< Yeremia 32 >

1 Hili ndilo neno lililomjia Yeremia kutoka kwa Bwana, katika mwaka wa kumi wa utawala wa Sedekia mfalme wa Yuda, ambao ulikuwa mwaka wa kumi na nane wa utawala wa Mfalme Nebukadneza.
[the] word which to be to(wards) Jeremiah from with LORD (in/on/with year *Q(K)*) [the] tenth to/for Zedekiah king Judah he/she/it [the] year eight ten year to/for Nebuchadnezzar
2 Wakati huo jeshi la mfalme wa Babeli lilikuwa limeuzunguka mji wa Yerusalemu, naye nabii Yeremia alikuwa amezuiliwa katika ua wa walinzi katika jumba la kifalme la Yuda.
and then strength: soldiers king Babylon to confine upon Jerusalem and Jeremiah [the] prophet to be to restrain in/on/with court [the] guardhouse which house: home king Judah
3 Basi Sedekia mfalme wa Yuda alikuwa amemfunga huko akisema, “Kwa nini unatabiri hivyo? Wewe unasema, ‘Hili ndilo asemalo Bwana: Ninakaribia kuutia mji huu mkononi mwa mfalme wa Babeli, naye atauteka.
which to restrain him Zedekiah king Judah to/for to say why? you(m. s.) to prophesy to/for to say thus to say LORD look! I to give: give [obj] [the] city [the] this in/on/with hand: power king Babylon and to capture her
4 Sedekia mfalme wa Yuda hataweza kuponyoka mikononi mwa Wakaldayo, lakini kwa hakika atatiwa mikononi mwa mfalme wa Babeli, naye atazungumza naye ana kwa ana na kumwona kwa macho yake mwenyewe.
and Zedekiah king Judah not to escape from hand: power [the] Chaldea for to give: give to give: give in/on/with hand: power king Babylon and to speak: speak lip his with lip his and eye his [obj] (eye his *Q(K)*) to see: see
5 Atamchukua Sedekia hadi Babeli, mahali atakapoishi mpaka nitakapomshughulikia, asema Bwana. Kama utapigana dhidi ya Wakaldayo, hutashinda.’”
and Babylon to go: take [obj] Zedekiah and there to be till to reckon: visit I [obj] him utterance LORD for to fight with [the] Chaldea not to prosper
6 Yeremia akasema, “Neno la Bwana lilinijia kusema:
and to say Jeremiah to be word LORD to(wards) me to/for to say
7 Hanameli mwana wa Shalumu mjomba wako atakuja kwako na kusema, ‘Nunua shamba langu huko Anathothi, kwa sababu wewe kama jamaa ya karibu ni haki na wajibu wako kulinunua.’
behold Hanamel son: child Shallum beloved: male relative your to come (in): come to(wards) you to/for to say to buy to/for you [obj] land: country my which in/on/with Anathoth for to/for you justice [the] redemption to/for to buy
8 “Kisha, kama Bwana alivyosema, binamu yangu Hanameli alinijia katika ua wa walinzi na kusema: ‘Nunua shamba langu lililoko Anathothi katika nchi ya Benyamini. Kwa kuwa ni haki yako kulikomboa na kulimiliki, jinunulie.’ “Nilijua kwamba hili lilikuwa neno la Bwana.
and to come (in): come to(wards) me Hanamel son: descendant/people beloved: male relative my like/as word LORD to(wards) court [the] guardhouse and to say to(wards) me to buy please [obj] land: country my which in/on/with Anathoth which in/on/with land: country/planet Benjamin for to/for you justice [the] possession and to/for you [the] redemption to buy to/for you and to know for word LORD he/she/it
9 Hivyo nikalinunua shamba hilo lililoko Anathothi kutoka kwa binamu yangu Hanameli, nami nikampimia shekeli kumi na saba za fedha.
and to buy [obj] [the] land: country from with Hanamel son: descendant/people beloved: male relative my which in/on/with Anathoth and to weigh [emph?] to/for him [obj] [the] silver: money seven shekel and ten [the] silver: money
10 Nikatia sahihi na kuweka muhuri hati ya kumiliki, nikaweka mashahidi, na kupima ile fedha kwenye mizani.
and to write in/on/with scroll: document and to seal and to testify witness and to weigh [the] silver: money in/on/with balance
11 Nikachukua ile hati ya kununulia, nakala iliyotiwa muhuri yenye makubaliano na masharti, pia pamoja na ile nakala isiyo na muhuri,
and to take: take [obj] scroll: document [the] purchase [obj] [the] to seal [the] commandment and [the] statute: decree and [obj] [the] to reveal: uncover
12 nami nikampa Baruku mwana wa Neria, mwana wa Maaseya, hati hii mbele ya binamu yangu Hanameli, na mbele ya mashahidi waliokuwa wameweka sahihi kwenye hati hii na mbele ya Wayahudi wote waliokuwa wameketi katika ua wa walinzi.
