< Yeremia 23 >

1 “Ole wao wachungaji wanaoharibu na kutawanya kondoo wa malisho yangu!” asema Bwana.
Hina Gode da ouligisu dunu amo da Ea fi dunu wadela: lesisa amola afagogobe, ilima ougi bagadedafa fofada: mu.
2 Kwa hiyo hili ndilo Bwana, Mungu wa Israeli, analowaambia wachungaji wanaowachunga watu wangu: “Kwa sababu mmelitawanya kundi langu na kuwafukuzia mbali, wala hamkuwatunza, basi mimi nitawaadhibu kwa ajili ya uovu mliofanya,” asema Bwana.
Amo ouligisu dunu da Gode Ea fi dunu noga: le ouligimu da defea galu. Be Hina Gode, Isala: ili ilia Gode, da ilima amane sia: sa, “Dilia da Na fi dunu noga: le hame ouligi. Dilia da amo dunu afagogole, sefasi dagoi. Amaiba: le, dilia da amo wadela: i hou hamobeba: le, Na da dilima se imunu.
3 “Mimi mwenyewe nitayakusanya mabaki ya kundi langu kutoka nchi zote ambazo nimewafukuzia, nami nitawarudisha katika malisho yao, mahali ambapo watazaa na kuongezeka idadi yao.
Na da Na fi dunu eno fifi asi gala ganodini esaloma: ne afagogoi. Be Na da amo fi dunu hame bogoi esalebe, amo bu gilisili, ilia sogedafa amoga bu oule misunu. Ilia mano bagohame da lalelegemu, amola ilia idi da bagade heda: mu.
4 Nitaweka wachungaji juu yao ambao watawachunga, nao hawataogopa tena au kutishwa, wala hatapotea hata mmoja,” asema Bwana.
Na da ouligisu dunu ili noga: le ouligima: ne, amo ilegemu. Na fi dunu da beda: su bu hame ba: mu, amola Na da ilima se iasu eno hamedafa imunu. Na, Hina Gode, da sia: i dagoi.”
5 Bwana asema, “Siku zinakuja, nitakapomwinulia Daudi Tawi lenye haki, Mfalme atakayetawala kwa hekima, na kutenda lililo haki na sawa katika nchi.
Hina Gode da amane sia: sa, “Eso da misunu amoga Na da Hina Bagade hamoma: ne, Da: ibidi ea moloidafa egaga fi ifa Amoda agoane, Dunu afae amo ilegemu. Amo Hina Bagade da dawa: digili, soge huluane ganodini moloidafawane ouligimu.
6 Katika siku zake, Yuda ataokolewa na Israeli ataishi salama. Hili ndilo jina atakaloitwa: Bwana Haki Yetu.
E da Hina Bagade hamoi dagoiba: le, Yuda dunu da olofoiwane gaga: i dagoi ba: mu. Ilia da Ema dio asulimu, amo ‘Hina Gode, ninia Moloidafa Gaga: su.’”
7 “Hivyo basi, siku zinakuja, wakati ambapo watu hawatasema tena, ‘Hakika kama Bwana aishivyo, aliyewapandisha Waisraeli kutoka Misri,’
Hina Gode da amane sia: sa, “Eso da misunu amoga ilia da Na, Fifi Ahoanusu Gode amo da ili Idibidi sogega fisili masa: ne gadili oule misi, amoga Na Dioba: le ilia sia: dafawane hame ilegemu.
8 bali watasema, ‘Hakika kama Bwana aishivyo, aliyewatoa wazao wa Israeli kutoka nchi ya kaskazini na nchi zote alizokuwa amewafukuzia,’ asema Bwana. Ndipo wataishi katika nchi yao wenyewe.”
Be amo bu mae dawa: le, ilia da Na da Fifi Ahoanusu Gode amo da gagoe (north) soge amola soge eno amoga Na da musa: ili afagogoi, amoga Na da ilia sogedafa amoga bu oule misi, amo dawa: le ilia da Na Dioba: le sia: dafawane ilegemu. Amasea, ilia da ilia sogedafa amo ganodini esalumu.”
9 Kuhusu manabii: Moyo wangu umevunjika ndani yangu; mifupa yangu yote inatetemeka. Nimekuwa kama mtu aliyelewa, kama mtu aliyelemewa na divai, kwa sababu ya Bwana na maneno yake matakatifu.
Na dogo da goudai dagoi, amola na da bagadewane yagugusa. Bai Hina Gode da Ea hadigi sia: sia: i dagoi. Na da dunu amo da waini hano bagade maiba: le feloasu, agoaiwane ba: sa.
10 Nchi imejaa wazinzi; kwa sababu ya laana, nchi imekauka na malisho yaliyoko nyikani yamekauka. Mwenendo wa manabii ni mbaya na mamlaka yao si ya haki.
