< Yeremia 26 >

1 Mwanzoni mwa utawala wa Yehoyakimu mwana wa Yosia mfalme wa Yuda, neno hili lilikuja kutoka kwa Bwana:
2 “Hili ndilo Bwana asemalo: Simama katika ua wa nyumba ya Bwana na useme na watu wote wa miji ya Yuda wanaokuja kuabudu katika nyumba ya Bwana. Waambie kila kitu nitakachokuamuru, usipunguze neno.
Pour l'Égypte contre l'armée du Pharaon Néchao, roi d'Égypte, qui était en Charcamis sur l'Euphrate, et que vainquit Nabuchodonosor, roi de Babylone, la quatrième année du règne de Joakim, roi de Juda:
3 Huenda watasikiliza, na kila mmoja akageuka kutoka njia yake mbaya. Kisha nitawahurumia na kuacha kuwaletea maafa niliyokuwa ninapanga kwa sababu ya maovu waliyofanya.
Prenez vos armures et vos boucliers, et partez pour la guerre.
4 Waambie, ‘Hili ndilo asemalo Bwana: Ikiwa hamtanisikiliza na kuifuata sheria yangu ambayo nimeiweka mbele yenu,
Harnachez les chevaux, cavaliers; montez-les; mettez vos casques; faites vibrer vos javelines et revêtez-vous de vos cuirasses.
5 nanyi ikiwa hamtayasikiliza maneno ya watumishi wangu manabii, ambao nimewatuma kwenu tena na tena (ijapokuwa hamkuwasikiliza),
Pourquoi tremblent-ils et tournent-ils le dos? Parce que leurs forts seront taillés en pièces; ils ont pris la fuite; ils ne se sont point retournés; ils sont entourés de toutes parts, dit le Seigneur.
6 ndipo nitaifanya nyumba hii kama Shilo na mji huu kuwa kitu cha kulaaniwa na mataifa yote ya dunia.’”
L'homme agile n'échappera point; le fort ne se sauvera point du côté de l'aquilon; les nations que baigne l'Euphrate ont été impuissantes, et elles sont tombées.
7 Makuhani, manabii na watu wote wakamsikia Yeremia akiyasema maneno haya ndani ya nyumba ya Bwana.
Quel est celui qui déborde comme un fleuve, et comment les fleuves roulent-ils une onde agitée?
8 Lakini mara tu Yeremia alipomaliza kuwaambia watu kila kitu Bwana alichomwamuru kukisema, basi makuhani, manabii na watu wote walimkamata wakisema, “Ni lazima ufe!
Les eaux de l'Égypte monteront comme un fleuve; elle a dit: Je monterai et je couvrirai la terre, et je ferai périr ses habitants.
9 Kwa nini unatoa unabii katika jina la Bwana kwamba nyumba hii itakuwa kama Shilo na mji huu utakuwa ukiwa na kuachwa tupu?” Nao watu wote wakamkusanyikia na kumzunguka Yeremia ndani ya nyumba ya Bwana.
Montez à cheval, guerriers de l'Éthiopie; Libyens couverts d'armures, préparez vos chars, sortez, et vous, Lydiens, partez et tendez vos arcs.
10 Maafisa wa Yuda waliposikia kuhusu mambo haya, wakapanda kutoka jumba la kifalme, wakaenda katika nyumba ya Bwana na kushika nafasi zao kwenye ingilio la Lango Jipya la nyumba ya Bwana.
Ce jour est pour le Seigneur notre Dieu un jour de vengeance; il va punir ses ennemis. Et le glaive du Seigneur dévorera, et il se rassasiera, et il s'enivrera de leur sang; car il y a un sacrifice au Seigneur, un sacrifice de la terre de l'aquilon, sur le fleuve Euphrate.
11 Kisha makuhani na manabii wakawaambia maafisa pamoja na watu wote, “Mtu huyu anastahili ahukumiwe kifo kwa sababu ametoa unabii mbaya dhidi ya mji huu. Mmesikia kwa masikio yenu wenyewe!”
Va, Galaad, prends du baume pour la vierge, fille de l'Égypte; ô Égypte, tu as vainement multiplié tes remèdes; il n'est rien en toi qui puisse te guérir!
12 Kisha Yeremia akawaambia maafisa wote na watu wote: “Bwana amenituma kutoa unabii dhidi ya nyumba hii na mji huu mambo yote mliyoyasikia.
Les nations ont entendu ta voix; et la terre a été remplie de ta clameur, parce que combattants contre combattants ont été blessés, et au même instant ils sont tombés tous les deux.
13 Sasa tengenezeni njia zenu na matendo yenu, na kumtii Bwana Mungu wenu. Ndipo Bwana atawahurumia na kuacha kuleta maafa aliyokuwa ameyatamka dhidi yenu.
Prophéties que le Seigneur a dites par la voix de Jérémie, concernant la venue du roi de Babylone, pour frapper la terre d'Égypte.
14 Lakini kwa habari yangu mimi, niko mikononi mwenu, nifanyieni lolote mnaloona kuwa ni jema na la haki.
Proclamez-le à Magdolon, annoncez-le à Memphis, dites: Lève-toi et te prépare; car le glaive a dévoré tes ifs.
