< Yeremia 22 >

1 Hili ndilo asemalo Bwana: “Shuka kwenye jumba la kifalme la mfalme wa Yuda, utangaze ujumbe huu huko:
BAWIPA ni hettelah a dei, Judah siangpahrang im vah cet nateh hete lawk hah dei pouh.
2 ‘Sikia neno la Bwana, ee mfalme wa Yuda, wewe uketiye kwenye kiti cha enzi cha Daudi: wewe, maafisa wako na watu wako mnaopitia malango haya.
Oe! Judah siangpahrang Devit e bawitungkhung dawk ka tahung e nang hoi na sannaw hoi, na taminaw hi kâennaw hoi BAWIPA lawk hah thai awh haw.
3 Hili ndilo Bwana asemalo: Tenda haki na adili. Mwokoe mkononi mwa mdhalimu yeye aliyetekwa nyara. Usimtendee mabaya wala ukatili mgeni, yatima au mjane, wala usimwage damu isiyo na hatia mahali hapa.
BAWIPA ni hettelah a dei, kalancalah lawkceng awh nateh, thoebonae kut dawk hoi a man awh e naw hah rungngang awh. Imyin hoi na pa ka tawn hoeh e naw, lahmainaw koe lanhoehnae hoi pacekpahleknae sak awh hanh.
4 Kwa kuwa ukiwa mwangalifu kushika maagizo haya, ndipo wafalme watakaokalia kiti cha enzi cha Daudi watakapoingia kupitia malango ya jumba hili la kifalme, wakiwa wamepanda magari na farasi, huku wakifuatana na maafisa wao na watu wao.
Bangkongtetpawiteh, hete lawk heh na tarawi awh katang boipawiteh, Devit e bawitungkhung dawk e siangpahrangnaw hoi leng hoi marang kâcui hoi ama hoi a sannaw hoi a taminaw hoi longkha dawk a kâen thai awh han ei.
5 Lakini kama hutayatii maagizo haya, asema Bwana, ninaapa kwa nafsi yangu kwamba jumba hili litakuwa gofu.’”
Hatei, hete lawk hah banglahai na ngai awh hoehpawiteh, hete im heh koung a houng han, telah amahoima thoe a kâbo telah BAWIPA ni a ti.
6 Kwa kuwa hili ndilo Bwana asemalo kuhusu jumba la kifalme la mfalme wa Yuda: “Ingawa uko kama Gileadi kwangu, kama kilele cha Lebanoni, hakika nitakufanya uwe kama jangwa, kama miji ambayo haijakaliwa na watu.
BAWIPA ni Judah imthungkhu koevah, hettelah a dei, nang teh kai hanlah Gilead patetlah hoi, Lebanon mon patetlah doeh na o. Hatei kingdi e kahrawng hoi apinihai a ring hoeh e kho patetlah na coung sak han.
7 Nitawatuma waharabu dhidi yako, kila mtu akiwa na silaha zake, nao watazikata boriti zako nzuri za mierezi na kuzitupa motoni.
Nang na kâraphoe hanelah senehmaica sin hoi kâcai han, na rawi e sidar thing hah tâtueng awh vaiteh, hmai hoi a sawi awh han.
8 “Watu kutoka mataifa mengi watapitia karibu na mji huu na kuulizana, ‘Kwa nini Bwana amefanya jambo la namna hii juu ya mji huu mkubwa?’
Miphun moikapap ni hete kho hah rakan awh vaiteh, tamipueng ni amae a imri koevah, Cathut ni hete ka lentoe e khopui hah bangkongmaw hettelah khuet a tho sak vai telah ati awh han.
9 Nalo jibu litakuwa: ‘Kwa sababu wameliacha agano la Bwana, Mungu wao, na wameabudu na kuitumikia miungu mingine.’”
Amamae Cathut BAWIPA lawkkamnae hah a ceitakhai awh teh, alouke cathut a bawk awh teh, a thaw a tawk pouh awh dawkvah telah a pathung han.
10 Usimlilie yeye aliyekufa, wala usimwombolezee; badala yake, afadhali umlilie kwa uchungu yule aliyepelekwa uhamishoni, kwa sababu kamwe hatairudia wala kuiona tena nchi yake alikozaliwa.