and to give: give [obj] [the] scroll: document [the] purchase to(wards) Baruch son: child Neriah son: child Mahseiah to/for eye: before(the eyes) Hanamel beloved: male relative my and to/for eye: before(the eyes) [the] witness [the] to write in/on/with scroll: document [the] purchase to/for eye: before(the eyes) all [the] Jew [the] to dwell in/on/with court [the] guardhouse
13 “Nilimpa Baruku maelezo haya mbele yao:
and to command [obj] Baruch to/for eye: before(the eyes) their to/for to say
14 ‘Hili ndilo asemalo Bwana Mwenye Nguvu Zote, Mungu wa Israeli: Chukua hati hizi, yaani nakala zote zenye muhuri na zisizo na muhuri za hati ya kununulia, na uziweke kwenye gudulia la udongo wa mfinyanzi ili zidumu kwa muda mrefu.
thus to say LORD Hosts God Israel to take: take [obj] [the] scroll: document [the] these [obj] scroll: document [the] purchase [the] this and [obj] [the] to seal and [obj] scroll: document [the] to reveal: uncover [the] this and to give: put them in/on/with article/utensil earthenware because to stand: stand day many
15 Kwa kuwa hili ndilo asemalo Bwana Mwenye Nguvu Zote, Mungu wa Israeli: Nyumba, mashamba na mashamba ya mizabibu yatanunuliwa tena katika nchi hii.’
for thus to say LORD Hosts God Israel still to buy house: home and land: country and vineyard in/on/with land: country/planet [the] this
16 “Baada ya kumkabidhi Baruku mwana wa Neria hii hati ya kununulia, nilimwomba Bwana:
and to pray to(wards) LORD after to give: give I [obj] scroll: document [the] purchase to(wards) Baruch son: child Neriah to/for to say
17 “Ee Bwana Mwenyezi, umeumba mbingu na nchi kwa uwezo wako mkuu na kwa mkono ulionyooshwa. Hakuna jambo lililo gumu usiloliweza.
alas! Lord YHWH/God behold you(m. s.) to make [obj] [the] heaven and [obj] [the] land: country/planet in/on/with strength your [the] great: large and in/on/with arm your [the] to stretch not to wonder from you all word: thing
18 Wewe huonyesha upendo kwa maelfu, lakini huleta adhabu kwa ajili ya dhambi za baba mapajani mwa watoto wao baada yao. Ee Mungu mkuu na mwenye uweza, ambaye jina lako ni Bwana Mwenye Nguvu Zote,
to make: do kindness to/for thousand and to complete iniquity: guilt father to(wards) bosom: lap son: child their after them [the] God [the] great: large [the] mighty man LORD Hosts name his
19 makusudi yako ni makuu, na matendo yako ni yenye uwezo. Macho yako yanaona njia zote za wanadamu, nawe humlipa kila mmoja kulingana na mwenendo wake, na kama yanavyostahili matendo yake.
great: large [the] counsel and many [the] deed which eye your to open upon all way: conduct son: child man to/for to give: give to/for man: anyone like/as way: conduct his and like/as fruit deed his
20 Ulitenda ishara za miujiza na maajabu huko Misri, na umeyaendeleza mpaka leo, katika Israeli na miongoni mwa wanadamu wote, nawe umejulikana na kufahamika hivyo mpaka leo.
which to set: make sign: miraculous and wonder in/on/with land: country/planet Egypt till [the] day: today [the] this and in/on/with Israel and in/on/with man and to make to/for you name like/as day: today [the] this
21 Uliwatoa watu wako Israeli kutoka Misri kwa ishara na maajabu, kwa mkono wenye nguvu na ulionyooshwa na kwa matisho makuu.
and to come out: send [obj] people your [obj] Israel from land: country/planet Egypt in/on/with sign: miraculous and in/on/with wonder and in/on/with hand: power strong and in/on/with arm to stretch and in/on/with fear great: large
22 Uliwapa nchi hii uliyokuwa umeapa kuwapa baba zao, nchi inayotiririka maziwa na asali.
and to give: give to/for them [obj] [the] land: country/planet [the] this which to swear to/for father their to/for to give: give to/for them land: country/planet to flow: flowing milk and honey
23 Waliingia na kuimiliki, lakini hawakukutii wala kuifuata sheria yako. Hawakufanya kile ulichowaamuru kufanya. Hivyo ukaleta maafa haya yote juu yao.
