< Yeremia 37 >

1 Sedekia mwana wa Yosia akafanywa kuwa mfalme wa Yuda na Nebukadneza mfalme wa Babeli, naye akatawala mahali pa Yehoyakini mwana wa Yehoyakimu.
Josiah capa Zedekiah teh Babilon siangpahrang Nebukhadnezar ni Judah ram siangpahrang lah ao sak e Jehoiakim capa Koniah yueng lah a bawi.
2 Lakini sio Sedekia, wala watumishi wake, wala watu wa nchi walisikiliza maneno ya Bwana aliyonena kupitia kwa nabii Yeremia.
Hatei, ama hoi a thaw katawkkungnaw hoi a ram thung kaawm e taminaw ni, profet Jeremiah ni a dei e BAWIPA lawk thai ngai awh hoeh.
3 Hata hivyo, Mfalme Sedekia akamtuma Yehukali mwana wa Shelemia, pamoja na kuhani Sefania mwana wa Maaseya kwa nabii Yeremia na ujumbe huu: “Tafadhali utuombee kwa Bwana, Mungu wetu.”
Siangpahrang Zedekiah ni, Shelemiah capa Jehukal hoi Maaseiah capa vaihma Zephaniah hah profet Jeremiah koe Cathut BAWIPA na ratoum pouh haw telah dei pouh hanelah a patoun.
4 Wakati huu Yeremia alikuwa huru kuingia na kutoka katikati ya watu, kwa sababu alikuwa bado hajatiwa gerezani.
Jeremiah teh taminaw hoi ama ngai patetlah a paitun rah. Bangkongtetpawiteh, hatnavah thongim thung bawt hoeh rah.
5 Jeshi la Farao lilikuwa limetoka Misri, nao Wakaldayo waliokuwa wameuzunguka Yerusalemu kwa majeshi waliposikia taarifa kuhusu jeshi hilo walijiondoa Yerusalemu.
Faro ransahu Izip ram hoi a tâco awh toe. Jerusalem kalup e Khaldean taminaw ni ahnimae kamthang a thai awh toteh, Jerusalem a ceitakhai awh.
6 Ndipo neno la Bwana likamjia nabii Yeremia kusema:
Hat toteh, BAWIPA e lawk profet Jeremiah koe a pha.
7 “Hili ndilo asemalo Bwana, Mungu wa Israeli: Mwambie mfalme wa Yuda aliyekutuma uniulize mimi, ‘Jeshi la Farao lililotoka kuja kukusaidia litarudi katika nchi yake yenyewe, yaani Misri.
Isarel Cathut BAWIPA ni hettelah a dei, Judah siangpahrang ni kai koe pouknae hei hanelah a patoun e naw koevah, khenhaw! Faro ransahu nangmouh kabawp hanlah kathonaw hah amamae ram Izip lah bout a ban awh han.
8 Kisha Wakaldayo watarudi na kushambulia mji huu, watauteka na kuuchoma moto.’
Khaldean taminaw teh ban awh vaiteh, hete khopui heh tuk laihoi a la awh vaiteh hmai a sawi awh han.
9 “Hili ndilo Bwana asemalo: Msijidanganye wenyewe mkifikiri, ‘Hakika Wakaldayo watatuacha na kwenda zao.’ Hakika hawatawaacha!
BAWIPA ni hettelah a dei, Khaldean taminaw ni na ceitakhai awh han telah namahoima kâdum hanh awh. Bangkongtetpawiteh, na ceitakhai awh mahoeh.
10 Hata kama mngelishinda jeshi lote la Wakaldayo linalowashambulia ninyi, na wakawa ni watu waliojeruhiwa tu waliobaki kwenye mahema yao, wangetoka na kuuchoma mji huu moto.”
Nangmouh ka tuk e Khaldean ransahu na tâ awh nakunghai, ahnimouh thung e hmâ ka cat ni teh kaawm rae naw hah amae rim hoi thaw awh vaiteh hete khopui heh, hmaisawi awh roeroe han, telah na dei han telah atipouh.
11 Baada ya jeshi la Wakaldayo kujiondoa kutoka Yerusalemu kwa sababu ya jeshi la Farao,
Hahoi, Faro ransahu taki lahoi Khaldean ransanaw ni Jerusalem a ceitakhai awh navah,
12 Yeremia akaanza kuondoka mjini ili kwenda nchi ya Benyamini ili akapate sehemu yake ya milki miongoni mwa watu huko.
Jeremiah ni hote taminaw rahak hoi, a ham la hanelah Benjamin ram dawk kâen hanelah Jerusalem a tâco takhai.
