< Yeremia 26 >

1 Mwanzoni mwa utawala wa Yehoyakimu mwana wa Yosia mfalme wa Yuda, neno hili lilikuja kutoka kwa Bwana:
Na začetku kraljevanja Jojakíma, Jošíjevega sina, Judovega kralja, je prišla ta beseda od Gospoda, rekoč:
2 “Hili ndilo Bwana asemalo: Simama katika ua wa nyumba ya Bwana na useme na watu wote wa miji ya Yuda wanaokuja kuabudu katika nyumba ya Bwana. Waambie kila kitu nitakachokuamuru, usipunguze neno.
»Tako govori Gospod: ›Stoj na dvoru Gospodove hiše in govori vsem Judovim mestom, ki pridejo oboževat v Gospodovo hišo, vse besede, ki sem ti jih zapovedal, da jim jih govoriš; ne zmanjšaj niti besede.
3 Huenda watasikiliza, na kila mmoja akageuka kutoka njia yake mbaya. Kisha nitawahurumia na kuacha kuwaletea maafa niliyokuwa ninapanga kwa sababu ya maovu waliyofanya.
Če bo tako, bodo prisluhnili in se obrnili, vsak človek iz svoje zle poti, da se lahko pokesam od zla, ki sem jim ga namenil storiti zaradi zla njihovih početij.
4 Waambie, ‘Hili ndilo asemalo Bwana: Ikiwa hamtanisikiliza na kuifuata sheria yangu ambayo nimeiweka mbele yenu,
Rekel jim boš: ›Tako govori Gospod: ›Če mi ne boste prisluhnili, da se ravnate po moji postavi, ki sem jo postavil pred vas,
5 nanyi ikiwa hamtayasikiliza maneno ya watumishi wangu manabii, ambao nimewatuma kwenu tena na tena (ijapokuwa hamkuwasikiliza),
da prisluhnete besedam mojih služabnikov prerokov, ki sem jih pošiljal k vam; zgodaj sem jih vzdigoval in jih pošiljal, toda niste prisluhnili;
6 ndipo nitaifanya nyumba hii kama Shilo na mji huu kuwa kitu cha kulaaniwa na mataifa yote ya dunia.’”
potem bom to hišo naredil podobno Šilu in to mesto naredil prekletstvo vsem narodom zemlje.‹«
7 Makuhani, manabii na watu wote wakamsikia Yeremia akiyasema maneno haya ndani ya nyumba ya Bwana.
Tako so duhovniki, preroki in vse ljudstvo slišali Jeremija govoriti te besede v Gospodovi hiši.
8 Lakini mara tu Yeremia alipomaliza kuwaambia watu kila kitu Bwana alichomwamuru kukisema, basi makuhani, manabii na watu wote walimkamata wakisema, “Ni lazima ufe!
Pripetilo se je torej, ko je Jeremija končal govorjenje vsega, kar mu je Gospod zapovedal, da govori vsemu ljudstvu, da so ga duhovniki in preroki in vse ljudstvo zgrabili, rekoč: »Zagotovo boš umrl.
9 Kwa nini unatoa unabii katika jina la Bwana kwamba nyumba hii itakuwa kama Shilo na mji huu utakuwa ukiwa na kuachwa tupu?” Nao watu wote wakamkusanyikia na kumzunguka Yeremia ndani ya nyumba ya Bwana.
Zakaj si prerokoval v Gospodovem imenu, rekoč: ›Ta hiša bo podobna Šilu in to mesto bo zapuščeno, brez prebivalca?‹« In vse ljudstvo je bilo zbrano zoper Jeremija v Gospodovi hiši.
10 Maafisa wa Yuda waliposikia kuhusu mambo haya, wakapanda kutoka jumba la kifalme, wakaenda katika nyumba ya Bwana na kushika nafasi zao kwenye ingilio la Lango Jipya la nyumba ya Bwana.
Ko so Judovi princi slišali te stvari, potem so prišli gor iz kraljeve hiše h Gospodovi hiši in se usedli pri vhodu novih velikih vrat Gospodove hiše.
11 Kisha makuhani na manabii wakawaambia maafisa pamoja na watu wote, “Mtu huyu anastahili ahukumiwe kifo kwa sababu ametoa unabii mbaya dhidi ya mji huu. Mmesikia kwa masikio yenu wenyewe!”
Potem so duhovniki in preroki spregovorili princem in vsemu ljudstvu, rekoč: »Ta mož je vreden, da umre, kajti prerokoval je zoper to mesto, kakor ste slišali s svojimi ušesi.«
12 Kisha Yeremia akawaambia maafisa wote na watu wote: “Bwana amenituma kutoa unabii dhidi ya nyumba hii na mji huu mambo yote mliyoyasikia.
Potem je Jeremija spregovoril vsem princem in vsemu ljudstvu, rekoč: » Gospod me je poslal, da prerokujem zoper to hišo in zoper to mesto vse besede, ki ste jih slišali.
13 Sasa tengenezeni njia zenu na matendo yenu, na kumtii Bwana Mungu wenu. Ndipo Bwana atawahurumia na kuacha kuleta maafa aliyokuwa ameyatamka dhidi yenu.