and to come (in): come and to possess: take [obj] her and not to hear: obey in/on/with voice your (and in/on/with instruction your *Q(K)*) not to go: walk [obj] all which to command to/for them to/for to make: do not to make: do and to encounter: chanced [obj] them [obj] all [the] distress: harm [the] this
24 “Tazama jinsi tumezungukwa na jeshi ili kuuteka mji huu. Kwa sababu ya upanga, njaa na tauni, mji utatiwa mikononi mwa Wakaldayo ambao wanaushambulia. Ulilosema limetokea kama vile unavyoona sasa.
behold [the] mound to come (in): come [the] city to/for to capture her and [the] city to give: give in/on/with hand: power [the] Chaldea [the] to fight upon her from face: because [the] sword and [the] famine and [the] pestilence and which to speak: speak to be and look! you to see: see
25 Ingawa mji utatiwa mikononi mwa Wakaldayo, wewe, Ee Bwana Mwenyezi, uliniambia, ‘Nunua shamba kwa fedha, na jambo hilo lishuhudiwe.’”
and you(m. s.) to say to(wards) me Lord YHWH/God to buy to/for you [the] land: country in/on/with silver: money and to testify witness and [the] city to give: give in/on/with hand: power [the] Chaldea
26 Ndipo neno la Bwana likamjia Yeremia kusema:
and to be word LORD to(wards) Jeremiah to/for to say
27 “Mimi ndimi Bwana, Mungu wa wote wenye mwili. Je, kuna jambo lolote lililo gumu nisiloliweza?
behold I LORD God all flesh from me to wonder all word: thing
28 Kwa hiyo, hili ndilo asemalo Bwana: Ninakaribia kuutia mji huu mikononi mwa Wakaldayo, na mwa Nebukadneza mfalme wa Babeli ambaye atauteka.
to/for so thus to say LORD look! I to give: give [obj] [the] city [the] this in/on/with hand: power [the] Chaldea and in/on/with hand: power Nebuchadnezzar king Babylon and to capture her
29 Wakaldayo ambao wanaushambulia mji huu watakuja na kuuchoma moto na kuuteketeza, pamoja na nyumba ambamo watu wamenikasirisha kwa kumfukizia Baali uvumba katika mapaa na kumimina sadaka za vinywaji kwa miungu mingine.
and to come (in): come [the] Chaldea [the] to fight upon [the] city [the] this and to kindle [obj] [the] city [the] this in/on/with fire and to burn her and [obj] [the] house: home which to offer: burn upon roof their to/for Baal and to pour drink offering to/for God another because to provoke me
30 “Watu wa Israeli na wa Yuda hawakufanya kitu kingine ila uovu mbele zangu tangu ujana wao. Naam, watu wa Israeli hawakufanya kitu kingine ila kunikasirisha kwa kazi ambazo mikono yao imetengeneza, asema Bwana.
for to be son: child Israel and son: child Judah surely to make: do [the] bad: evil in/on/with eye: seeing my from youth their for son: child Israel surely to provoke [obj] me in/on/with deed: work hand their utterance LORD
31 Tangu siku ulipojengwa hadi sasa, mji huu umenikasirisha na kunighadhibisha kiasi kwamba ni lazima niuondoe machoni pangu.
for upon face: anger my and upon rage my to be to/for me [the] city [the] this to/for from [the] day: today which to build [obj] her and till [the] day: today [the] this to/for to turn aside: remove her from upon face my
32 Watu wa Israeli na wa Yuda wamenikasirisha kwa uovu wote waliofanya: wao, wafalme wao na maafisa wao, makuhani wao na manabii wao, watu wa Yuda na wakazi wa Yerusalemu.
upon all distress: evil son: child Israel and son: child Judah which to make: do to/for to provoke me they(masc.) king their ruler their priest their and prophet their and man: anyone Judah and to dwell Jerusalem
33 Walinigeuzia visogo vyao, wala si nyuso zao. Ingawa niliwafundisha tena na tena, hawakupenda kusikiliza wala kuitikia adhabu.
