< Yeremia 36 >

1 Katika mwaka wa nne wa Yehoyakimu mwana wa Yosia mfalme wa Yuda, neno hili lilimjia nabii Yeremia kutoka kwa Bwana, kusema:
Voici les paroles de l'écrit que Jérémie envoya de Jérusalem aux anciens de l'émigration, aux prêtres et aux faux prophètes; lettre adressée en Babylone aux captifs et à tout le peuple,
2 “Chukua kitabu uandike ndani yake maneno yote niliyonena nawe kuhusu Israeli, Yuda na mataifa mengine yote, tangu nilipoanza kunena nawe wakati wa utawala wa Yosia hadi sasa.
Après le départ du roi Jéchonias, et de la reine, et des eunuques, et de tout homme libre, et de tout esclave, et de tout artisan de Jérusalem,
3 Labda watu wa Yuda watakaposikia juu ya kila maafa ninayokusudia kuwapiga nayo, kila mmoja wao atageuka kutoka njia zake mbaya, kisha nitasamehe uovu wao na dhambi yao.”
Par les mains d'Éléasar, fils de Sapha et de Gamarias, fils d'Helcias, que Sédécias, roi de Juda, envoya au roi de Babylone, disant:
4 Hivyo Yeremia akamwita Baruku mwana wa Neria, naye Yeremia alipokuwa akiyakariri maneno yote aliyoyasema Bwana, Baruku akayaandika katika kitabu.
Ainsi parle le Seigneur, Dieu d'Israël, sur les captifs que j'ai transportés de Jérusalem:
5 Kisha Yeremia akamwambia Baruku, “Nimezuiliwa, mimi siwezi kuingia katika Hekalu la Bwana.
Bâtissez des maisons, et habitez-les; plantez des arbres et mangez-en les fruits.
6 Basi wewe nenda katika nyumba ya Bwana siku ya kufunga, uwasomee watu maneno ya Bwana kutoka kitabu hiki yale uliyoyaandika kutoka kinywani mwangu. Wasomee watu wote wa Yuda waliofika kutoka miji yao.
Prenez des femmes et engendrez des fils et des filles; prenez pour vos fils des femmes, et donnez vos filles à des hommes: multipliez et ne décroissez pas.
7 Labda wataomba na kusihi mbele za Bwana na kila mmoja akageuka kutoka njia zake mbaya, kwa sababu hasira na ghadhabu zilizotamkwa dhidi ya watu hawa na Bwana ni kubwa.”
Et cherchez la paix en la contrée où je vous ai transportés, et priez le Seigneur pour ses peuples; car en leur paix réside votre paix.
8 Baruku mwana wa Neria akafanya kila kitu nabii Yeremia alichomwambia kufanya. Alisoma maneno ya Bwana katika Hekalu la Bwana kutoka kile kitabu.
Car voici ce que dit le Seigneur: Que les faux prophètes qui sont avec vous, que vos devins ne vous séduisent pas; et n'ayez point confiance aux songes que vous aurez songés.
9 Katika mwezi wa tisa, mnamo mwaka wa tano wa Yehoyakimu mwana wa Yosia mfalme wa Yuda, wakati wa kufunga mbele za Bwana, ilitangazwa kwa watu wote walioko Yerusalemu, na wale wote waliokuwa wamekuja kutoka miji ya Yuda.
C'est à tort qu'ils vous prophétisent en mon nom, et je ne les ai pas envoyés.
10 Kutoka chumba cha Gemaria mwana wa Shafani mwandishi, kilichokuwa katika ua wa juu kwenye ingilio la Lango Jipya la Hekalu, Baruku akawasomea watu wote waliokuwa katika Hekalu la Bwana maneno ya Yeremia kutoka kwenye kile kitabu.
Car voici ce que dit le Seigneur: Lorsque les soixante-dix ans seront près d'être révolus en Babylone, je vous visiterai et je confirmerai mes paroles sur vous, en ramenant votre peuple en ce lieu.
11 Basi Mikaya mwana wa Gemaria, mwana wa Shafani, aliposikia maneno yote ya Bwana kutoka kwenye kile kitabu,
Car j'ai sur vous des pensées de paix, et non de malheur, pour vous donner ces biens.