Dunu huluane amo soge ganodini esala da Hina Gode yolesi dagoi. Ilia da wadela: i hou hamonana, amola gasa fili wadela: le hamosa. Hina Gode da soge amoga gagabui aligima: ne ilegeiba: le, soge da dinana agoane gala, amola bulamagau amola sibi ilia soge da hafoga: i dagoi.
11 “Nabii na kuhani wote si wacha Mungu; hata hekaluni mwangu ninaona uovu wao,” asema Bwana.
Hina Gode da amane sia: sa, “Balofede dunu amola gobele salasu dunu da Gode Ea hou hame dawa: Na ba: loba ilia da Debolo diasu ganodini wadela: le hamonanu.
12 “Kwa hiyo mapito yao yatakuwa utelezi, watafukuziwa mbali gizani na huko wataanguka. Nitaleta maafa juu yao katika mwaka wa kuadhibiwa kwao,” asema Bwana.
Ilia logo da enemei amola gasi ganodini agoane ba: mu. Na da hamobeba: le, ilia da sadenane dafamu. Na da ilima wadela: su iasimu. Ilima se imunu eso da doaga: mu. Na, Hina Gode, da sia: i dagoi.
13 “Miongoni mwa manabii wa Samaria nililiona jambo la kuchukiza: Walitabiri kwa Baali na kuwapotosha Israeli watu wangu.
Na da Samelia balofede dunu ilia wadela: i hou amo ba: i dagoi. Ilia da Ba: iele ea dioba: le sia: i dagoi. Amola ilia da Na fi ilima bobogema: ne, wadela: i logo olelei dagoi.
14 Nako miongoni mwa manabii wa Yerusalemu nimeona jambo baya sana: Wanafanya uzinzi na kuenenda katika uongo. Wanatia nguvu mikono ya watenda mabaya, kwa ajili hiyo hakuna yeyote anayeachana na uovu wake. Wote wako kama Sodoma kwangu; watu na Yerusalemu wako kama Gomora.”
Be Yelusaleme bagade balofede dunu da amo baligimusa: wadela: i hou hamoi, amo Na da ba: i. Ilia da inia uda adole lasu amola ogogosu hamoi dagoi. Ilia da dunu eno wadela: le hamoma: ne bagade fidibiba: le, dunu huluane da wadela: le hamosu fisimusa: hame dawa: i. Na ba: loba, ilia huluane da Sodame amola Goumola dunu defele wadela: le hamonana.
15 Kwa hiyo, hili ndilo Bwana Mwenye Nguvu Zote asemalo kuhusu manabii: “Nitawafanya wale chakula kichungu na kunywa maji yaliyotiwa sumu, kwa sababu kutokana na manabii wa Yerusalemu kutokumcha Mungu kumeenea katika nchi yote.”
Amaiba: le, Na, Hina Gode Bagadedafa da Yelusaleme balofede dunu ilima amane hamomu. Na da gamogai bugi liligi ili moma: ne ilima imunu. Amola Na da ilima medole legesu hano ilia moma: ne imunu. Bai ilia Godema hame fa: no bobogesu hou, amo Na soge huluane ganodini olelei dagoi.”
16 Hili ndilo Bwana Mwenye Nguvu Zote asemalo: “Msisikilize wanachowatabiria manabii, wanawajaza matumaini ya uongo. Wanasema maono kutoka akili zao wenyewe, hayatoki katika kinywa cha Bwana.
Hina Gode Bagadedafa da Yelusaleme fi dunu ilima amane sia: i, “Balofede dunu ilia sia: mae nabima. Ilia da dilima hahawane hou da doaga: mu, ogogole olelesa. Ilia da ilisu asigi dawa: su ganodini dawa: su liligi amo fawane olelesa, amola Na sia: i liligi hamedafa olelesa.
17 Huendelea kuwaambia wale wanaonidharau mimi, ‘Bwana asema: Mtakuwa na amani.’ Kwa wale wote wafuatao ugumu wa mioyo yao, wao husema, ‘Hakuna dhara litakalowapata.’
Ilia da dunu (amo da Na sia: i liligi nabimu higa: i dunu) ilima ilia da hahawane fawane ba: mu, amo sia: daha. Amola ga: nasi hamoi gasa fi dunu, ilima ilia da wadela: su hame ba: mu olelelala.”
18 Lakini ni yupi miongoni mwao aliyesimama katika baraza la Bwana ili kuona au kusikia neno lake? Ni nani aliyesikiliza na kusikia neno lake?
