< Yeremia 35 >

1 Hili ndilo neno lililomjia Yeremia kutoka kwa Bwana, wakati wa utawala wa Yehoyakimu mwana wa Yosia mfalme wa Yuda:
Yihoiagimi (Yousaia egefe) da Yuda hina bagade esaloba, Hina Gode da nama amane sia: i,
2 “Nenda kwa jamaa ya Warekabi, uwaalike waje kwenye moja ya vyumba vya pembeni vya nyumba ya Bwana, na uwape divai wanywe.”
“Liga: be fi dunu ilima sia: musa: masa. Amasea, ili Debolo sesei afae amo ganodini oule asili, ilima waini hano moma: ne sia: ma.”
3 Basi nikaenda kumwita Yaazania mwana wa Yeremia, mwana wa Habazinia, na ndugu zake na wanawe wote, yaani jamaa nzima ya Warekabi.
Amaiba: le, na da Liga: be fi dunu huluane - Ya: ia: sanaia (Yelemaia eno egefe amola Habasinaia ea aowa) amola ea yolali amola egefe huluane, amo lale,
4 Nikawaleta katika nyumba ya Bwana, ndani ya chumba cha wana wa Hanani mwana wa Igdalia mtu wa Mungu. Kilikuwa karibu na chumba cha maafisa, ambacho kilikuwa juu ya kile cha Maaseya mwana wa Shalumu, aliyekuwa bawabu.
Debolo diasuga oule asi. Na da balofede dunu Ha: ina: ne (Igidalaia egefe) amo ea adoba: su dunu ilia sesei amo ganodini oule asi. Amo sesei da Sia: lame egefe, Ma: iasia (debolo ouligisu dunu mimogo) ea sesei amoga gadodili dialu amola ouligisu dunu eno ilia sesei gadenene dialebe ba: i.
5 Kisha nikaweka mabakuli yaliyojaa divai na baadhi ya vikombe mbele ya watu wa jamaa ya Warekabi na kuwaambia, “Kunyweni divai.”
Amalalu, na da faigelei amola ofodo waini hano amoga nabai, amo Liga: be dunu ilia midadi ligisilalu, ilima amane sia: i, “Waini hano moma!”
6 Lakini wao wakajibu, “Sisi hatunywi divai, kwa sababu baba yetu Yonadabu mwana wa Rekabu, alitupa agizo hili: ‘Ninyi wala wazao wenu kamwe msinywe divai.
Be ilia da bu adole i, “Ninia da waini hano hame naha. Ninia aowalalia dunu Yonada: be (Liga: be egefe) da ninia amola ninigaga fi da waini hano maedafa moma: ne sia: i.
7 Pia msijenge nyumba kamwe, wala kuotesha mbegu au kupanda mashamba ya mizabibu. Kamwe msiwe na kitu chochote katika hivi, lakini siku zote lazima muishi kwenye mahema. Ndipo mtakapoishi kwa muda mrefu katika nchi ambayo ninyi ni wahamiaji.’
E da eno ninima sia: i, amo ninia da diasu mae gaguma: ne amola ifabi amola waini efe mae sagama: ne sia: i. E da ninia eso huluane abula diasu amo ganodini fawane esaloma: ne sia: i. Bai ninia da amo soge ganodini ga fi defele esaloma: ne sia: i.
8 Tumetii kila kitu ambacho baba yetu Yonadabu mwana wa Rekabu alituamuru. Sisi wenyewe wala wake zetu wala wana wetu na binti zetu kamwe hatujanywa divai
Ninia da hamoma: ne sia: i huluane amo Yonada: be ea ninima olelei, amo nabawane hamonanu. Ninia, ninia uda, ninia dunu mano amola uda mano da waini hano hamedafa naha.
9 wala kujenga nyumba za kuishi au kuwa na mashamba ya mizabibu, mashamba au mazao.
10 Tumeishi katika mahema na tumetii kikamilifu kila kitu alichotuamuru baba yetu Yonadabu.
Ninia diasu hame gagusa. Be ninia da abula diasu ganodini esala. Ninia da waini sagai amola gagoma sagai amola soge hamedafa gagusa. Ninia aowalalia Yonada: be ea hamoma: ne sia: i huluane amoma fa: no bobogesu.
11 Lakini wakati Nebukadneza mfalme wa Babeli alipoivamia nchi hii, tulisema, ‘Njooni, lazima twende Yerusalemu ili kukimbia majeshi ya Wakaldayo na ya Washamu.’ Kwa hiyo tumeishi Yerusalemu.”
Be hina bagade Nebiuga: denese da ninia sogega doagala: beba: le, ninia da Ba: bilone amola Silia dadi gagui wa: i ilima beda: iba: le, Yelusalemega misusa: dawa: i. Amaiba: le, ninia da wali Yelusaleme amo ganodini esala.”
