< Yeremia 35 >

1 Hili ndilo neno lililomjia Yeremia kutoka kwa Bwana, wakati wa utawala wa Yehoyakimu mwana wa Yosia mfalme wa Yuda:
[the] word which to be to(wards) Jeremiah from with LORD in/on/with day Jehoiakim son: child Josiah king Judah to/for to say
2 “Nenda kwa jamaa ya Warekabi, uwaalike waje kwenye moja ya vyumba vya pembeni vya nyumba ya Bwana, na uwape divai wanywe.”
to go: went to(wards) house: household [the] Rechabite and to speak: speak [obj] them and to come (in): bring them house: temple LORD to(wards) one [the] chamber and to water: drink [obj] them wine
3 Basi nikaenda kumwita Yaazania mwana wa Yeremia, mwana wa Habazinia, na ndugu zake na wanawe wote, yaani jamaa nzima ya Warekabi.
and to take: take [obj] Jaazaniah son: child Jeremiah son: child Habazziniah and [obj] brother: male-sibling his and [obj] all son: child his and [obj] all house: household [the] Rechabite
4 Nikawaleta katika nyumba ya Bwana, ndani ya chumba cha wana wa Hanani mwana wa Igdalia mtu wa Mungu. Kilikuwa karibu na chumba cha maafisa, ambacho kilikuwa juu ya kile cha Maaseya mwana wa Shalumu, aliyekuwa bawabu.
and to come (in): bring [obj] them house: temple LORD to(wards) chamber son: child Hanan son: child Igdaliah man [the] God which beside chamber [the] ruler which from above to/for chamber Maaseiah son: child Shallum to keep: guard [the] threshold
5 Kisha nikaweka mabakuli yaliyojaa divai na baadhi ya vikombe mbele ya watu wa jamaa ya Warekabi na kuwaambia, “Kunyweni divai.”
and to give: put to/for face: before son: descendant/people house: household [the] Rechabite cup full wine and cup and to say to(wards) them to drink wine
6 Lakini wao wakajibu, “Sisi hatunywi divai, kwa sababu baba yetu Yonadabu mwana wa Rekabu, alitupa agizo hili: ‘Ninyi wala wazao wenu kamwe msinywe divai.
and to say not to drink wine for Jonadab son: child Rechab father our to command upon us to/for to say not to drink wine you(m. p.) and son: child your till forever: enduring
7 Pia msijenge nyumba kamwe, wala kuotesha mbegu au kupanda mashamba ya mizabibu. Kamwe msiwe na kitu chochote katika hivi, lakini siku zote lazima muishi kwenye mahema. Ndipo mtakapoishi kwa muda mrefu katika nchi ambayo ninyi ni wahamiaji.’
and house: household not to build and seed not to sow and vineyard not to plant and not to be to/for you for in/on/with tent to dwell all day your because to live day many upon face: surface [the] land: soil which you(m. p.) to sojourn there
8 Tumetii kila kitu ambacho baba yetu Yonadabu mwana wa Rekabu alituamuru. Sisi wenyewe wala wake zetu wala wana wetu na binti zetu kamwe hatujanywa divai
and to hear: obey in/on/with voice Jonadab son: child Rechab father our to/for all which to command us to/for lest to drink wine all day our we woman: wife our son: child our and daughter our
9 wala kujenga nyumba za kuishi au kuwa na mashamba ya mizabibu, mashamba au mazao.
and to/for lest to build house: home to/for to dwell us and vineyard and land: country and seed not to be to/for us
10 Tumeishi katika mahema na tumetii kikamilifu kila kitu alichotuamuru baba yetu Yonadabu.
and to dwell in/on/with tent and to hear: obey and to make: do like/as all which to command us Jonadab father our
11 Lakini wakati Nebukadneza mfalme wa Babeli alipoivamia nchi hii, tulisema, ‘Njooni, lazima twende Yerusalemu ili kukimbia majeshi ya Wakaldayo na ya Washamu.’ Kwa hiyo tumeishi Yerusalemu.”