Kadoutnaw hah khui awh hanh, rabui hai rabui awh hanh. Kahmatnaw hane paleipalang teh puenghoi khuikapkhai awh. Bangkongtetpawiteh, bout a ban thai hoeh han toung dawkvah, a tâconae ram a hmu hoeh han toung dawkvah.
11 Kwa kuwa hili ndilo asemalo Bwana kuhusu Shalumu mwana wa Yosia, aliyeingia mahali pa baba yake kuwa mfalme wa Yuda, lakini ameondoka mahali hapa: “Yeye kamwe hatarudi tena.
Bangkongtetpawiteh, Judah siangpahrang Shallum Josiah capa, a na pa Josiah yueng lah kaukkung hete hmuen koehoi ka cet e kong dawkvah, BAWIPA ni hettelah a dei, hivah bout ban mahoeh toe.
12 Atafia huko mahali walipompeleka kuwa mateka; hataiona tena nchi hii.”
San lah a ceikhainae hmuen koe hawvah a due roeroe han, hete ram heh hmawt mahoeh toe.
13 “Ole wake yeye ajengaye jumba lake la kifalme kwa njia ya dhuluma, vyumba vyake vya juu kwa udhalimu, akiwatumikisha watu wa nchi yake pasipo malipo, bila kuwalipa kwa utumishi wao.
Lanhoehnae lahoi im a sak teh, kalanhoehe lahoi imvannaw a sak teh, a yawn lahoi amahoima, hoi a imri a thayung a hno teh kutphu poe laipalah kaawm e teh lungmathoe hanlah a o.
14 Asema, ‘Nitajijengea jumba kuu la kifalme, na vyumba vya juu vyenye nafasi kubwa.’ Hivyo anaweka ndani yake madirisha makubwa, huweka kuta za mbao za mierezi, na kuipamba kwa rangi nyekundu.
Im kalenpoung lah imvan tawn e ka sak han. Hlalangaw hah ka paawng vaiteh, disar thing hoi be ka sak vaiteh, a rong ka paling e ka hluk vai na ka tet nang, lungmathoe hanlah ao.
15 “Je, inakufanya kuwa mfalme huko kuongeza idadi ya mierezi? Je, baba yako hakuwa na chakula na kinywaji? Alifanya yaliyo sawa na haki, hivyo yeye akafanikiwa katika yote.
Sidar thing hoi houk na sak kecu dawk siangpahrang lah na pouk maw. Na pa niyah, a ca a nei teh, kalanhoehe lah lawk a ceng nahoehmaw. Hot teh ama hanlah ahawi ngoun.
16 Aliwatetea maskini na wahitaji, hivyo yeye akafanikiwa katika yote. Je, hiyo si ndiyo maana ya kunijua mimi?” asema Bwana.
Tami roedeng hoi kavoutthoupnaw koung ka pouk pouh, hottelah ahawi. Hetheh na panue hane kawi nahoehmaw, telah BAWIPA ni a dei.
17 “Lakini macho yako na moyo wako vimeelekezwa tu katika mapato ya udhalimu, kwa kumwaga damu isiyo na hatia, kwa uonevu na ukatili.”
Hatei kâsokâroumnae hoi kayonhoehe theinae hoi, repcoungroe hane hoi, kâutnae dueng hah na mit hoi na lung ni a pouk.
18 Kwa hiyo hili ndilo asemalo Bwana kuhusu Yehoyakimu mwana wa Yosia mfalme wa Yuda: “Hawatamwombolezea wakisema: ‘Ole, ndugu yangu! Ole, umbu langu!’ Hawatamwombolezea wakisema: ‘Ole, bwana wangu! Ole, fahari yake!’
Hatdawkvah, Judah siangpahrang Jehoiakim Josiah capa kong dawk, BAWIPA ni hettelah a dei. Aya! ka hmaunawngha hoehpawiteh, Aya! ka tawncanu telah khui awh mahoeh. Aya! Ka pâtukung hoehpawiteh, aya! a sungrennae hah telah khui awh mahoeh.
19 Atazikwa maziko ya punda: ataburutwa na kutupwa nje ya malango ya Yerusalemu.”
Jerusalem longkha alawilah vah, la pakawp e patetlah a pakawp awh han.
20 “Panda Lebanoni ukapige kelele, sauti yako na isikike huko Bashani, piga kelele toka Abarimu, kwa kuwa wote waliojiunga nawe wameangamizwa.
