< Yeremia 3 >

1 “Kama mtu akimpa talaka mkewe, naye akamwacha na akaolewa na mtu mwingine, je, huyo mume aweza kumrudia tena? Je, hiyo nchi haitanajisika kabisa? Lakini umeishi kama kahaba na wapenzi wengi: je, sasa utanirudia tena?” asema Bwana.
Аще отпустит муж жену свою, и отидет от него и будет мужу иному, еда возвращающися возвратится к нему паки? Еда непорочна будет и неосквернена жена та? Ты же соблудила еси с пастырьми многими, и возвращалася еси и ко Мне, глаголет Господь.
2 “Inua macho utazame miinuko iliyo kame na uone. Je, pana mahali ambapo hawajalala nawe? Uliketi kando ya barabara ukiwasubiri wapenzi, ukakaa kama yeye ahamahamaye jangwani. Umeinajisi nchi kwa ukahaba wako na uovu wako.
Воздвигни очи твои на правоту и виждь, где не смесилася еси? На путех сидела еси аки врана особящаяся и осквернила еси землю в любодеяниих и в лукавствех твоих,
3 Kwa hiyo mvua imezuiliwa, nazo mvua za vuli hazikunyesha. Hata hivyo, una uso usio na haya kama wa kahaba; unakataa kutahayari kwa aibu.
и имела еси пастырей многих в претыкание себе: лице жены блудницы бысть тебе, не хотела еси постыдетися ко всем.
4 Je, wewe hujaniita hivi punde tu: ‘Baba yangu, rafiki yangu tangu ujana wangu,
Не аки ли домом Мене нарекла еси и Отцем и вождем девства твоего?
5 je, utakasirika siku zote? Je, ghadhabu yako itaendelea milele?’ Hivi ndivyo unavyozungumza, lakini unafanya maovu yote uwezayo.”
Еда пребудет во век, или сохранится в победу? Сия глаголала еси, и сотворила еси злая, и возмогла еси.
6 Wakati wa utawala wa Mfalme Yosia, Bwana aliniambia, “Umeona kile Israeli asiye mwaminifu amekifanya? Amepanda juu ya kila kilima kirefu, na chini ya kila mti uliotanda na amefanya uzinzi huko.
И рече Господь ко мне во дни Иосии царя: видел ли еси, яже сотвори ми дом Израилев? Поидоша на всяку гору высоку и под всяко древо листвяно и соблудиша тамо.
7 Mimi nilifikiri kuwa baada ya kuyafanya yote haya angelinirudia, lakini hakurudi, naye dada yake Yuda mdanganyifu aliona hili.
И рекох по внегда прелюбодействовати ему во всех сих: ко Мне обратися. И виде преступление его преступница Иудеа сестра его.
8 Nilimpa Israeli asiye mwaminifu hati yake ya talaka, na kumfukuza kwa ajili ya uzinzi wake wote. Hata hivyo nikaona kuwa Yuda dada yake mdanganyifu hakuogopa. Yeye pia alitoka na kufanya uzinzi.
И видех, яко о всех (изобличен есть), в нихже ят бысть, в нихже любодействова дом Израилев: сего ради отпустих и и дах ему книгу распустную в руце его. Обаче не убояся преступница Иудеа (сестра его), но иде и соблудила есть и та:
9 Kwa sababu uasherati wa Israeli haukuwa kitu kwake, Yuda aliinajisi nchi kwa kuzini na mawe na miti.
и бысть ни во что блуд ея, и оскверни землю, и соблудила есть с каменем и со древом.
10 Pamoja na hayo yote, Yuda dada yake mdanganyifu hakunirudia kwa moyo wake wote, bali kwa kujifanya tu,” asema Bwana.
И во всех сих не обратися ко Мне преступница сестра ея Иудеа от всего сердца своего, но во лжи, рече Господь.
11 Bwana akaniambia, “Israeli asiye mwaminifu ana haki kuliko Yuda mdanganyifu.
И рече Господь ко мне: оправда душу свою отступница Израиль, паче преступницы Иудеи:
12 Nenda, ukatangaze ujumbe huu kuelekea kaskazini: “‘Rudi, Israeli usiye mwaminifu,’ asema Bwana, ‘sitakutazama tena kwa uso uliokunjamana, kwa kuwa mimi ni mwenye huruma,’ asema Bwana, ‘Sitashika hasira yangu milele.
иди, и прочти словеса та к северу, и речеши: обратися ко мне, доме Израилев, рече Господь: и не утвержду лица Моего на вас, яко милостив Аз есмь, рече Господь, и не прогневаюся на вы во веки.
13 Ungama dhambi zako tu: kwamba umemwasi Bwana Mungu wako, umetapanya wema wako kwa miungu ya kigeni chini ya kila mti unaotanda, nawe hukunitii mimi,’” asema Bwana.