and to be in/on/with to ascend: rise Nebuchadnezzar king Babylon to(wards) [the] land: country/planet and to say to come (in): come and to come (in): come Jerusalem from face: because strength: soldiers [the] Chaldea and from face: before strength: soldiers Syria and to dwell in/on/with Jerusalem
12 Ndipo neno la Bwana likamjia Yeremia kusema:
and to be word LORD to(wards) Jeremiah to/for to say
13 “Hili ndilo Bwana Mwenye Nguvu Zote, aliye Mungu wa Israeli, asemalo: Nenda ukawaambie watu wa Yuda na watu wa Yerusalemu, ‘Je, hamwezi kujifunza kutoka kwa wana wa Rekabu, na kuyatii maneno yangu?’ asema Bwana.
thus to say LORD Hosts God Israel to go: went and to say to/for man Judah and to/for to dwell Jerusalem not to take: recieve discipline: instruction to/for to hear: obey to(wards) word my utterance LORD
14 ‘Yonadabu mwana wa Rekabu aliwaagiza wanawe wasinywe divai, na agizo hilo wamelishika mpaka leo hawanywi divai, kwa sababu wanatii amri ya baba yao. Lakini nimenena nanyi tena na tena, lakini hamkunitii mimi.
to arise: establish [obj] word Jonadab son: child Rechab which to command [obj] son: child his to/for lest to drink wine and not to drink till [the] day: today [the] this for to hear: obey [obj] commandment father their and I to speak: speak to(wards) you to rise and to speak: speak and not to hear: hear to(wards) me
15 Tena na tena nimewatuma watumishi wangu wote manabii kwenu. Wakasema, “Kila mmoja wenu ni lazima ageuke na kuacha njia zake mbaya, na kuyatengeneza matendo yake. Msifuate miungu mingine ili kuitumikia. Ndipo mtakapoishi katika nchi niliyowapa ninyi na baba zenu.” Lakini hamkujali wala kunisikiliza.
and to send: depart to(wards) you [obj] all servant/slave my [the] prophet to rise and to send: depart to/for to say to return: repent please man: anyone from way: conduct his [the] bad: evil and be good deed your and not to go: follow after God another to/for to serve: minister them and to dwell to(wards) [the] land: soil which to give: give to/for you and to/for father your and not to stretch [obj] ear your and not to hear: hear to(wards) me
16 Wazao wa Yonadabu mwana wa Rekabu walitimiza amri ambayo baba yao aliwapa, lakini watu hawa hawakunitii mimi.’
for to arise: establish son: child Jonadab son: child Rechab [obj] commandment father their which to command them and [the] people [the] this not to hear: obey to(wards) me
17 “Kwa hiyo, hili ndilo Bwana Mungu Mwenye Nguvu Zote, Mungu wa Israeli, asemalo: ‘Sikilizeni! Nitaleta juu ya Yuda na juu ya kila mmoja aishiye Yerusalemu kila aina ya maafa niliyotamka dhidi yao. Nilinena nao, lakini hawakusikiliza. Niliwaita, lakini hawakujibu.’”
to/for so thus to say LORD God Hosts God Israel look! I to come (in): bring to(wards) Judah and to(wards) all to dwell Jerusalem [obj] all [the] distress: harm which to speak: promise upon them because to speak: speak to(wards) them and not to hear: hear and to call: call to to/for them and not to answer
18 Kisha Yeremia akaiambia jamaa ya Warekabi, “Hili ndilo asemalo Bwana Mwenye Nguvu Zote, Mungu wa Israeli: ‘Mmetii amri ya baba yenu Yonadabu, na mmefuata mafundisho yake yote na mmefanya kila kitu alichowaamuru.’
and to/for house: household [the] Rechabite to say Jeremiah thus to say LORD Hosts God Israel because which to hear: obey upon commandment Jonadab father your and to keep: obey [obj] all commandment his and to make: do like/as all which to command [obj] you
19 Kwa hiyo hili ndilo Bwana Mwenye Nguvu Zote, Mungu wa Israeli, asemalo: ‘Yonadabu mwana wa Rekabu hatakosa kamwe kuwa na mtu wa kunitumikia mimi.’”
to/for so thus to say LORD Hosts God Israel not to cut: lack man to/for Jonadab son: child Rechab to stand: stand to/for face: before my all [the] day: always

< Yeremia 35 >