< Yeremia 33 >

1 Wakati Yeremia alipokuwa angali amefungwa kwenye ua wa walinzi, neno la Bwana lilimjia mara ya pili kusema:
Na da hina bagade gagoi ganodini, udigili hawa: hamosu dunu agoane ganodini esaloba, Hina Gode Ea sia: ne iasu da nama bu doaga: i.
2 “Hili ndilo Bwana asemalo, yeye aliyeumba dunia, Bwana aliyeifanya na kuithibitisha, Bwana ndilo jina lake:
Hina Gode, amo da osobo bagade hamone, ganumugini, ea sogebi amoga ligisi, E da nama sia: i. Dunu amo Ea Dio da Hina Gode, da nama amane sia: i,
3 ‘Niite nami nitakuitika na kukuambia mambo makuu na yasiyochunguzika, usiyoyajua.’
“Dia Nama wele sia: sea, amasea Na da dima bu adole imunu. Na da dima liligi ida: iwane amola fofogadigi gala amo di hame dawa: liligi, dima adomu.
4 Kwa maana hili ndilo Bwana, Mungu wa Israeli, asemalo kuhusu nyumba katika mji huu na majumba ya kifalme ya Yuda yaliyobomolewa ili yatumiwe dhidi ya kule kuzungukwa na jeshi na upanga
Na, Hina Gode, Isala: ili fi dunu ilia Gode, da Yelusaleme diasu huluane amola Yuda hina bagade ea diasu, amo da Ba: bilone dunu ilia doagala: beba: le, mugului dagoi ba: mu, amane sia: sa.
5 katika kupigana na Wakaldayo: ‘Zitajazwa na maiti za watu nitakaowachinja katika hasira na ghadhabu yangu. Nitauficha uso wangu kwa sababu ya maovu yake yote.
Mogili da Ba: bilone fi dunu ilima gegemu. Be Ba: bilone gegesu dunu da doagala: su osobo bi hamomu, amola ilima bu gegemu da hamedei. Bai Na da bagade ougiba: le, amo dunu fane legele, diasu da bogoi da: i hodo amoga nabai dagoi ba: mu. Yelusaleme fi da wadela: le bagade hamobeba: le, Na da ili yolesi dagoi.
6 “‘Hata hivyo, nitauletea afya na uponyaji, nitawaponya watu wangu na kuwafanya wafurahie amani tele na salama.
Be fa: no, Na da amo moilai bai bagade amola ea fi dunu uhinisimu. Na da olofosudafa amola gaga: su ilima olelemu.
7 Nitawarudisha Yuda na Israeli kutoka nchi ya kutekwa kwao, na kuwajenga tena kama walivyokuwa hapo awali.
Na da Yuda amola Yelusaleme fi amo bu hahawane bagade gaguiwane esaloma: ne, logo doasimu. Amola ilia musa: hou baligimusa: , Na da amo fedege agoane diasu agoane ili bu gagumu.
8 Nitawatakasa dhambi zote walizofanya dhidi yangu, na nitawasamehe dhambi zote za uasi dhidi yangu.
Ilia da Nama wadela: le hamosu. Be ilia wadela: i hou amola odoga: su hou, Na da gogolema: ne olofole, dodofemu.
9 Kisha mji huu utaniletea utukufu, furaha, sifa na heshima mbele ya mataifa yote ya dunia yatakayosikia mambo yote mazuri ninayoufanyia. Nao watashangaa na kutetemeka kwa ajili ya wingi wa mafanikio na amani nitakayoupatia.’
Na da Yelusaleme amo hahawane amola nodone amola hidale ba: mu. Amola fifi asi gala da hou ida: iwane gala Na da Yelusaleme fi ilima hamosa, amola hahawane bagade gagui hou Na da ilima iaha, amo nababeba: le, beda: ga yagugumu.”
10 “Hili ndilo asemalo Bwana: ‘Mnasema kuhusu mahali hapa kwamba, “Ni mahali palipoachwa ukiwa, pasipo na wanadamu wala wanyama.” Lakini katika miji ya Yuda na barabara za Yerusalemu ambazo zimeachwa, ambazo hazikaliwi na wanadamu wala wanyama, huko kutasikika kwa mara nyingine
Hina Gode da amane sia: i, “Dunu da amo soge da wadela: i hafoga: i soge defele amola amo ganodini da dunu amola ohe hame esala, amane sia: daha. Dafawane! Yuda moilai amola Yelusaleme logo da hame agoane ba: sa. Dunu amola ohe da amo ganodini hamedafa esalebe ba: sa. Be amo sogebi ganodini fa: no dilia da dunu ilia sia: bu nabimu.