13 Lakini alipofika kwenye Lango la Benyamini, mkuu wa walinzi, ambaye jina lake lilikuwa Iriya mwana wa Shelemia mwana wa Hanania, akamkamata Yeremia na kusema, “Wewe unakwenda kujiunga na Wakaldayo!”
Benjamin longkha koe a pha navah, ramvengnaw kahrawikung Hananiah capa Shelemiah capa, a min Irijah teh hawvah a la o. Ahni ni Khaldean taminaw hoi na kâkuet telah profet Jeremiah hah a man awh.
14 Yeremia akasema, “Hiyo si kweli, mimi sijiungi na Wakaldayo.” Lakini Iriya hakumsikiliza; badala yake, akamkamata Yeremia na kumpeleka kwa maafisa.
Jeremiah ni laithoe doeh. Khaldean taminaw koe ka kâkuen hoeh telah ati. Hatei, thai ngai hoeh. Hat toteh, Irijah ni Jeremiah hah a man teh kahrawikungnaw koe a ceikhai.
15 Wakamkasirikia Yeremia, wakaamuru apigwe, na akafungwa katika nyumba ya Yonathani mwandishi waliyokuwa wameifanya gereza.
Kahrawikungnaw teh Jeremiah koe puenghoi a lungkhuek awh. A hem awh hnukkhu, ca kathutkung Jonathan im e thongim dawk a pabo awh. Bangkongtetpawiteh, hot teh thongim lah a hmoun e doeh.
16 Yeremia akawekwa kwenye chumba kilichofukuliwa chini, kilichojengwa kwa zege ndani ya gereza chini ya ngome, akakaa huko kwa muda mrefu.
Jeremiah teh talai thung thongim dawk a kâen teh hawvah, a hnin kasawlah ao.
17 Kisha Mfalme Sedekia akatumana aletwe katika jumba la kifalme, mahali alipomuuliza kwa siri, “Je, kuna neno lolote kutoka kwa Bwana?” Yeremia akajibu, “Ndiyo, utatiwa mikononi mwa mfalme wa Babeli.”
Siangpahrang Zedekiah ni tami a patoun teh a tâco sak. Siangpahrang im vah arulahoi a pacei teh ahni koevah, BAWIPA koehoi e lawk ao bangmaw telah a ti.
18 Kisha Yeremia akamwambia Mfalme Sedekia, “Nimefanya kosa gani dhidi yako na maafisa wako au watu hawa, hata ukanitia gerezani?
Jeremiah ni siangpahrang Zedekiah koevah, nama thoseh, na thawtawknaw koe thoseh, hete taminaw koe thoseh, bangpatet lae yonnae maw ka sak teh thongim na paung.
19 Wako wapi manabii wako waliokutabiria wakisema, ‘Mfalme wa Babeli hatakushambulia wewe wala nchi hii?’
Nang koe Babilon siangpahrang ni tuk hanelah tho mahoeh telah ka dei e na profetnaw hah namaw ao awh.
20 Lakini sasa, bwana wangu mfalme, tafadhali sikiliza. Niruhusu nilete maombi yangu mbele yako, usinirudishe kwenye nyumba ya Yonathani mwandishi, nisije nikafia humo.”
Oe siangpahrang ka BAWIPA pahren lahoi na thai pouh haw. Ka kâhei e heh dâw haw. Ka kâhei, ca kathutkung Jonathan im lah bout na ban sak hanh, hawvah kadout payon vaih, telah a ti.
21 Ndipo Mfalme Sedekia akatoa maagizo Yeremia awekwe katika ua wa walinzi, na apewe mkate kutoka mitaa ya waokaji kila siku mpaka mikate yote katika mji itakapokwisha. Kwa hiyo Yeremia akabaki katika ua wa walinzi.
Siangpahrang Zedekiah ni, kâ a poe teh Jeremiah hah ramveng rapan thung vah a paung. Vaiyei kasakkungnaw ni sak e thung hoi hnintangkuem vaiyei phen buet touh khopui thung vaiyei ao roukrak a poe awh. Hottelah Jeremiah teh ramvengnaw e rapan thung vah ao.

< Yeremia 37 >