12 alishuka hadi kwenye chumba cha mwandishi kwenye jumba la kifalme, mahali walipokuwa wameketi maafisa wote: yaani Elishama mwandishi, Delaya mwana wa Shemaya, Elnathani mwana wa Akbori, Gemaria mwana wa Shafani, Sedekia mwana wa Hanania, na maafisa wengine wote.
Priez-moi, et je vous exaucerai.
13 Baada ya Mikaya kuwaambia kila kitu ambacho alikuwa amesikia Baruku akiwasomea watu kutoka kwenye kile kitabu,
Cherchez-moi, et vous me trouverez. Parce que, si vous me cherchez de tout votre cœur,
14 maafisa wote wakamtuma Yehudi mwana wa Nethania, mwana wa Shelemia, mwana wa Kushi, kumwambia Baruku, “Leta hicho kitabu ambacho umewasomea watu, nawe mwenyewe uje.” Ndipo Baruku mwana wa Neria akawaendea akiwa na hicho kitabu mkononi mwake.
Je me manifesterai à vous,
15 Wakamwambia, “Tafadhali, keti na utusomee hicho kitabu.” Ndipo Baruku akawasomea kile kitabu.
Parce que vous direz: Le Seigneur a institué pour nous des prophètes en Babylone.
16 Walipoyasikia maneno hayo yote, wakatazamana wao kwa wao kwa woga na kumwambia Baruku, “Lazima tutoe taarifa ya maneno haya yote kwa mfalme.”
Ainsi dit le Seigneur sur Achiab et sur Sédécias: Voilà que je les livrerai aux mains du roi de Babylone, et il les frappera devant vos yeux.
17 Kisha wakamuuliza Baruku, “Tuambie, uliandikaje haya yote? Je, yalitoka kinywani mwa Yeremia?”
Ainsi dit le Seigneur sur Achiab et sur Sédécias: Voilà que je les livrerai aux mains du roi de Babylone, et il les frappera devant vos yeux.
18 Baruku akajibu, “Ndiyo, maneno haya yote yalitoka kinywani mwa Yeremia, nami nikayaandika kwa wino katika hiki kitabu.”
Ainsi dit le Seigneur sur Achiab et sur Sédécias: Voilà que je les livrerai aux mains du roi de Babylone, et il les frappera devant vos yeux.
19 Ndipo wale maafisa wakamwambia Baruku, “Wewe na Yeremia nendeni mkajifiche. Mtu yeyote asijue mahali mlipo.”
Ainsi dit le Seigneur sur Achiab et sur Sédécias: Voilà que je les livrerai aux mains du roi de Babylone, et il les frappera devant vos yeux.
20 Baada ya kuhifadhi kile kitabu ndani ya chumba cha Elishama mwandishi, wakamwendea mfalme katika ua wa nje na kumwarifu kila kitu.
Ainsi dit le Seigneur sur Achiab et sur Sédécias: Voilà que je les livrerai aux mains du roi de Babylone, et il les frappera devant vos yeux.
21 Mfalme akamtuma Yehudi akachukue kile kitabu. Yehudi akakileta hicho kitabu kutoka kwenye chumba cha Elishama mwandishi, na akakisoma mbele ya mfalme na maafisa wakiwa wamesimama kando ya mfalme.
Ainsi dit le Seigneur sur Achiab et sur Sédécias: Voilà que je les livrerai aux mains du roi de Babylone, et il les frappera devant vos yeux.
22 Ulikuwa mwezi wa tisa, na mfalme alikuwa ameketi chumba cha wakati wa baridi akiota moto.
Et parmi tous les captifs en Babylone, c'est d'eux que l'on se servira pour maudire, disant: Puisse le Seigneur te traiter comme il a traité Sédécias et Achiab, que le roi de Babylone a fait frire dans le feu,
23 Hata ikawa kila wakati Yehudi alipomaliza kusoma kurasa tatu au nne za hicho kitabu, mfalme alizikata kwa kisu cha mwandishi na kuzitupia motoni, hadi kitabu chote kikateketea.