Zato sedaj poboljšajte svoje poti in svoja dejanja in ubogajte glas Gospoda, svojega Boga, in Gospod se bo pokesal od zla, ki ga je proglasil zoper vas.
14 Lakini kwa habari yangu mimi, niko mikononi mwenu, nifanyieni lolote mnaloona kuwa ni jema na la haki.
Poglejte, kar se mene tiče, jaz sem v vaši roki. Z menoj storite kakor se vam zdi dobro in primerno.
15 Hata hivyo, jueni kwa hakika, ikiwa mtaniua, mtakuwa mmejipatia dhambi kwa damu isiyo na hatia juu yenu wenyewe, na juu ya mji huu na wote wanaoishi ndani yake, kwa maana ni kweli Bwana amenituma kwenu ili niseme maneno haya yote masikioni mwenu.”
Toda zagotovo vedite, da če me boste usmrtili, boste zagotovo privedli nedolžno kri nadse, nad to mesto in nad njegove prebivalce, kajti resnično me je k vam poslal Gospod, da v vaša ušesa govorim vse te besede.«
16 Kisha maafisa na watu wote wakawaambia makuhani na manabii, “Mtu huyu asihukumiwe kifo! Amesema nasi katika jina la Bwana, Mungu wetu.”
Potem so princi in vse ljudstvo rekli duhovnikom in prerokom: »Ta mož ni vreden, da umre, kajti govoril nam je v imenu Gospoda, našega Boga.«
17 Baadhi ya wazee wa nchi wakasogea mbele, wakaliambia kusanyiko lote la watu,
Potem so vstali nekateri izmed starešin dežele in spregovorili vsemu zboru ljudstva, rekoč:
18 “Mika Mmoreshethi alitoa unabii katika siku za Hezekia mfalme wa Yuda. Akawaambia watu wote wa Yuda, ‘Hili ndilo asemalo Bwana Mwenye Nguvu Zote: “‘Sayuni italimwa kama shamba, Yerusalemu itakuwa lundo la kokoto, na kilima cha Hekalu kitakuwa kichuguu kilichofunikwa na vichaka.’
»Mihej Moréšečan je prerokoval v dneh Ezekíja, Judovega kralja in govoril vsemu Judovemu ljudstvu, rekoč: ›Tako govori Gospod nad bojevniki: ›Sion bo preoran kakor polje in Jeruzalem bo spremenjen v razvaline in gora hiše kakor visoki kraji gozda.
19 Je, Hezekia mfalme wa Yuda au mtu mwingine yeyote katika Yuda alimhukumu Mika kufa? Je, Hezekia hakumcha Bwana na kuhitaji msaada wake? Je, Bwana hakuwahurumia na akaacha kuleta maafa aliyokuwa ametamka dhidi yao? Tunakaribia sana kujiletea maangamizo ya kutisha sisi wenyewe!”
Ali ga je Judov kralj Ezekíja in ves Juda sploh dal usmrtiti? Mar se ni bal Gospoda in rotil Gospoda in se je Gospod pokesal zla, ki ga je proglasil zoper njih? Tako bi lahko prihranili veliko zlo zoper naše duše.
20 (Wakati huu, Uria mwana wa Shemaya kutoka mji wa Kiriath-Yearimu alikuwa mtu mwingine aliyetoa unabii kwa jina la Bwana. Alitoa unabii juu ya mambo yaliyofanana na haya dhidi ya mji huu na nchi hii kama alivyofanya Yeremia.
Tam pa je bil tudi človek, ki je prerokoval v Gospodovem imenu, Urijá, sin Šemajája iz Kirját Jearíma, ki je prerokoval zoper to mesto in zoper to deželo, glede na vse Jeremijeve besede.
21 Mfalme Yehoyakimu na wakuu wake wote na maafisa waliposikia maneno yake, mfalme alitafuta kumuua. Lakini Uria alipata habari, na kwa kuogopa akakimbilia Misri.
Ko je kralj Jojakím, z vsemi svojimi mogočnimi možmi in vsemi princi, slišal njegove besede, je kralj iskal, da ga usmrti. Toda ko je Urijá to slišal, je bil prestrašen in pobegnil ter odšel v Egipt.
22 Hata hivyo, Mfalme Yehoyakimu alimtuma Elnathani mwana wa Akbori huko Misri, pamoja na watu wengine ili kwenda kumkamata Uria.
Kralj Jojakím pa je poslal može v Egipt, in sicer Ahbórjevega sina Elnatána in nekatere može z njim v Egipt.
23 Wakamrudisha Uria kutoka Misri na kumpeleka kwa Mfalme Yehoyakimu, ambaye alimuua kwa upanga, na mwili wake kutupwa kwenye eneo la makaburi ya watu wasio na cheo.)
Ti so Urijá spravili iz Egipta in ga privedli h kralju Jojakímu, ki ga je usmrtil z mečem in njegovo truplo vrgel v grobove preprostega ljudstva.
24 Zaidi ya hayo, Ahikamu mwana wa Shafani akamuunga mkono Yeremia, kwa hiyo hakutiwa tena mikononi mwa watu ili auawe.
Kljub temu je bila roka Šafánovega sina Ahikáma z Jeremijem, da ga ne bi predali v roko ljudstva, da ga usmrti.

< Yeremia 26 >