11 sauti za shangwe na furaha, sauti za bibi na bwana arusi, na sauti za wale waletao sadaka za shukrani katika nyumba ya Bwana, wakisema, “‘“Mshukuruni Bwana Mwenye Nguvu Zote, kwa maana Bwana ni mwema; upendo wake wadumu milele.” Kwa kuwa nitairudishia nchi baraka kama zilivyokuwa hapo awali,’ asema Bwana.
Dilia da hahawane sia: amola uda lasu lolo nabe hahawane sia: bu nabimu. Dunu da Na Debolo amoga hahawane nodone iasu gaguli masea, gesami hea: lalebe dilia nabimu. Ilia da amane sia: mu, ‘Hina Gode Bagadedafa Ema nodone sia: ma. Bai E da noga: idafa amola Ea asigidafa hou da fifi ahoanebe.’ Amo soge ea musa: gagui bagade hou defele, Na da amo bu hahamomu. Na, Hina Gode, da sia: i dagoi.”
12 “Hili ndilo asemalo Bwana Mwenye Nguvu Zote: ‘Mahali hapa, ambapo ni ukiwa, pasipo na wanadamu wala wanyama: katika miji yake, patakuwepo tena malisho kwa ajili ya wachungaji kupumzisha makundi yao ya kondoo.
Hina Gode Bagadedafa, da amane sia: i, “Wali amo soge da wadela: i hafoga: i soge amola amo ganodini da dunu amola ohe hame esala. Be fa: no, sibi ha: i manu soge ida: iwane gala amoga sibi ouligisu dunu da ilia sibi fi ouligilalebe bu ba: mu
13 Katika miji ya nchi ya vilima, ya vilima vya magharibi na ya Negebu, katika nchi ya Benyamini, katika vijiji vinavyoizunguka Yerusalemu na katika miji ya Yuda, makundi ya kondoo yatapita tena chini ya mkono wa yeye ayahesabuye,’ asema Bwana.
Agolo soge moilai, amola agolo fonobahadi goumi baiga gala, amola Yuda gagoe (south) soge amola Bediamini ea soge amola moilai fonobahadi Yelusalemega sisiga: le diala, amola Yuda moilai huluane, amo ganodini sibi ouligisu dunu da bu ilia sibi fi idimu. Na, Hina Gode, da sia: i dagoi.”
14 “‘Siku zinakuja,’ asema Bwana, ‘wakati nitakapotimiza ahadi yangu ya rehema niliyoifanya kwa nyumba ya Israeli na kwa nyumba ya Yuda.
Hina Gode da amane sia: i, “Eso da misunu amoga Na Isala: ili fi amola Yuda fi ilima ilegele sia: i liligi, Na da dafawane hamomu.
15 “‘Katika siku hizo na wakati huo nitalifanya Tawi la haki lichipuke kutoka ukoo wa Daudi, naye atafanya lile lililo haki na sawa katika nchi.
Amo esoha, Na da Da: ibidi egaga fi moloidafa ‘Amoda’ - Hina Bagade hamoma: ne ilegemu. Amo Hina Bagade da moloidafa hou soge huluane ganodini hamonanumu.
16 Katika siku hizo, Yuda ataokolewa na Yerusalemu ataishi salama. Hili ndilo jina atakaloitwa: Bwana Haki Yetu.’
Yuda dunu amola Yelusaleme dunu da gaga: su ba: mu. Ilia da olofole, gaga: iwane esalumu. Amola Yelusaleme moilai bai bagade ea dio ilia da ‘Hina Gode ninia Gaga: sudafa’ asulimu.
17 Kwa maana hili ndilo asemalo Bwana: ‘Daudi kamwe hatakosa mtu wa kukalia kiti cha enzi cha nyumba ya Israeli,
Na, Hina Gode, da amane ilegesa, ‘Da: ibidi egaga fi dunu afadafa da mae fisili, Isala: ili fi ilima hina bagade esalumu.
