< Yeremia 28 >

1 Katika mwezi wa tano wa mwaka ule ule, yaani mwaka wa nne, mwanzoni mwa utawala wa Sedekia mfalme wa Yuda, nabii Hanania mwana wa Azuri, ambaye alitoka Gibeoni, akaniambia katika nyumba ya Bwana mbele ya makuhani na watu wote:
Aynı yıl Yahuda Kralı Sidkiya'nın krallığının başlangıcında, dördüncü yılının beşinci ayında Givonlu Azzur oğlu Peygamber Hananya RAB'bin Tapınağı'nda kâhinlerle bütün halkın önünde bana şöyle dedi:
2 “Hili ndilo Bwana Mwenye Nguvu Zote, Mungu wa Israeli asemalo: ‘Nitaivunja nira ya mfalme wa Babeli.
“İsrail'in Tanrısı, Her Şeye Egemen RAB diyor ki, ‘Babil Kralı'nın boyunduruğunu kıracağım.
3 Katika muda wa miaka miwili nitavirudisha mahali hapa vyombo vyote vya nyumba ya Bwana ambavyo Nebukadneza mfalme wa Babeli aliviondoa kutoka hapa na kuvipeleka Babeli.
Babil Kralı Nebukadnessar'ın buradan alıp Babil'e götürdüğü RAB'bin Tapınağı'na ait bütün eşyaları iki yıl içinde buraya geri getireceğim.
4 Pia nitamrudisha mahali hapa Yekonia mwana wa Yehoyakimu mfalme wa Yuda, pamoja na wote waliohamishwa kutoka Yuda ambao walikwenda Babeli,’ asema Bwana, ‘kwa kuwa nitaivunja nira ya mfalme wa Babeli.’”
Yahuda Kralı Yehoyakim oğlu Yehoyakin'le Babil'e sürgüne giden bütün Yahudalılar'ı buraya geri getireceğim’ diyor RAB, ‘Çünkü Babil Kralı'nın boyunduruğunu kıracağım.’”
5 Ndipo nabii Yeremia akamjibu nabii Hanania mbele ya makuhani na watu wote waliokuwa wamesimama ndani ya nyumba ya Bwana.
Bunun üzerine Peygamber Yeremya, kâhinlerin ve RAB'bin Tapınağı'ndaki halkın önünde Peygamber Hananya'yı yanıtladı.
6 Akasema, “Amen! Bwana na afanye hivyo! Bwana na ayatimize maneno uliyotoa unabii kwa kuvirudisha mahali hapa kutoka Babeli vyombo vya nyumba ya Bwana pamoja na wote waliohamishwa.
Yeremya şöyle dedi: “Amin! RAB aynısını yapsın! RAB, tapınağına ait eşyalarla bütün sürgünleri Babil'den buraya geri getirerek ettiğin peygamberlik sözlerini gerçekleştirsin!
7 Hata hivyo, nisikilize nikuambie yale nitakayoyasema masikioni mwako na masikioni mwa watu hawa wote:
Yalnız şimdi sana ve halka söyleyeceğim şu sözü dinle:
8 Tangu mwanzo, manabii waliokutangulia wewe na mimi walitabiri vita, maafa na tauni dhidi ya nchi nyingi na falme kubwa.
Çok önce, benden de senden de önce yaşamış peygamberler birçok ülke ve büyük krallığın başına savaş, felaket, salgın hastalık gelecek diye peygamberlik ettiler.
9 Lakini nabii atakayetabiri amani atatambuliwa kuwa kweli ametumwa na Bwana ikiwa unabii wake utatimia.”
Ancak esenlik olacağını söyleyen peygamberin sözü yerine gelirse, onun gerçekten RAB'bin gönderdiği peygamber olduğu anlaşılır.”
10 Kisha nabii Hanania akaiondoa nira iliyokuwa shingoni mwa Yeremia na kuivunja,
Bunun üzerine Peygamber Hananya, Peygamber Yeremya'nın boynundan boyunduruğu çıkarıp kırdı.
11 naye akasema mbele ya watu wote, “Hili ndilo asemalo Bwana: ‘Vivi hivi ndivyo nitakavyoivunja nira ya Nebukadneza mfalme wa Babeli kutoka kwenye shingo za mataifa katika muda huu wa miaka miwili.’” Alipofanya hivi, nabii Yeremia akaondoka zake.
Sonra halkın önünde şöyle dedi: “RAB diyor ki, ‘Babil Kralı Nebukadnessar'ın bütün ulusların boynuna taktığı boyunduruğu iki yıl içinde işte böyle kıracağım.’” Böylece Peygamber Yeremya yoluna gitti.
12 Kitambo kidogo baada ya nabii Hanania kuivunja nira kutoka shingo ya nabii Yeremia, neno la Bwana likamjia Yeremia:
Peygamber Hananya Peygamber Yeremya'nın boynundaki boyunduruğu kırdıktan sonra RAB Yeremya'ya şöyle seslendi:
13 “Nenda ukamwambie Hanania, ‘Hili ndilo asemalo Bwana: Umevunja nira ya mti, lakini badala yake utapata nira ya chuma.
“Git, Hananya'ya de ki, ‘RAB şöyle diyor: Sen tahtadan yapılmış boyunduruğu kırdın, ama yerine demir boyunduruk yapacaksın!
14 Hili ndilo asemalo Bwana Mwenye Nguvu Zote, Mungu wa Israeli: Nitaweka nira ya chuma kwenye shingo za mataifa haya yote ili kufanya yamtumikie Nebukadneza mfalme wa Babeli, nao watamtumikia. Nitampa kutawala hata wanyama wa mwituni.’”
Çünkü İsrail'in Tanrısı, Her Şeye Egemen RAB diyor ki, Babil Kralı Nebukadnessar'a kulluk etmeleri için bütün bu ulusların boynuna demir boyunduruk geçirdim, ona kulluk edecekler. Yabanıl hayvanları da onun denetimine vereceğim.’”
15 Kisha nabii Yeremia akamwambia nabii Hanania, “Sikiliza Hanania! Bwana hajakutuma, lakini wewe umelishawishi taifa hili kuamini uongo.
Peygamber Yeremya Peygamber Hananya'ya, “Dinle, ey Hananya!” dedi, “Seni RAB göndermedi. Ama sen bu ulusu yalana inandırdın.
16 Kwa hiyo, hili ndilo asemalo Bwana: ‘Hivi karibuni nitakuondoa kutoka juu ya uso wa dunia. Mwaka huu utakufa, kwa sababu umetangaza uasi dhidi ya Bwana.’”
Bu nedenle RAB diyor ki, ‘Seni yeryüzünden silip atacağım. Bu yıl öleceksin. Çünkü halkı RAB'be karşı kışkırttın.’”
17 Katika mwezi wa saba wa mwaka ule ule, nabii Hanania akafa.
Peygamber Hananya o yılın yedinci ayında öldü.

< Yeremia 28 >