< Yeremia 33 >

1 Wakati Yeremia alipokuwa angali amefungwa kwenye ua wa walinzi, neno la Bwana lilimjia mara ya pili kusema:
Au commencement du règne de Joakim, fils de Josias, cette parole me vint du Seigneur:
2 “Hili ndilo Bwana asemalo, yeye aliyeumba dunia, Bwana aliyeifanya na kuithibitisha, Bwana ndilo jina lake:
Voici ce que dit le Seigneur: Tiens-toi dans le parvis du temple du Seigneur, et prophétise à tous les Juifs et à tous ceux qui viennent adorer dans le temple du Seigneur; dis-leur toutes les paroles que je t'ai commandé de leur prophétiser; et n'en omets pas un seul mot.
3 ‘Niite nami nitakuitika na kukuambia mambo makuu na yasiyochunguzika, usiyoyajua.’
Peut-être ils t'écouteront et se détourneront chacun de leur mauvaise voie; et je ne leur ferai point le mal que je pense leur faire en punition de leurs habitudes perverses.
4 Kwa maana hili ndilo Bwana, Mungu wa Israeli, asemalo kuhusu nyumba katika mji huu na majumba ya kifalme ya Yuda yaliyobomolewa ili yatumiwe dhidi ya kule kuzungukwa na jeshi na upanga
Et dis-leur: Ainsi parle le Seigneur: Si vous m'êtes indociles, au lieu de marcher selon les commandements que je vous ai donnés face à face,
5 katika kupigana na Wakaldayo: ‘Zitajazwa na maiti za watu nitakaowachinja katika hasira na ghadhabu yangu. Nitauficha uso wangu kwa sababu ya maovu yake yote.
Pour écouter mes serviteurs les prophètes que je vous envoie dès l'aurore (car je vous les ai envoyés, mais vous ne m'avez point obéi),
6 “‘Hata hivyo, nitauletea afya na uponyaji, nitawaponya watu wangu na kuwafanya wafurahie amani tele na salama.
Je traiterai ce temple comme j'ai traité Silo; et je maudirai cette ville parmi toutes les nations de la terre.
7 Nitawarudisha Yuda na Israeli kutoka nchi ya kutekwa kwao, na kuwajenga tena kama walivyokuwa hapo awali.
Et les prêtres, et les faux prophètes, et tout le peuple entendirent Jérémie, comme il disait ces paroles dans la maison du Seigneur.
8 Nitawatakasa dhambi zote walizofanya dhidi yangu, na nitawasamehe dhambi zote za uasi dhidi yangu.
Et quand Jérémie eut cessé de dire au peuple tout ce que le Seigneur lui avait commandé de dire, les prêtres et les faux prophètes, et tout le peuple le prirent, disant: Que tu meures de mort,
9 Kisha mji huu utaniletea utukufu, furaha, sifa na heshima mbele ya mataifa yote ya dunia yatakayosikia mambo yote mazuri ninayoufanyia. Nao watashangaa na kutetemeka kwa ajili ya wingi wa mafanikio na amani nitakayoupatia.’
Parce que tu as prophétisé au nom du Seigneur, disant: Le temple sera comme Silo, et cette ville sera vide d'habitants. Et toute l'assemblée du peuple se réunit contre Jérémie, dans la maison du Seigneur.
10 “Hili ndilo asemalo Bwana: ‘Mnasema kuhusu mahali hapa kwamba, “Ni mahali palipoachwa ukiwa, pasipo na wanadamu wala wanyama.” Lakini katika miji ya Yuda na barabara za Yerusalemu ambazo zimeachwa, ambazo hazikaliwi na wanadamu wala wanyama, huko kutasikika kwa mara nyingine
Et les princes de Juda apprirent ces choses; et, de la maison du roi, ils allèrent au temple, et ils siégèrent devant la porte neuve.
11 sauti za shangwe na furaha, sauti za bibi na bwana arusi, na sauti za wale waletao sadaka za shukrani katika nyumba ya Bwana, wakisema, “‘“Mshukuruni Bwana Mwenye Nguvu Zote, kwa maana Bwana ni mwema; upendo wake wadumu milele.” Kwa kuwa nitairudishia nchi baraka kama zilivyokuwa hapo awali,’ asema Bwana.
Et les prêtres et les faux prophètes dirent aux princes et à tout le peuple: Condamnation à mort contre cet homme, parce qu'il a prophétisé sur cette ville, comme vous l'avez oui de vos oreilles.
12 “Hili ndilo asemalo Bwana Mwenye Nguvu Zote: ‘Mahali hapa, ambapo ni ukiwa, pasipo na wanadamu wala wanyama: katika miji yake, patakuwepo tena malisho kwa ajili ya wachungaji kupumzisha makundi yao ya kondoo.
Et Jérémie parla aux princes et à tout le peuple, disant: Le Seigneur m'a envoyé prophétiser sur ce temple et sur cette ville, et dire les paroles que vous avez ouïes.
