< Yeremia 25 >

1 Neno likamjia Yeremia kuhusu watu wote wa Yuda, katika mwaka wa nne wa utawala wa Yehoyakimu mwana wa Yosia mfalme wa Yuda, ambao ulikuwa mwaka wa kwanza wa utawala wa Nebukadneza mfalme wa Babeli.
[the] word which to be upon Jeremiah upon all people Judah in/on/with year [the] fourth to/for Jehoiakim son: child Josiah king Judah he/she/it [the] year [the] first to/for Nebuchadnezzar king Babylon
2 Hivyo nabii Yeremia akawaambia watu wote wa Yuda na wale wote waishio Yerusalemu:
which to speak: speak Jeremiah [the] prophet upon all people Judah and to(wards) all to dwell Jerusalem to/for to say
3 Kwa miaka ishirini na mitatu, kuanzia mwaka wa kumi na tatu wa utawala wa Yosia mwana wa Amoni mfalme wa Yuda, hadi siku hii ya leo, neno la Bwana limekuwa likinijia, nami nimesema nanyi mara kwa mara, lakini hamkusikiliza.
from three ten year to/for Josiah son: child Amon king Judah and till [the] day: today [the] this this three and twenty year to be word LORD to(wards) me and to speak: speak to(wards) you to rise and to speak: speak and not to hear: hear
4 Ingawa Bwana amewatuma watumishi wake wote hao manabii kwenu mara kwa mara, hamkusikiliza wala hamkujali.
and to send: depart LORD to(wards) you [obj] all servant/slave his [the] prophet to rise and to send: depart and not to hear: hear and not to stretch [obj] ear your to/for to hear: hear
5 Walisema, “Geukeni sasa, kila mmoja wenu kutoka njia yake mbaya na matendo yake maovu, ndipo mtaweza kukaa katika nchi ambayo Bwana aliwapa ninyi na baba zenu milele.
to/for to say to return: repent please man: anyone from way: conduct his [the] bad: evil and from evil deed your and to dwell upon [the] land: soil which to give: give LORD to/for you and to/for father your to/for from forever: antiquity and till forever: enduring
6 Msiifuate miungu mingine ili kuitumikia na kuiabudu. Msinikasirishe kwa vitu ambavyo mmevitengeneza kwa mikono yenu.”
and not to go: went after God another to/for to serve: minister them and to/for to bow to/for them and not to provoke [obj] me in/on/with deed: work hand your and not be evil to/for you
7 “Lakini ninyi hamkunisikiliza mimi, tena mkanikasirisha kwa vitu mlivyovitengeneza kwa mikono yenu, nanyi mmejiletea madhara juu yenu wenyewe,” asema Bwana.
and not to hear: hear to(wards) me utterance LORD because (to provoke me *Q(K)*) in/on/with deed: work hand your to/for bad: evil to/for you
8 Kwa hiyo Bwana Mwenye Nguvu Zote asema hivi: “Kwa sababu hamkuyasikiliza maneno yangu,
to/for so thus to say LORD Hosts because which not to hear: obey [obj] word my
9 nitayaita mataifa yote ya kaskazini na mtumishi wangu Nebukadneza mfalme wa Babeli,” asema Bwana. “Nitawaleta waishambulie nchi hii na wakazi wake wote, na dhidi ya mataifa yote yanayowazunguka. Nitawaangamiza kabisa na kuwafanya kitu cha kuchukiwa na kudharauliwa, na kuwa magofu daima.
look! I to send: depart and to take: bring [obj] all family north utterance LORD and to(wards) Nebuchadnezzar king Babylon servant/slave my and to come (in): bring them upon [the] land: country/planet [the] this and upon to dwell her and upon all [the] nation [the] these around and to devote/destroy them and to set: make them to/for horror: appalled and to/for hissing and to/for desolation forever: enduring
10 Nitawaondolea sauti ya shangwe na furaha, sauti ya bibi na bwana arusi, sauti ya mawe ya kusagia, na mwanga wa taa.
and to perish from them voice rejoicing and voice joy voice son-in-law and voice daughter-in-law: bride voice: sound millstone and light lamp
11 Nchi hii yote itakuwa ukiwa na isiyofaa kitu, nayo mataifa haya yatamtumikia mfalme wa Babeli kwa miaka sabini.”
and to be all [the] land: country/planet [the] this to/for desolation to/for horror: destroyed and to serve [the] nation [the] these [obj] king Babylon seventy year
12 “Lakini miaka sabini itakapotimia, nitamwadhibu mfalme wa Babeli na taifa lake na nchi ya Wakaldayo kwa ajili ya hatia yao,” asema Bwana. “Nitaifanya kuwa ukiwa milele.
and to be like/as to fill seventy year to reckon: punish upon king Babylon and upon [the] nation [the] he/she/it utterance LORD [obj] iniquity: crime their and upon land: country/planet Chaldea and to set: make [obj] him to/for devastation forever: enduring
13 Nitaleta juu ya nchi hiyo mambo yote niliyosema dhidi yake, yote yaliyoandikwa katika kitabu hiki, na kutolewa unabii na Yeremia dhidi ya mataifa yote.
