< Yeremia 24 >

1 Baada ya Yekonia mwana wa Yehoyakimu mfalme wa Yuda, pamoja na maafisa, mafundi stadi na wahunzi wa Yuda, kuchukuliwa kutoka Yerusalemu kwenda Babeli na Nebukadneza mfalme wa Babeli kwenda uhamishoni huko Babeli, Bwana akanionyesha vikapu viwili vya tini vilivyowekwa mbele ya Hekalu la Bwana.
Babylon lengpa Nebuchadnezzar in, Judahte lengpa Jehoiakim chapa Jehoiachin, Judah leng chapate ho, khutthem bolho leh thingthem bolho jouse, Babylon gam’a soh’a akaimang nung un, Pakaiyin hiche gao-thilmu hi, keima eimusah e. Hichu, Jerusalem houin maiya, theichangga pochani dimset akitung’e.
2 Kikapu kimoja kilikuwa na tini nzuri sana, kama zile za mavuno ya kwanza. Kikapu cha pili kilikuwa na tini dhaifu sana, mbovu mno zisizofaa kuliwa.
Pocha khat’a chun, theichangga apha leh amin hoisel adimset in, chuleh pocha khat’a chun, theichangga phalou leh nehthei lou amonsa dimset in aum e.
3 Kisha Bwana akaniuliza, “Je, Yeremia, unaona nini?” Nikamjibu, “Ninaona tini zile zilizo nzuri ni nzuri sana, lakini zilizo dhaifu ni mbovu mno zisizofaa kuliwa.”
Chuin Pakaiyin kajah’a, “Jeremiah, ipi namum?’’ ati. Keiman kadonbut in,’’Theichangga pochani dim kamui. Aga pha hochu ahoilheh in; Aga phalou ho chu nehtheilou amon ngen ahiuve,’’ kati.
4 Kisha neno la Bwana likanijia:
Chujouvin, Pakai thusei hichehi, kaheng ahung lhung e.
5 “Hili ndilo Bwana, Mungu wa Israeli, asemalo: ‘Kama zilivyo hizi tini nzuri, ndivyo ninavyowaona kuwa bora watu wa uhamisho kutoka Yuda, niliowaondoa kutoka mahali hapa kwenda katika nchi ya Wakaldayo.
Pakai, Israel Pathen in hitin aseiye, “Judah gamsunga kon’a Babylon gam’a sohchanga kikaimang ho chu, theichangga apha leh ahoisel ho banga kagel ahi.
6 Macho yangu yatakuwa juu yao kwa ajili ya kuwapatia mema, nami nitawarudisha tena katika nchi hii. Nitawajenga wala sitawabomoa, nitawapanda wala sitawangʼoa,
Keiman amaho kavetlhih jinga kachin jing ding, chuleh amaho chu hiche gamsunga kahin lepuilut kitding ahiuve.
7 nitawapa moyo wa kunifahamu mimi, kwamba mimi ndimi Bwana. Watakuwa watu wangu, nami nitakuwa Mungu wao, kwa maana watanirudia kwa moyo wao wote.
Keiman amaho hi, keima Pakai kahi ti eihetjing nadiu lungchang kapeh diu ahiuve. Chuleh amaho kamite hiuva, keima a Pathen u kahiding; Chutahle amaho alungthim pumpiuva kaheng’a hung kile kitdiu ahiuve.
8 “‘Lakini kama zilivyo zile tini dhaifu, ambazo ni mbovu mno zisizofaa kuliwa,’ asema Bwana, ‘ndivyo nitakavyomtendea Sedekia mfalme wa Yuda, maafisa wake na mabaki wengine kutoka Yerusalemu, wawe wamebaki katika nchi hii, au wanaishi Misri.
Chuleh theichangga phalou chu, Judah lengpa Zedekiah leh achapate, Jerusalem’a umden ho leh Egypt gamsunga cheng den ho, kabolna ding vetsahna ahi. Keiman amaho chu theichangga phalou, nehtheilou amonsa banga kalah ahiuve.
9 Nitawafanya kuwa chukizo kabisa na kitu cha kulaumiwa katika mataifa yote ya dunia, watakuwa aibu na kitu cha kudharauliwa, chombo cha dhihaka na kulaaniwa, popote nitakapowafukuzia.
Amaho hi keiman namtin vaipi mudinga, thet umtah leh melse tah’a kabol ding; Chuleh amaho hi, keiman muntin’a kadel manga, kathethang ding ahiuve. Chutia chu miho seiset leh nuisat a umding ahiuve.
10 Nitautuma upanga, njaa na tauni dhidi yao hadi wawe wameangamia kutoka nchi niliyowapa wao na baba zao.’”
Keiman amaho leh apu apateu kana pehsa gamsunga kon amanthah kahseuva chemjam kalha den diu, kel lha ding chule thina hise jong kalha khum diu ahi,” ati.

< Yeremia 24 >