18 wala hata makuhani, ambao ni Walawi, kamwe hawatakosa mtu wa kusimama mbele zangu daima ili kutoa sadaka za kuteketezwa, ili kuteketeza sadaka ya nafaka na kutoa dhabihu.’”
Amola Lifai fi gobele salasu dunu, ilia mae fisili, Nama hawa: hamonanumu, amola gobei iasu amola gagoma iasu amola gobele salasu Nama ianumu.”
19 Neno la Bwana likamjia Yeremia kusema:
Hina Gode da nama amane sia: i,
20 “Hili ndilo asemalo Bwana: ‘Ikiwa mtaweza kuvunja agano langu kuhusu usiku na mchana, ili usiku na mchana visiwepo kwa nyakati zake,
“Na da fedege agoane eso amola gasi amoma ili da ilia misunu defele mae fisili misa: ne, Gousa: su hamoi dagoi. Amola amo Gousa: su fimu da hamedeidafa.
21 basi agano langu na Daudi mtumishi wangu, na agano langu na Walawi ambao ni makuhani wanaohudumu mbele zangu, linaweza kuvunjwa, na Daudi hatakuwa tena na mzao wa kutawala katika kiti chake cha enzi.
Amo defele, Na da Na hawa: hamosu dunu Da: ibidi egaga fi da mae fisili hina bagade hamonanoma: ne, Gousa: su hamoi. Amola Na da Lifai fi gobele salasu dunu ilia da mae fisili, Nama hawa: hamonanoma: ne, Gousa: su hamoi dagoi. Amo Gousa: su ela fimu amola da hamedei.
22 Nitawafanya wazao wa Daudi mtumishi wangu na Walawi wanaohudumu mbele zangu wengi, wasioweza kuhesabika kama nyota za angani, tena wasiopimika kama mchanga wa ufuoni mwa bahari.’”
Na da Na hawa: hamosu dunu Da: ibidi egaga fi ilia idi amo bagade hamomu amola Lifai fi gobele salasu dunu ilia idi bagade hamomu. Amasea, gasumuni muagado gala amo idimu da hamedei amola sa: iboso hano wayabo bagade bega: gala amo idimu da hamedei, amo defele Da: ibidi egaga fi amola Lifai gobele salasu iligaga fi amo idimu da hamedei ba: mu.”
23 Neno la Bwana likamjia Yeremia kusema:
Hina Gode da nama amane sia: i,
24 “Je, hujasikia kwamba watu hawa wanasema, ‘Bwana amezikataa zile falme mbili alizozichagua?’ Kwa hiyo wamewadharau watu wangu, na hawawaoni tena kama taifa.
“Di da ba: bela: ? Dunu ilia da Na Isala: ili fi amola Yuda fi (amo fi aduna Na da ilegei) amo yolesi dagoi, amane sia: daha. Amaiba: le, ilia da Na fi ilima higale ba: sa. Amola ilia da Isala: ili da wali Na fidafa hame, agoane dawa: sa.
25 Hili ndilo asemalo Bwana: ‘Kama sijathibitisha agano langu na usiku na mchana, na kuziweka wakfu sheria za mbingu na nchi,
Be Na, Hina Gode, da eso amola gasi amoma Gousa: su hamoi. Na da sema amo da osobo bagade amola mu ouligisa, amo Ni fawane hamoi.
26 basi nitawakataa wazao wa Yakobo na Daudi mtumishi wangu, na sitachagua mmoja wa wanawe kutawala juu ya wazao wa Abrahamu, Isaki na Yakobo. Kwa maana nitawarudisha kutoka nchi ya kutekwa kwao na kuwaonea huruma.’”
Na da amo dafawane hamoi amola amo defele Na Gousa: su Na da Ya: igobe egaga fi amola Na hawa: hamosu dunu Da: ibidima hamoi, amo Na da eso huluane ouligimu. Na da Da: ibidi egaga fi dunu afadafa, amo A: ibalaha: me amola Aisage amola Ya: igobe iligaga fi amo ouligima: ne, ilegemu. Na da Na fi ilima bu asigili, ilia bu bagade gaguiwane esaloma: ne, logo doasimu.”

< Yeremia 33 >