13 Katika miji ya nchi ya vilima, ya vilima vya magharibi na ya Negebu, katika nchi ya Benyamini, katika vijiji vinavyoizunguka Yerusalemu na katika miji ya Yuda, makundi ya kondoo yatapita tena chini ya mkono wa yeye ayahesabuye,’ asema Bwana.
Et maintenant faites meilleures vos voies et vos œuvres; et obéissez à la voix du Seigneur, et le Seigneur ne vous fera point le mal qu'il a prononcé contre vous.
14 “‘Siku zinakuja,’ asema Bwana, ‘wakati nitakapotimiza ahadi yangu ya rehema niliyoifanya kwa nyumba ya Israeli na kwa nyumba ya Yuda.
Voilà que je suis dans vos mains; traitez-moi comme bon vous semble et comme il vaut mieux pour vous.
15 “‘Katika siku hizo na wakati huo nitalifanya Tawi la haki lichipuke kutoka ukoo wa Daudi, naye atafanya lile lililo haki na sawa katika nchi.
Mais sachez que si vous me faites périr, vous ferez retomber le sang innocent sur vous, sur cette ville, et sur ceux qui l'habitent: car, en vérité, le Seigneur m'a envoyé à vous pour porter ces paroles à vos oreilles.
16 Katika siku hizo, Yuda ataokolewa na Yerusalemu ataishi salama. Hili ndilo jina atakaloitwa: Bwana Haki Yetu.’
Et les princes et tout le peuple dirent aux prêtres et aux faux prophètes: Il n'y a pas lieu de condamner cet homme à mort; car il nous a parlé au nom du Seigneur notre Dieu.
17 Kwa maana hili ndilo asemalo Bwana: ‘Daudi kamwe hatakosa mtu wa kukalia kiti cha enzi cha nyumba ya Israeli,
Et des hommes, des anciens de la terre, se levèrent, et ils dirent à toute la synagogue du peuple:
18 wala hata makuhani, ambao ni Walawi, kamwe hawatakosa mtu wa kusimama mbele zangu daima ili kutoa sadaka za kuteketezwa, ili kuteketeza sadaka ya nafaka na kutoa dhabihu.’”
Michée de Morasthi était du temps d'Ézéchias, roi de Juda, et il dit à tout le peuple de Juda: Voici ce que dit le Seigneur: Sion sera labourée comme un champ, et Jérusalem déserte, et la montagne du temple un bois de chênes.
19 Neno la Bwana likamjia Yeremia kusema:
Ézéchias et tout Juda l'ont-Ils fait périr? N'est-ce pas parce qu'ils craignirent le Seigneur et le prièrent, qu'il ne leur fit pas le mal qu'il avait prononcé contre eux? Nous aussi, nous avons fait de grandes fautes contre nos âmes.
20 “Hili ndilo asemalo Bwana: ‘Ikiwa mtaweza kuvunja agano langu kuhusu usiku na mchana, ili usiku na mchana visiwepo kwa nyakati zake,
Mais il y eut aussi un homme prophétisant au nom du Seigneur, Urie, fils de Séméi de Cariathiarim; et il avait prophétisé sur cette terre les mêmes choses que Jérémie.
21 basi agano langu na Daudi mtumishi wangu, na agano langu na Walawi ambao ni makuhani wanaohudumu mbele zangu, linaweza kuvunjwa, na Daudi hatakuwa tena na mzao wa kutawala katika kiti chake cha enzi.
Et le roi Joakim et tous les princes, ayant oui toutes ses paroles, cherchèrent à le faire mourir; mais Urie en fut informé, et il s'enfuit en Égypte.
22 Nitawafanya wazao wa Daudi mtumishi wangu na Walawi wanaohudumu mbele zangu wengi, wasioweza kuhesabika kama nyota za angani, tena wasiopimika kama mchanga wa ufuoni mwa bahari.’”
Et le roi envoya des hommes en Égypte.
23 Neno la Bwana likamjia Yeremia kusema:
Et ils en ramenèrent Urie, et Ils le conduisirent devant le roi, et le roi le frappa du glaive, et le jeta dans le sépulcre des fils de son peuple.
24 “Je, hujasikia kwamba watu hawa wanasema, ‘Bwana amezikataa zile falme mbili alizozichagua?’ Kwa hiyo wamewadharau watu wangu, na hawawaoni tena kama taifa.
Mais la main d'Achicam, fils de Saphan, était avec Jérémie pour qu'il ne fût pas livré aux mains du peuple, et qu'on ne le fit point mourir.
25 Hili ndilo asemalo Bwana: ‘Kama sijathibitisha agano langu na usiku na mchana, na kuziweka wakfu sheria za mbingu na nchi,
26 basi nitawakataa wazao wa Yakobo na Daudi mtumishi wangu, na sitachagua mmoja wa wanawe kutawala juu ya wazao wa Abrahamu, Isaki na Yakobo. Kwa maana nitawarudisha kutoka nchi ya kutekwa kwao na kuwaonea huruma.’”

< Yeremia 33 >