Обаче веждь беззаконие твое, яко в Господа Бога твоего преступила еси, и расточила еси пути твоя чуждим под всяким древом листвяным, гласа же Моего не послушала еси, рече Господь.
14 “Rudini, enyi watu msio waaminifu, kwa kuwa mimi ni mume wenu,” asema Bwana. “Nitawachagua ninyi, mmoja kutoka kwenye mji, na wawili kutoka kwenye ukoo, nami nitawaleta Sayuni.
Обратитеся, сынове отступившии, глаголет Господь: яко Аз возобладаю вами и поиму вы единаго от града и двух от племене, и введу вас в Сион
15 Kisha nitawapeni wachungaji wanipendezao moyo wangu, ambao watawaongoza kwa maarifa na ufahamu.
и дам вам пастыри по сердцу Моему, и упасут вас разумом и учением.
16 Katika siku hizo, idadi yenu itakapokuwa imeongezeka sana katika nchi, watu hawatasema tena, ‘Sanduku la Agano la Bwana,’” asema Bwana. “Halitaingia tena kwenye mawazo yao wala kukumbukwa, hawatalihitaji wala halitatengenezwa jingine.
И будет, егда умножитеся и возрастете на земли, глаголет Господь, во дни оны не рекут ктому: кивот завета Святаго Израилева: не взыдет на сердце, ни воспомянется, ниже посетится, ниже сотворится ктому.
17 Wakati huo, wataita Yerusalemu kuwa Kiti cha Enzi cha Bwana, nayo mataifa yote watakusanyika Yerusalemu kuliheshimu jina la Bwana. Hawatafuata tena ukaidi wa mioyo yao miovu.
Во дни оны нарекут Иерусалима престол Господень, и соберутся к нему вси языцы во имя Господне во Иерусалим, и не пойдут ктому вслед похотей сердца своего злейшаго.
18 Katika siku hizo, nyumba ya Yuda itaungana na nyumba ya Israeli, wao kwa pamoja watakuja kutoka nchi ya kaskazini hadi nchi niliyowapa baba zenu kama urithi.
Во днех тех приидет дом Иудин ко дому Израилеву, и пойдут вкупе от земли северныя и от всех стран к земли, юже дах в наследие отцем их.
19 “Mimi mwenyewe nilisema, “‘Tazama jinsi nitakavyowatunza kwa furaha kama wana na kuwapa nchi nzuri, urithi ulio mzuri kuliko wa taifa jingine lolote.’ Nilidhani mngeniita ‘Baba,’ na msingegeuka, mkaacha kunifuata.
Аз же рех: да будет, Господи, яко положу тя в чада и дам тебе землю избранную, достояние Бога Вседержителя языков: и рекох: отцем наречете Мя и от Мене не отвратитеся.
20 Lakini kama mwanamke asiye mwaminifu kwa mumewe, vivyo hivyo mmekosa uaminifu kwangu pia, ee nyumba ya Israeli,” asema Bwana.
Обаче якоже отвергается жена сожителя своего, тако отвержеся от Мене дом Израилев, рече Господь.
21 Kilio kinasikika juu ya miinuko iliyo kame, kulia na kuomboleza kwa watu wa Israeli, kwa sababu wamepotoka katika njia zao na wamemsahau Bwana Mungu wao.
Глас из устен слышан бысть плача и моления сынов Израилевых, яко беззаконноваша в путех своих, забыша Господа Бога святаго своего.
22 “Rudini, enyi watu msio waaminifu, nami nitawaponya ukengeufu wenu.” “Naam, tutakuja kwako, kwa maana wewe ni Bwana Mungu wetu.
Возвратитеся, сынове возвращаюшиися, и изцелю сокрушения ваша. Се, рабы мы будем Тебе, Ты бо еси Господь Бог наш.
23 Hakika zile ghasia za kuabudu sanamu kwenye vilima na milimani ni udanganyifu; hakika katika Bwana, Mungu wetu, uko wokovu wa Israeli.
Истинно лживи быша холми и множество гор, токмо Господем Богом нашим спасение Израилево.
24 Tangu ujana wetu miungu ya aibu imeyala matunda ya kazi za baba zetu: makundi yao ya kondoo na ngʼombe, wana wao na binti zao.
Студ же пояде труды отец наших, от юности нашея, овцы их и телцы их, и сыны их и дщери их.
25 Sisi na tulale chini katika aibu yetu, na fedheha yetu itufunike. Tumetenda dhambi dhidi ya Bwana Mungu wetu, sisi na mababa zetu; tangu ujana wetu hadi leo hatukumtii Bwana Mungu wetu.”
Уснухом в постыдении нашем, и покры нас безчестие наше, яко Господу Богу нашему согрешихом, мы и отцы наши, от юности нашея даже до сего дне, и не послушахом гласа Господа Бога нашего.

< Yeremia 3 >