15 Hata hivyo, jueni kwa hakika, ikiwa mtaniua, mtakuwa mmejipatia dhambi kwa damu isiyo na hatia juu yenu wenyewe, na juu ya mji huu na wote wanaoishi ndani yake, kwa maana ni kweli Bwana amenituma kwenu ili niseme maneno haya yote masikioni mwenu.”
Pourquoi donc ton Apis s'est-il enfui, ce bœuf que tu avais choisi? Il n'est point demeuré en place, parce que le Seigneur l'a délié.
16 Kisha maafisa na watu wote wakawaambia makuhani na manabii, “Mtu huyu asihukumiwe kifo! Amesema nasi katika jina la Bwana, Mungu wetu.”
Et la multitude a perdu sa force, et elle est tombée; et ils se sont dit entre eux: Levons-nous et retournons à notre peuple; fuyons loin du glaive hellénique.
17 Baadhi ya wazee wa nchi wakasogea mbele, wakaliambia kusanyiko lote la watu,
Donnez au Pharaon Néchao, roi d'Égypte, le nom de Saon Esbéié Moed.
18 “Mika Mmoreshethi alitoa unabii katika siku za Hezekia mfalme wa Yuda. Akawaambia watu wote wa Yuda, ‘Hili ndilo asemalo Bwana Mwenye Nguvu Zote: “‘Sayuni italimwa kama shamba, Yerusalemu itakuwa lundo la kokoto, na kilima cha Hekalu kitakuwa kichuguu kilichofunikwa na vichaka.’
Par ma vie, dit le Seigneur Dieu, il viendra, aussi vrai que le Thabor est une montagne, et que le Carmel est auprès de la mer.
19 Je, Hezekia mfalme wa Yuda au mtu mwingine yeyote katika Yuda alimhukumu Mika kufa? Je, Hezekia hakumcha Bwana na kuhitaji msaada wake? Je, Bwana hakuwahurumia na akaacha kuleta maafa aliyokuwa ametamka dhidi yao? Tunakaribia sana kujiletea maangamizo ya kutisha sisi wenyewe!”
Prépare pour toi l'appareil de l'esclavage, fille de l'Égypte; car Memphis sera désolée, et je l'appellerai Malheur, parce qu'il n'y restera plus d'habitants.
20 (Wakati huu, Uria mwana wa Shemaya kutoka mji wa Kiriath-Yearimu alikuwa mtu mwingine aliyetoa unabii kwa jina la Bwana. Alitoa unabii juu ya mambo yaliyofanana na haya dhidi ya mji huu na nchi hii kama alivyofanya Yeremia.
L'Égypte est une belle génisse; l'esclavage lui vient de l'aquilon.
21 Mfalme Yehoyakimu na wakuu wake wote na maafisa waliposikia maneno yake, mfalme alitafuta kumuua. Lakini Uria alipata habari, na kwa kuogopa akakimbilia Misri.
Pourquoi ses mercenaires, nourris chez elle comme les bœufs à l'engrais, ont-ils tourné le dos et se sont-ils enfuis tous ensemble? Ils n'ont point résisté, parce que le jour de la destruction est venu pour eux, et le temps de la vengeance.
22 Hata hivyo, Mfalme Yehoyakimu alimtuma Elnathani mwana wa Akbori huko Misri, pamoja na watu wengine ili kwenda kumkamata Uria.
Leur voix ressemble au sifflement du dragon; ils s'avancent sur le sable, et ils viendront en portant des haches,
23 Wakamrudisha Uria kutoka Misri na kumpeleka kwa Mfalme Yehoyakimu, ambaye alimuua kwa upanga, na mwili wake kutupwa kwenye eneo la makaburi ya watu wasio na cheo.)
Comme des bûcherons; ils abattront sa forêt, dit le Seigneur; car on ne peut les compter, ils sont plus nombreux qu'une nuée de sauterelles, et leur multitude est innombrable.
24 Zaidi ya hayo, Ahikamu mwana wa Shafani akamuunga mkono Yeremia, kwa hiyo hakutiwa tena mikononi mwa watu ili auawe.
La fille de l'Égypte a été confondue; elle a été livrée aux mains d'un peuple de l'aquilon.
Et moi, voilà que je vais punir Ammon, son fils, en frappant le Pharaon, et tous ceux qui mettent en lui leur confiance.
Pour toi, ne crains rien, Jacob, mon serviteur; ne tremble pas, Israël; car me voici, moi qui te sauve de loin et qui ramènerai ta race de sa captivité. Et Jacob reviendra, et il sera en repos, et il dormira, et nul ne le troublera.
N'aie point peur, Jacob mon serviteur, dit le Seigneur, car je suis avec toi; celle qui ne craignait rien et qui vivait dans la mollesse a été livrée, parce que je perdrai toute nation chez qui je t'ai banni. Mais toi, je ne te ferai point périr; seulement je te châtierai selon la justice, et coupable, je ne te laisserai pas impuni.

< Yeremia 26 >