12 Ndipo neno la Bwana likamjia Yeremia kusema:
13 “Hili ndilo Bwana Mwenye Nguvu Zote, aliye Mungu wa Israeli, asemalo: Nenda ukawaambie watu wa Yuda na watu wa Yerusalemu, ‘Je, hamwezi kujifunza kutoka kwa wana wa Rekabu, na kuyatii maneno yangu?’ asema Bwana.
Amalalu, Hina Gode Bagadedafa, Isala: ili fi ilia Gode, da nama na da Yuda fi dunu amola Yelusaleme dunu ilima amane sia: adole iasima: ne sia: i, “Na, Hina Gode, da dilima agoane adole ba: sa. Dilia da abuliba: le Na sia: hame nabala: ? Amola abuliba: le Na sema nabawane hame hamosala: ?
14 ‘Yonadabu mwana wa Rekabu aliwaagiza wanawe wasinywe divai, na agizo hilo wamelishika mpaka leo hawanywi divai, kwa sababu wanatii amri ya baba yao. Lakini nimenena nanyi tena na tena, lakini hamkunitii mimi.
Yonada: be egaga fi da ea hamoma: ne sia: i amo ‘waini hano mae moma’ amo naba. Amola ilia huluane da eso huluane amola wali, waini hano hame naha. Be Na da dilima gebewane sia: nana, be dilia da hame naba.
15 Tena na tena nimewatuma watumishi wangu wote manabii kwenu. Wakasema, “Kila mmoja wenu ni lazima ageuke na kuacha njia zake mbaya, na kuyatengeneza matendo yake. Msifuate miungu mingine ili kuitumikia. Ndipo mtakapoishi katika nchi niliyowapa ninyi na baba zenu.” Lakini hamkujali wala kunisikiliza.
Na da dilima Na hawa: hamosu dunu (balofede dunu) huluane gebewane asunasilalu, amola ilia da dilima dilia wadela: i hou yolesili, moloidafa hamoma: ne sia: i. Ilia da dilima sisane, ogogosu ‘gode’ ilima mae hawa: hamoma: ne amola mae nodone sia: ne gadoma: ne sia: su. Dilia da soge amo Na da dilia amola dilia aowalali ilima i, amo ganodini hahawane esaloma: ne agoane hamoma: ne sia: i. Be dilia da Na sia: hamedafa nabi amola hamedafa dawa: digisu.
16 Wazao wa Yonadabu mwana wa Rekabu walitimiza amri ambayo baba yao aliwapa, lakini watu hawa hawakunitii mimi.’
Yonada: be egaga fi da ilia aowalalia dunu ilia sia: nabi dagoi, be dilia da Na sia: hamedafa nabasu.
17 “Kwa hiyo, hili ndilo Bwana Mungu Mwenye Nguvu Zote, Mungu wa Israeli, asemalo: ‘Sikilizeni! Nitaleta juu ya Yuda na juu ya kila mmoja aishiye Yerusalemu kila aina ya maafa niliyotamka dhidi yao. Nilinena nao, lakini hawakusikiliza. Niliwaita, lakini hawakujibu.’”
Amaiba: le, wali Na, Hina Gode Bagadedafa, Isala: ili fi ilia Gode, Na da dilia Yuda fi dunu amola Yelusaleme fi dunu, dilima se iasu amola wadela: su Na musa: ilegei amo dilima iasimu. Bai Na da dilima sia: beba: le, dilia da hame nabasu amola Na da dilima wele sia: beba: le, dilia da dabe hame alofesu.”
18 Kisha Yeremia akaiambia jamaa ya Warekabi, “Hili ndilo asemalo Bwana Mwenye Nguvu Zote, Mungu wa Israeli: ‘Mmetii amri ya baba yenu Yonadabu, na mmefuata mafundisho yake yote na mmefanya kila kitu alichowaamuru.’
Amalalu, na da Liga: be fi dunu ilima Hina Gode Bagadedafa, Isala: ili fi ilia Gode, amo Ea sia: ilima amane alofele i, “Dilia da dilia aowalalia Yonada: be ea sia: amoma fa: no bobogei. Ea hamoma: ne sia: i amola olelesu huluane dilia da nabi dagoi.
19 Kwa hiyo hili ndilo Bwana Mwenye Nguvu Zote, Mungu wa Israeli, asemalo: ‘Yonadabu mwana wa Rekabu hatakosa kamwe kuwa na mtu wa kunitumikia mimi.’”
Amaiba: le, Na, Hina Gode Bagadedafa, Isala: ili fi ilia Gode, Na da amane ilegesa. Eso huluane, Yonada: be (Liga: be egefe) amo egaga fi dunu afae da Na hawa: hamonanebe ba: mu.”

< Yeremia 35 >