‘Hakika Wakaldayo watatuacha na kwenda zao.’ Hakika hawatawaacha!
Mais ils travailleront pour le Seigneur leur Dieu, et je ressusciterai pour eux leur roi David.
10 Hata kama mngelishinda jeshi lote la Wakaldayo linalowashambulia ninyi, na wakawa ni watu waliojeruhiwa tu waliobaki kwenye mahema yao, wangetoka na kuuchoma mji huu moto.”
Voici ce que dit le Seigneur: J'ai amené sur toi la destruction; ta plaie est douloureuse.
11 Baada ya jeshi la Wakaldayo kujiondoa kutoka Yerusalemu kwa sababu ya jeshi la Farao,
Voici ce que dit le Seigneur: J'ai amené sur toi la destruction; ta plaie est douloureuse.
12 Yeremia akaanza kuondoka mjini ili kwenda nchi ya Benyamini ili akapate sehemu yake ya milki miongoni mwa watu huko.
Voici ce que dit le Seigneur: J'ai amené sur toi la destruction; ta plaie est douloureuse.
13 Lakini alipofika kwenye Lango la Benyamini, mkuu wa walinzi, ambaye jina lake lilikuwa Iriya mwana wa Shelemia mwana wa Hanania, akamkamata Yeremia na kusema, “Wewe unakwenda kujiunga na Wakaldayo!”
Il n'est personne qui juge ta cause; tu as été soignée en ta douleur, et rien ne te soulage.
14 Yeremia akasema, “Hiyo si kweli, mimi sijiungi na Wakaldayo.” Lakini Iriya hakumsikiliza; badala yake, akamkamata Yeremia na kumpeleka kwa maafisa.
Tu as été oubliée de tous tes amis; nul ne s'est informé de toi; car je t'ai frappée en ennemi, d'une plaie cruelle, d'un châtiment sévère; tes péchés s'étaient multipliés au delà de toute iniquité.
15 Wakamkasirikia Yeremia, wakaamuru apigwe, na akafungwa katika nyumba ya Yonathani mwandishi waliyokuwa wameifanya gereza.
C'est pourquoi tous ceux qui te dévorent seront dévorés; et tous tes ennemis mangeront leur propre chair. Tes péchés avaient surpassé la multitude de tes iniquités; à cause de cela ils ont fait ces choses; mais ceux qui t'ont tourmentée seront tourmentés à leur tour, et ceux qui t'ont pillée, je te les donnerai en proie.
16 Yeremia akawekwa kwenye chumba kilichofukuliwa chini, kilichojengwa kwa zege ndani ya gereza chini ya ngome, akakaa huko kwa muda mrefu.
C'est pourquoi tous ceux qui te dévorent seront dévorés; et tous tes ennemis mangeront leur propre chair. Tes péchés avaient surpassé la multitude de tes iniquités; à cause de cela ils ont fait ces choses; mais ceux qui t'ont tourmentée seront tourmentés à leur tour, et ceux qui t'ont pillée, je te les donnerai en proie.
17 Kisha Mfalme Sedekia akatumana aletwe katika jumba la kifalme, mahali alipomuuliza kwa siri, “Je, kuna neno lolote kutoka kwa Bwana?” Yeremia akajibu, “Ndiyo, utatiwa mikononi mwa mfalme wa Babeli.”
Je t'apporterai le remède; je te guérirai de ta plaie douloureuse, dit le Seigneur; on t'appelait la répudiée; on disait: C'est notre proie; car nul ne s'informait de toi.
18 Kisha Yeremia akamwambia Mfalme Sedekia, “Nimefanya kosa gani dhidi yako na maafisa wako au watu hawa, hata ukanitia gerezani?
Mais ainsi parle le Seigneur: Voilà que je ramènerai les exilés de Jacob; j'aurai compassion de ses captifs. La ville sera rebâtie sur sa montagne, et le peuple rétabli en la justice de Dieu.
19 Wako wapi manabii wako waliokutabiria wakisema, ‘Mfalme wa Babeli hatakushambulia wewe wala nchi hii?’
Et il sortira d'eux des chants et des voix d'hommes pleins d'allégresse, et je les multiplierai, et leur nombre ne diminuera pas.
20 Lakini sasa, bwana wangu mfalme, tafadhali sikiliza. Niruhusu nilete maombi yangu mbele yako, usinirudishe kwenye nyumba ya Yonathani mwandishi, nisije nikafia humo.”
Et leurs fils entreront, comme autrefois, dans le temple; et ils porteront devant moi leurs témoignages avec droiture; et je visiterai ceux qui les affligent,
21 Ndipo Mfalme Sedekia akatoa maagizo Yeremia awekwe katika ua wa walinzi, na apewe mkate kutoka mitaa ya waokaji kila siku mpaka mikate yote katika mji itakapokwisha. Kwa hiyo Yeremia akabaki katika ua wa walinzi.
Et les forts de mon peuple prévaudront sur eux, et le prince de mon peuple sortira de lui, et je les rassemblerai, et ils reviendront à moi; car quel est celui qui a disposé leur cœur à revenir à moi? dit le Seigneur.
Cependant la colère du Seigneur a éclaté avec transport, sa colère a éclaté comme un tourbillon; elle tombera sur les impies.
Cependant la colère du Seigneur a éclaté avec transport, sa colère a éclaté comme un tourbillon; elle tombera sur les impies.
La colère du Seigneur ne se détournera pas avant qu'il ait accompli, avant qu'il ait réalisé les pensées de son cœur. Dans les derniers jours vous saurez ces choses.

< Yeremia 37 >