< Yeremia 24 >

1 Baada ya Yekonia mwana wa Yehoyakimu mfalme wa Yuda, pamoja na maafisa, mafundi stadi na wahunzi wa Yuda, kuchukuliwa kutoka Yerusalemu kwenda Babeli na Nebukadneza mfalme wa Babeli kwenda uhamishoni huko Babeli, Bwana akanionyesha vikapu viwili vya tini vilivyowekwa mbele ya Hekalu la Bwana.
LEUM GOD El akkalemye nu sik fotoh in fig luo ma filiyuki mutun Tempul. (Ma se inge sikyak tukun Tokosra Nebuchadnezzar lun Babylonia el usalla Tokosra Jehoiachin lun Judah, wen natul Jehoiakim, tuh elan sie mwet sruoh liki acn Jerusalem nu Babylonia, wi mwet kol lun Judah, mwet tufahl, ac mwet usrnguk ke orekma.)
2 Kikapu kimoja kilikuwa na tini nzuri sana, kama zile za mavuno ya kwanza. Kikapu cha pili kilikuwa na tini dhaifu sana, mbovu mno zisizofaa kuliwa.
Fotoh se meet ah fig wowo oan loac, ma sa in mwesrla. Fotoh se ngia fig na koluk oan loac, tiana ku in mongo.
3 Kisha Bwana akaniuliza, “Je, Yeremia, unaona nini?” Nikamjibu, “Ninaona tini zile zilizo nzuri ni nzuri sana, lakini zilizo dhaifu ni mbovu mno zisizofaa kuliwa.”
Na LEUM GOD El fahk nu sik, “Jeremiah, mea kom liye an?” Nga topuk, “Fig — ma wo kac ah arulana wo, a ma koluk kac ah arulana koluk, tia ku in mongo.”
4 Kisha neno la Bwana likanijia:
Ouinge LEUM GOD El fahk nu sik,
5 “Hili ndilo Bwana, Mungu wa Israeli, asemalo: ‘Kama zilivyo hizi tini nzuri, ndivyo ninavyowaona kuwa bora watu wa uhamisho kutoka Yuda, niliowaondoa kutoka mahali hapa kwenda katika nchi ya Wakaldayo.
“Nga, LEUM GOD lun Israel, nunku tuh mwet ma utukla nu Babylonia elos oana fig wo inge, ac nga fah kulang nu selos.
6 Macho yangu yatakuwa juu yao kwa ajili ya kuwapatia mema, nami nitawarudisha tena katika nchi hii. Nitawajenga wala sitawabomoa, nitawapanda wala sitawangʼoa,
Nga fah liyalosyang ac folokunulosme nu in facl se inge. Nga ac fah musaelosyak ac tia kunauselosla. Nga fah yokwalosi ac tia fusulosyak.
7 nitawapa moyo wa kunifahamu mimi, kwamba mimi ndimi Bwana. Watakuwa watu wangu, nami nitakuwa Mungu wao, kwa maana watanirudia kwa moyo wao wote.
Nga fah oru tuh insialos in kena eteyu lah nga pa LEUM GOD. Na elos ac fah mwet luk, ac nga ac fah God lalos, mweyen elos ac foloko nu yuruk ke inse pwaye.
8 “‘Lakini kama zilivyo zile tini dhaifu, ambazo ni mbovu mno zisizofaa kuliwa,’ asema Bwana, ‘ndivyo nitakavyomtendea Sedekia mfalme wa Yuda, maafisa wake na mabaki wengine kutoka Yerusalemu, wawe wamebaki katika nchi hii, au wanaishi Misri.
“Ac funu kacl Tokosra Zedekiah lun Judah, wi mwet fulat ma raunella, ac mwet saya Jerusalem su muta in facl se inge ku elos su mukuila nu Egypt — nga, LEUM GOD, fah lumahlos oana fig koluk inge ma arulana koluk in mongo.
9 Nitawafanya kuwa chukizo kabisa na kitu cha kulaumiwa katika mataifa yote ya dunia, watakuwa aibu na kitu cha kudharauliwa, chombo cha dhihaka na kulaaniwa, popote nitakapowafukuzia.
Nga fah oru sie kain kunausten nu faclos ma mutunfacl nukewa faclu fah arulana sangeng kac. Yen nukewa nga luseloselik nu we, mwet uh ac fah isrunulos, orek tafukas kaclos, angnolos, ac orekmakin inelos in mwe selnga lalos.
10 Nitautuma upanga, njaa na tauni dhidi yao hadi wawe wameangamia kutoka nchi niliyowapa wao na baba zao.’”
Nga fah use mweun, sracl, ac mas lulap nu faclos nwe ke na wanginla mwet in facl se su nga sang nu selos ac mwet matu lalos.”

< Yeremia 24 >