Parce qu'ils avaient fait l'iniquité en Israël; qu'ils avaient commis des adultères avec les femmes de leurs concitoyens, et dit en mon nom des paroles que je ne leur avais point commandé; et j'en porte témoignage, dit le Seigneur,
24 Mfalme na watumishi wake wote waliosikia yote yaliyosomwa hawakuonyesha hofu yoyote, wala hawakuyararua mavazi yao.
Et à Séméi l'Élamite tu diras:
25 Hata ingawa Elnathani, Delaya na Gemaria walimsihi mfalme asikichome kile kitabu, yeye hakuwasikiliza.
Je ne t'ai point envoyé en mon nom. Et à Sophonias, fils de Messie, le prêtre, dis encore:
26 Badala yake, mfalme akamwamuru Yerameeli, mwana wa mfalme, Seraya mwana wa Azrieli, na Shelemia mwana wa Abdeeli kuwakamata mwandishi Baruku na nabii Yeremia. Lakini Bwana alikuwa amewaficha.
Le Seigneur t'a établi prêtre à la place du prêtre Joad, pour que tu sois, dans le temple du Seigneur, le maître de tout faux prophète et de tout homme en délire; et ceux-là, fais-les mettre en prison et au cachot.
27 Baada ya mfalme kuchoma kile kitabu kilichokuwa na yale maneno Baruku aliyokuwa ameyaandika kutoka kinywani mwa Yeremia, neno la Bwana lilimjia Yeremia likisema:
Et maintenant pourquoi tous ensemble injuriez-vous Jérémie, d'Anathoth, qui prophétisait pour vous?
28 “Chukua kitabu kingine na uandike juu yake maneno yote yaliyokuwa katika kile kitabu cha kwanza, ambacho Yehoyakimu mfalme wa Yuda amekiteketeza kwa moto.
Ne vous a-t-il pas envoyé une lettre à ce sujet? Dans le cours de ce mois, il vous l'a envoyée à Babylone, disant: Ce sera long; bâtissez donc des maisons et habitez-les; plantez des jardins et manges-en les fruits.
29 Mwambie pia Yehoyakimu mfalme wa Yuda, ‘Hili ndilo asemalo Bwana: Ulikiteketeza kile kitabu ukasema, “Kwa nini uliandika kwenye kitabu kwamba kwa hakika mfalme wa Babeli angekuja na kuangamiza nchi hii, na kuwakatilia mbali watu na wanyama kutoka humo?”
Or Sophonie lut la lettre aux oreilles de Jérémie,
30 Kwa hiyo, hili ndilo asemalo Bwana kuhusu Yehoyakimu mfalme wa Yuda: Hatakuwa na mtu yeyote atakayekalia kiti cha enzi cha Daudi; maiti yake itatupwa nje kwenye joto wakati wa mchana na kupigwa na baridi wakati wa usiku.
Et la parole du Seigneur vint à Jérémie, disant:
31 Nitamwadhibu yeye, watoto wake na watumishi wake kwa ajili ya uovu wao. Nitaleta juu yao na wote waishio Yerusalemu na watu wa Yuda kila maafa niliyoyasema dhidi yao, kwa sababu hawajasikiliza.’”
Envoie-les aux captifs, disant: Ainsi parle le Seigneur sur Jérémie l'Elamite: Puisque Séméi vous a prophétisé sans être envoyé par moi, et qu'il a gagné votre confiance injustement,
32 Kisha Yeremia akachukua kitabu kingine na kumpa mwandishi Baruku mwana wa Neria, naye kama Yeremia alivyosema, Baruku akaandika juu yake maneno yote ya kile kitabu ambacho Yehoyakimu mfalme wa Yuda alikuwa amekichoma moto, na maneno mengine mengi yaliyofanana na hayo yaliyoongezewa humo.
A cause de cela, dit le Seigneur, je visiterai Séméi et sa race, et il n'en restera pas un homme parmi vous, pour voir le bien que je vous ferai; non, ils ne le verront pas.

< Yeremia 36 >