(and to come (in): bring *Q(k)*) upon [the] land: country/planet [the] he/she/it [obj] all word my which to speak: speak upon her [obj] all [the] to write in/on/with scroll: book [the] this which to prophesy Jeremiah upon all [the] nation
14 Wao wenyewe watakuwa watumwa wa mataifa mengi na wafalme wakuu. Nitawalipizia sawasawa na matendo yao na kazi ya mikono yao.”
for to serve in/on/with them also they(masc.) nation many and king great: large and to complete to/for them like/as work their and like/as deed: work hand their
15 Hili ndilo Bwana, Mungu wa Israeli, aliloniambia: “Chukua kutoka mkononi mwangu kikombe hiki kilichojaa divai ya ghadhabu yangu, na kuyanywesha mataifa yote ambayo ninakutuma kwao.
for thus to say LORD God Israel to(wards) me to take: take [obj] cup [the] wine [the] rage [the] this from hand my and to water: drink [obj] him [obj] all [the] nation which I to send: depart [obj] you to(wards) them
16 Watakapoinywa, watapepesuka na kukasirika sana kwa sababu ya upanga nitakaoupeleka katikati yao.”
and to drink and to shake and to be foolish from face: because [the] sword which I to send: depart between: among them
17 Hivyo nikakichukua kikombe kutoka mkononi mwa Bwana, na kuyafanya mataifa yote aliyonituma kwao kukinywa:
and to take: take [obj] [the] cup from hand LORD and to water: drink [obj] all [the] nation which to send: depart me LORD to(wards) them
18 Yaani Yerusalemu na miji ya Yuda, wafalme wake na maafisa wake, kuwafanya magofu na kuwa kitu cha kuchukiza, cha dhihaka na laana, kama walivyo leo;
[obj] Jerusalem and [obj] city Judah and [obj] king her [obj] ruler her to/for to give: make [obj] them to/for desolation to/for horror: destroyed to/for hissing and to/for curse like/as day: today [the] this
19 pia Farao mfalme wa Misri, watumishi wake, maafisa wake na watu wake wote,
[obj] Pharaoh king Egypt and [obj] servant/slave his and [obj] ruler his and [obj] all people his
20 pia wageni wote walioko huko; wafalme wote wa nchi ya Usi; wafalme wote wa Wafilisti (wale wa Ashkeloni, Gaza, Ekroni na watu walioachwa huko Ashdodi);
and [obj] all [the] racial-mix and [obj] all king land: country/planet [the] Uz and [obj] all king land: country/planet Philistine and [obj] Ashkelon and [obj] Gaza and [obj] Ekron and [obj] remnant Ashdod
21 Edomu, Moabu na Amoni;
[obj] Edom and [obj] Moab and [obj] son: descendant/people Ammon
22 wafalme wote wa Tiro na Sidoni; wafalme wa nchi za pwani ngʼambo ya bahari;
and [obj] all king Tyre and [obj] all king Sidon and [obj] king [the] coastland which in/on/with side: beyond [the] sea
23 Dedani, Tema, Buzi na wote walio maeneo ya mbali;
and [obj] Dedan and [obj] Tema and [obj] Buz and [obj] all to cut side
24 wafalme wote wa Arabuni na wafalme wote wa watu wageni wanaoishi katika jangwa;
and [obj] all king Arabia and [obj] all king [the] Arabia [the] to dwell in/on/with wilderness
25 wafalme wote wa Zimri, Elamu na Umedi;
and [obj] all king Zimri and [obj] all king Elam and [obj] all king Media
26 na wafalme wote wa pande za kaskazini, wa karibu na wa mbali, mmoja baada ya mwingine; yaani falme zote juu ya uso wa dunia. Baada ya hao wote, mfalme wa Sheshaki atakunywa pia.
and [obj] all king [the] north [the] near and [the] distant man: anyone to(wards) brother: compatriot his and [obj] all [the] kingdom [the] land: country/planet which upon face: surface [the] land: planet and king Babylon to drink after them
27 “Kisha uwaambie, ‘Hili ndilo Bwana Mwenye Nguvu Zote, Mungu wa Israeli, asemalo: Kunyweni, mlewe na mtapike; angukeni, wala msiinuke tena kwa sababu ya upanga nitakaotuma miongoni mwenu.’