and to turn to(wards) me neck and not face and to learn: teach [obj] them to rise and to learn: teach and nothing they to hear: hear to/for to take: recieve discipline: instruction
34 Waliweka miungu yao ya kuchukiza sana katika nyumba iitwayo kwa Jina langu na kuinajisi.
and to set: make abomination their in/on/with house: temple which to call: call by name my upon him to/for to defile him
35 Wakajenga mahali pa juu pa kuabudia miungu kwa ajili ya Baali katika Bonde la Ben-Hinomu, ambapo walitoa wana wao na binti zao kafara kwa Moleki, ingawa kamwe sikuamuru, wala halikuingia akilini mwangu, kwamba watafanya chukizo kama hilo na kumfanya Yuda atende dhambi.
and to build [obj] high place [the] Baal which in/on/with valley son: child (Topheth of son of) Hinnom to/for to pass [obj] son: child their and [obj] daughter their to/for Molech which not to command them and not to ascend: rise upon heart my to/for to make: do [the] abomination [the] this because (to sin *Q(k)*) [obj] Judah
36 “Mnasema kuhusu mji huu, ‘Kwa upanga, njaa na tauni, mji utatiwa mkononi mwa mfalme wa Babeli,’ lakini hili ndilo Bwana, Mungu wa Israeli asemalo:
and now to/for so thus to say LORD God Israel to(wards) [the] city [the] this which you(m. p.) to say to give: give in/on/with hand: power king Babylon in/on/with sword and in/on/with famine and in/on/with pestilence
37 Hakika nitawakusanya kutoka nchi zote nilizowafukuzia katika hasira yangu kali na ghadhabu yangu kuu, nitawarudisha mahali hapa na kuwaruhusu waishi kwa salama.
look! I to gather them from all [the] land: country/planet which to banish them there in/on/with face: anger my and in/on/with rage my and in/on/with wrath great: large and to return: return them to(wards) [the] place [the] this and to dwell them to/for security
38 Watakuwa watu wangu, nami nitakuwa Mungu wao.
and to be to/for me to/for people and I to be to/for them to/for God
39 Nitawapa moyo mmoja na kutenda pamoja, ili kwamba waniche daima kwa mema yao wenyewe na kwa mema ya watoto wao baada yao.
and to give: give to/for them heart one and way: conduct one to/for to fear: revere [obj] me all [the] day: always to/for good to/for them and to/for son: child their after them
40 Nitafanya nao agano la milele: Kamwe sitaacha kuwatendea mema, nami nitawavuvia kunicha mimi, ili kamwe wasigeukie mbali nami.
and to cut: make(covenant) to/for them covenant forever: enduring which not to return: return from after them to/for be good me [obj] them and [obj] fear my to give: put in/on/with heart their to/for lest to turn aside: turn aside from upon me
41 Nitafurahia kuwatendea mema, na kwa hakika nitawapanda katika nchi hii kwa moyo wangu wote na roho yangu yote.
and to rejoice upon them to/for be good [obj] them and to plant them in/on/with land: country/planet [the] this in/on/with truth: faithful in/on/with all heart my and in/on/with all soul my
42 “Hili ndilo asemalo Bwana: Kama nilivyoleta maafa haya makubwa kwa watu hawa, ndivyo nitakavyowapa mafanikio niliyowaahidi.
for thus to say LORD like/as as which to come (in): bring to(wards) [the] people [the] this [obj] all [the] distress: harm [the] great: large [the] this so I to come (in): bring upon them [obj] all [the] welfare which I to speak: promise upon them
43 Kwa mara nyingine tena mashamba yatanunuliwa katika nchi hii ambayo mlisema, ‘Imekuwa ukiwa, isiyofaa, isiyo na watu wala wanyama, kwa sababu imetiwa mikononi mwa Wakaldayo.’
and to buy [the] land: country in/on/with land: country/planet [the] this which you(m. p.) to say devastation he/she/it from nothing man and animal to give: give in/on/with hand: power [the] Chaldea
44 Mashamba yatanunuliwa kwa fedha, na hati zitatiwa sahihi, zitatiwa muhuri na kushuhudiwa katika nchi ya Benyamini, katika vijiji vinavyoizunguka Yerusalemu, katika miji ya Yuda na katika miji ya nchi ya vilima, sehemu za magharibi katika miji ya tambarare na katika Negebu, kwa sababu nitarudisha tena mafanikio yao, asema Bwana.”
land: country in/on/with silver: money to buy and to write in/on/with scroll: document and to seal and to testify witness in/on/with land: country/planet Benjamin and in/on/with around Jerusalem and in/on/with city Judah and in/on/with city [the] mountain: hill country and in/on/with city [the] Shephelah and in/on/with city [the] Negeb for to return: rescue [obj] captivity their utterance LORD

< Yeremia 32 >