Na (Yelemaia) da amane sia: i, “Amo balofede dunu afae da Hina Gode Ea wamolegei asigi dawa: su amo hamedafa dawa: i galu. Afae da Ea sia: amola Ea sia: i adole iasi amo hame nabi amola hame dawa: digi.
19 Tazama, dhoruba ya Bwana itapasuka kwa ghadhabu, kisulisuli kitazunguka na kuanguka vichwani vya waovu.
Hina Gode Ea ougi da gibula bobodole isu mabe agoane misini, amola gasa bagade isu amo da wadela: i hamosu dunu ilia dialuma da: iya masunu.
20 Hasira ya Bwana haitageuka mpaka amelitimiza kusudi la moyo wake. Siku zijazo mtalifahamu kwa wazi.
Amo isu da mae dagole, maneawane, Hina Gode Ea hanai huluane hamoi dagoiba: le fawane yolesimu. Hobeadafa, Hina Gode Ea fi dunu da amo hou dawa: digimu.”
21 Mimi sikuwatuma manabii hawa, lakini bado wamekimbia wakitangaza ujumbe wao. Mimi sikusema nao, lakini wametabiri.
Hina Gode da amane sia: i, “Na da amo balofede dunu hame asunasi. Be ilia da udigili asi. Na da ilima sia: adosima: ne hame sia: i, be ilia da Na Dioba: le udigili sia: i.
22 Lakini kama wangesimama barazani mwangu, wangetangaza maneno yangu kwa watu wangu, nao wangewageuza kutoka njia zao mbaya na kutoka matendo yao maovu.”
Ilia da Na wamolegei asigi dawa: su dawa: i ganiaba, ilia da Na sia: Na fi dunuma alofele imunu dawa: la: loba, amola Na fi dunu ilia wadela: i esalusu amola hawa: hamosu fisima: ne hamona: noba.
23 “Je, mimi ni Mungu aliyeko hapa karibu tu,” Bwana asema, “wala si Mungu aliyeko pia mbali?
Na da Gode amo da sogebi huluanedafa amo ganodini esalebe dawa: Na da sogebi afadafa fawane amo ganodini hame esala.
24 Je, mtu yeyote aweza kujificha mahali pa siri ili nisiweze kumwona?” Bwana asema. “Je, mimi sikuijaza mbingu na nchi?” Bwana asema.
Dunu huluane da Na mae ba: ma: ne, wamoaligimu hamedei ba: sa. Na da mu amola osobo bagadega sogebi huluanedafa amo ganodini esala.
25 “Nimesikia wanayoyasema manabii, hao wanaotabiri uongo kwa jina langu. Wanasema, ‘Nimeota ndoto! Nimeota ndoto!’
Amo balofede ilia sia: Na dawa: Ilia da Na Dioba: le, ogogole sia: sa, amola Na da ilia simasia ba: su amo ganodini ilima sia: sa, amo ogogole olelesa. Bai Na da ilima hamedafa sia: sa.
26 Mambo haya yataendelea mpaka lini ndani ya mioyo ya hawa manabii wa uongo, ambao hutabiri maono ya uongo ya akili zao wenyewe?
Amo balofede dunu da Na fi dunuma ogogosu sia: ilisu hamosu olelesa, amo da habodane yolesima: bela: ?
27 Wanadhani ndoto wanazoambiana wao kwa wao zitawafanya watu wangu walisahau jina langu, kama baba zao walivyolisahau jina langu kwa kumwabudu Baali.
Ilia da agoane dawa: Ilia da ilia simasia ba: i liligi amo Na fi dunu ilima olelesea, Na fi dunu da ilia edalia hou defele, Na gogolele, Ba: ielema fa: no bobogemu, agoane dawa:
28 Mwache nabii aliye na ndoto aseme ndoto yake, lakini yule aliye na neno langu na aliseme kwa uaminifu. Kwa maana jani kavu lina uhusiano gani na ngano?” asema Bwana.
Balofede da simasia ba: sea, amo da simasia ba: su fawane e da sia: mu da defea. Be balofede dunu da Na sia: dafa nabasea, e da mae ogogole, moloiwane amo sia: alofele imunu da defea. Na sia: da widi ha: i manu noga: iwane gala. Be bioi gisi da noga: i hame.
29 “Je, neno langu si kama moto,” asema Bwana, “na kama nyundo ivunjayo mwamba vipande vipande?
Na sia: da lalu agoane. Amola Na sia: da ‘ha: ma’ (hammer), amo da igi fofonobomusa: goudasa, agoai gala.
30 “Kwa hiyo, niko kinyume na manabii wanaoibiana maneno kana kwamba ni yangu,” asema Bwana.
Balofede mogili ilia da balofede eno ea udigili sia: dalebe amo lale, eno dunuma olelesea, amo udigili sia: da Na sia: dafa ilia ogogole olelesa. Na da amo ogogosu balofede dunu higasa.