and to say to(wards) them thus to say LORD Hosts God Israel to drink and be drunk and to vomit and to fall: fall and not to arise: rise from face: because [the] sword which I to send: depart between: among you
28 Lakini kama wakikataa kupokea kikombe kutoka mikononi mwako na kunywa, waambie, ‘Hili ndilo asemalo Bwana Mwenye Nguvu Zote: Ni lazima mnywe!
and to be for to refuse to/for to take: recieve [the] cup from hand your to/for to drink and to say to(wards) them thus to say LORD Hosts to drink to drink
29 Tazama, nimeanza kuleta maafa juu ya mji ulio na Jina langu, na je, kweli ninyi mtaepuka kuadhibiwa? Hamwezi kuepuka kuadhibiwa, kwa maana nitaleta vita juu ya wote waishio duniani, asema Bwana Mwenye Nguvu Zote.’
for behold in/on/with city which to call: call to name my upon her I to profane/begin: begin to/for be evil and you(m. p.) to clear to clear not to clear for sword I to call: call to upon all to dwell [the] land: country/planet utterance LORD Hosts
30 “Basi sasa toa unabii kwa maneno haya yote dhidi yao, uwaambie: “‘Bwana atanguruma kutoka juu; atatoa sauti ya ngurumo kutoka makao yake matakatifu na kunguruma kwa nguvu sana dhidi ya nchi yake. Atapiga kelele kama wao wakanyagao zabibu, atapiga kelele dhidi ya wote waishio duniani.
and you(m. s.) to prophesy to(wards) them [obj] all [the] word [the] these and to say to(wards) them LORD from height to roar and from habitation holiness his to give: cry out voice his to roar to roar upon pasture his shout like/as to tread to sing to(wards) all to dwell [the] land: country/planet
31 Ghasia zitasikika hadi miisho ya dunia, kwa maana Bwana ataleta mashtaka dhidi ya mataifa; ataleta hukumu juu ya wanadamu wote na kuwaua waovu wote,’” asema Bwana.
to come (in): come roar till end [the] land: country/planet for strife to/for LORD in/on/with nation to judge he/she/it to/for all flesh [the] wicked to give: put them to/for sword utterance LORD
32 Hili ndilo Bwana Mwenye Nguvu Zote asemalo: “Tazama! Maafa yanaenea kutoka taifa moja hadi jingine; tufani kubwa inainuka kutoka miisho ya dunia.”
thus to say LORD Hosts behold distress: harm to come out: come from nation to(wards) nation and tempest great: large to rouse from flank land: country/planet
33 Wakati huo, hao waliouawa na Bwana watatapakaa kila mahali, kuanzia mwisho mmoja wa dunia hadi mwisho mwingine. Hawataombolezewa wala kukusanywa au kuzikwa, lakini watakuwa kama mavi yaliyoenea juu ya ardhi.
and to be slain: killed LORD in/on/with day [the] he/she/it from end [the] land: country/planet and till end [the] land: country/planet not to mourn and not to gather and not to bury to/for dung upon face: surface [the] land: soil to be
34 Lieni na kuomboleza, enyi wachungaji, mgaagae mavumbini, ninyi viongozi wa kundi. Kwa maana wakati wenu wa kuchinjwa umewadia; mtaanguka na kuvunjavunjwa kama vyombo vizuri vya udongo.
to wail [the] to pasture and to cry out and to wallow great [the] flock for to fill day your to/for to slaughter and dispersion your and to fall: fall like/as article/utensil desire
35 Wachungaji hawatakuwa na mahali pa kukimbilia, viongozi wa kundi hawatapata mahali pa kutorokea.
and to perish refuge from [the] to pasture and survivor from great [the] flock
36 Sikia kilio cha wachungaji, maombolezo ya viongozi wa kundi, kwa maana Bwana anayaharibu malisho yao.
voice cry [the] to pasture and wailing great [the] flock for to ruin LORD [obj] pasturing their
37 Makao yao ya amani yataharibiwa kwa sababu ya hasira kali ya Bwana.
and to silence: destroyed habitation [the] peace from face: because burning anger face: anger LORD
38 Kama simba ataacha pango lake, nchi yao itakuwa ukiwa kwa sababu ya upanga wa mdhalimu, na kwa sababu ya hasira kali ya Bwana Mungu.
to leave: forsake like/as lion lair his for to be land: country/planet their to/for horror: destroyed from face: because burning anger [the] to oppress and from face: because burning anger face: anger his

< Yeremia 25 >