Lebanon mon dawk luen awh nateh hram awh. Bashan vah hram awh haw, Abarim hmuen koe hram awh. Bangkongtetpawiteh, na huinaw pueng be a due awh toe.
21 Nilikuonya wakati ulipojisikia kwamba uko salama, lakini ulisema, ‘Mimi sitasikiliza!’ Hii imekuwa kawaida yako tangu ujana wako; hujanitii mimi.
Na kuepcing awh lahunnah, nang koe lawk ka dei hane, nang ni ka thai mahoeh telah na ti. Ka lawk na thai ngai hoeh e heh, na nawca hoi e na nuencang doeh.
22 Upepo utawaondoa wachungaji wako wote, na wale ulioungana nao wataenda uhamishoni. Kisha utaaibika na kufedheheka kwa sababu ya uovu wako wote.
Kahlî ni nange tukhoumnaw be a ca han. Na huikonaw hah san a toung awh han. Hottelahoi na hawihoehnae dawk kayayeirai phu lahoi na o roeroe hah.
23 Wewe uishiye Lebanoni, wewe uliyetulia kwenye majengo ya mierezi, tazama jinsi utakavyoomboleza maumivu makali yatakapokupata, maumivu kama yale ya mwanamke mwenye utungu wa kuzaa!
Oe! Lebanon mon dawk kho ka sak ni teh, sidar thing koe tabu katukkung patawnae na lathueng a pha toteh, pahren ka tho kawi lah na o hanelah ca ka khe e ni pataw a khang e patetlah doeh ao han.
24 “Hakika kama niishivyo,” asema Bwana, “hata kama wewe, Yekonia mwana wa Yehoyakimu mfalme wa Yuda, ungekuwa pete yangu ya muhuri katika mkono wangu wa kuume, bado ningekungʼoa hapo.
Kai ka hring e patetlah BAWIPA ni a dei. Judah siangpahrang Jehoiakim capa, Koniah teh ka kut aranglae min thutnae kuthrawt lah kaawm nakunghai, hote hmuen koehoi na phawk han.
25 Nitakutia mikononi mwa wale wanaotafuta uhai wako, wale unaowaogopa, yaani Nebukadneza mfalme wa Babeli na kwa Wakaldayo.
Thei hanelah na katawngkung, mei hmu hanelah na taki e naw kut dawk, Babilon siangpahrang Nebukhadnezar kut hoi Khaldeannaw e a kut dawk na poe awh han.
26 Nitakutupa mbali wewe na mama aliyekuzaa mwende katika nchi nyingine, ambayo hakuna hata mmoja wenu aliyezaliwa huko, nanyi mtafia huko.
Na khenae kho dawk laipalah, ram alouke dawk nang hoi na kakhenkung na manu heh, na tâkhawng vaiteh hawvah na due han.
27 Kamwe hamtarudi katika nchi mliyotamani kuirudia.”
Hateiteh ban han na ngaipoungnae ram dawk na ban mahoeh toe.
28 Je, huyu mtu Yekonia ni chungu kilichodharauliwa, chungu kilichovunjika, chombo kisichotakiwa na mtu yeyote? Kwa nini yeye na watoto wake watupwe nje kwa nguvu, na kutupwa kwenye nchi wasioijua?
Hete Koniah heh ka rek e hlaam dudam hane kawi lah awmhoeh na maw. Athung vah ngai hane kawi kaawm hoeh e hlaam nahoehmaw. Bangkongmaw ama hoi a catounnaw alawilah, a tâco sak teh, panue boihoeh e ram dawk tâkhawng e lah ao awh vaw.
29 Ee nchi, nchi, nchi, sikia neno la Bwana!
Oe! talai talai talai, BAWIPA e lawk hah thai haw,
30 Hili ndilo Bwana asemalo: “Mwandike huyu mtu kama asiye na mtoto, mtu ambaye hatafanikiwa maisha yake yote, kwa maana hakuna mtoto wake atakayefanikiwa, wala kukaa kwenye kiti cha enzi cha Daudi wala kuendelea kutawala katika Yuda.”
BAWIPA ni hettelah a dei. Hete tami heh ca tawn laipalah a hringyung thung vah a lamthung ka cawn hoeh hate tami doeh. Bangkongtetpawiteh, a catounnaw hai apihai a lamcawn niteh, Devit e bawitungkhung dawk tahung hane hoi, Judah kaukkung lah awm awh mahoeh telah a ti.

< Yeremia 22 >