31 “Naam, mimi niko kinyume na manabii wanaotikisa ndimi zao wenyewe na kusema, ‘Bwana asema.’
Amola balofede eno da hi sia: olelesea, amo da Na sia: dafa ogogole sia: sa. Na da amo balofede amola higasa.
32 Kweli, niko kinyume na hao wanaotabiri ndoto za uongo,” asema Bwana. “Wanazisimulia na kuwapotosha watu wangu kwa uongo wao bila kujali, lakini sikuwatuma wala sikuwaamuru. Hawawafaidi watu hawa hata kidogo,” asema Bwana.
Nabima! Na, Hina Gode, da amane sia: sa! Na da balofede dunu amo da ilia ogogosu simasia ba: i liligi olelesa, amo higasa. Ilia da amo simasia ba: i olelebeba: le, amola ogogole amola hidale sia: beba: le, Na fi dunu da logo giadofale, dafasa. Na da ili hame asunasi amola olelela masa: ne hame sia: i. Amola ilia da Na fi dunu hamedafa fidisa. Na, Hina Gode, da sia: i dagoi.”
33 “Wakati watu hawa, au nabii, au kuhani watakapokuuliza, ‘Mzigo wa Bwana ni nini?’ wewe utawaambia, ‘Ninyi ndio mzigo. Nami nitawavua kama vazi, asema Bwana.’
Hina Gode da nama amane sia: i, “Yelemaia! Na fi dunu afae o balofede dunu o gobele salasu dunu, amo da dima amane adole ba: sea, ‘Hina Gode Ea sia: i da adi sia: bela: ?’ di ema bu amane adole ima, ‘Di da Hina Godema da: i dioi liligi bagade. E da di fadegamu!’
34 Nabii, kuhani, au mtu yeyote akisema, ‘Huu ndio mzigo wa Bwana,’ nitamwadhibu huyo na nyumba yake.
Be Na fi dunu afae, o balofede o gobele salasu da sia: agoane, ‘Hina Gode Ea sia: da agoane’ amo fawane sia: sea, Na da e amola ea sosogo fi ilima se imunu.
35 Hivyo mnaambiana kila mmoja na mwenzake, au kwa mtu wa nyumba yao: ‘Bwana amejibu nini?’ au ‘Bwana amesema nini?’
Be amo mae dawa: le, dunu huluane afae afae da ea dogolegei amola na: iyado ilima amane adole ba: mu da defea, ‘Hina Gode da adi adole ibala: ? E da adi sia: bela: ?’ Bai ilia da Na sia: hame dawa:
36 Lakini kamwe msiseme tena, ‘Nina mzigo wa Bwana,’ kwa sababu kila neno la mtu binafsi linakuwa mzigo wake mwenyewe, na hivyo kupotosha maneno ya Mungu aliye hai, Bwana Mwenye Nguvu Zote, Mungu wetu.
Be dilia bu ‘Amo da Hina Gode Ea sia:’ bu sia: mu da sema bagade. Bai dilisu sia: da Gode Esala, Hina Gode Bagadedafa, amo Ea sia: dilia da giadofale sia: sea, dilia da Na sia: dafa bagadewane wadela: sa.
37 Hivi ndivyo utakavyoendelea kumuuliza nabii: ‘Bwana amekujibu nini?’ au ‘Je, Bwana amesema nini?’
Yelemaia! Di balofede dunu ilima amane adole ba: ma, ‘Hina Gode da dima adi sia: bela: ? Dima adi adole ibala: ?’
38 Ingawa unadai, ‘Huu ndio mzigo wa Bwana,’ hili ndilo Bwana asemalo: Ulitumia maneno, ‘Huu ndio mzigo wa Bwana,’ hata ingawa nilikuambia kuwa kamwe usiseme, ‘Huu ni mzigo wa Bwana.’
Amasea, amo balofede dunu ilia da Na sia: mae nabawane, ‘Hina Gode da amane sia: sa.’ amane sia: sea, ilima amane olelema,
39 Kwa hiyo, hakika nitakusahau na kukutupa mbali na uso wangu pamoja na mji niliowapa ninyi na baba zenu.
‘Na, Hina Gode, da dili gaguia gadole, dili amola dilia moilai bai bagade (amo Na da dili amola dilia aowalalia ilima i) amo fadegale fasimu.
40 Nitaleta juu yako fedheha ya kudumu: yaani aibu ya kudumu ambayo haitasahaulika.”
Na da eso huluane dialoma: ne, gogosiasu dilima imunu. Dunu huluane da amo gogosiasu hamedafa gogolemu.’”

< Yeremia 23 >