< Yeremia 21 >

1 Neno lilimjia Yeremia kutoka kwa Bwana wakati Mfalme Sedekia alipowatuma Pashuri mwana wa Malkiya, na kuhani Sefania mwana wa Maaseya kwake, kusema:
A palavra que veio de Javé a Jeremias, quando o rei Zedequias lhe enviou Pasur, filho de Malquias, e Sofonias, filho de Maaséias, o sacerdote, dizendo:
2 “Tuulizie sasa kwa Bwana, kwa sababu Nebukadneza mfalme wa Babeli anatushambulia. Labda Bwana atatenda maajabu kwa ajili yetu kama nyakati zilizopita, ili Nebukadneza atuondokee.”
“Por favor, pergunte a Javé por nós; pois Nabucodonosor, rei da Babilônia, faz guerra contra nós. Talvez Yahweh trate conosco de acordo com todas as suas maravilhosas obras, para que ele possa se retirar de nós”.
3 Lakini Yeremia akawajibu, “Mwambieni Sedekia,
Então Jeremias disse a eles: “Diga a Zedequias:
4 ‘Hili ndilo Bwana, Mungu wa Israeli, asemalo: Ninakaribia kuwageuzia silaha za vita zilizo mikononi mwenu, ambazo mnatumia kupigana na mfalme wa Babeli na Wakaldayo ambao wako nje ya ukuta wakiwazunguka kwa jeshi. Nami nitawakusanya ndani ya mji huu.
'Yahweh, o Deus de Israel diz: “Eis que eu devolverei as armas de guerra que estão em suas mãos, com as quais vocês lutam contra o rei da Babilônia, e contra os caldeus que os cercam fora dos muros; e eu os congregarei no meio desta cidade.
5 Mimi mwenyewe nitapigana dhidi yenu kwa mkono wangu ulionyooshwa na mkono wa nguvu, kwa hasira na ghadhabu kali na ukali mwingi.
Eu mesmo lutarei contra vocês com uma mão estendida e com um braço forte, mesmo em ira, em ira e em grande indignação.
6 Nitawaangamiza waishio katika mji huu, watu na wanyama, nao watauawa kwa tauni ya kutisha.
I atingirá os habitantes desta cidade, tanto homens quanto animais. Eles morrerão de uma grande pestilência.
7 Baada ya hayo, nitamtia Sedekia mfalme wa Yuda, maafisa wake na watu wa mji huu ambao walinusurika tauni, upanga na njaa, mkononi mwa Nebukadneza mfalme wa Babeli, na kwa adui zao wale wanaotafuta uhai wao. Atawaua kwa upanga; hatakuwa na rehema juu yao au huruma wala kuwasikitikia,’ asema Bwana.
Depois”, diz Javé, “entregarei Zedequias, rei de Judá, seus servos, e o povo, mesmo aqueles que ficaram nesta cidade da peste, da espada e da fome, na mão de Nabucodonosor, rei da Babilônia, e na mão de seus inimigos, e na mão daqueles que procuram sua vida”. Ele os atingirá com o fio da espada. Ele não os poupará, terá piedade, nem terá piedade”.
8 “Zaidi ya hayo, waambie watu hawa, ‘Hili ndilo asemalo Bwana: Tazama, naweka mbele yenu njia ya uzima, na njia ya mauti.
“Você dirá a este povo, 'Yahweh diz: “Eis que vos proponho o caminho da vida e o caminho da morte”.
9 Yeyote atakayekaa katika mji huu atakufa kwa upanga, njaa au tauni. Lakini yeyote atakayetoka na kujisalimisha kwa Wakaldayo ambao wameuzunguka mji huu kwa jeshi, atanusurika, naye ataishi.
Aquele que permanecer nesta cidade morrerá pela espada, pela fome e pela peste, mas aquele que sair e passar para os caldeus que vos cercam, ele viverá e escapará com sua vida.
10 Nimekusudia kuufanyia mji huu jambo baya, wala si jema. Utatiwa mikononi mwa mfalme wa Babeli, naye atauteketeza kwa moto, asema Bwana.’
Pois eu pus meu rosto nesta cidade para o mal, e não para o bem”, diz Yahweh. “Será entregue na mão do rei da Babilônia, e ele a queimará com fogo”.
11 “Zaidi ya hayo, ambia nyumba ya mfalme ya Yuda, ‘Sikia neno la Bwana,
“Em relação à casa do rei de Judá, ouça a palavra de Javé:
12 Ewe nyumba ya Daudi, hili ndilo Bwana asemalo: “‘Hukumuni kwa haki kila asubuhi, mwokoeni mikononi mwa mdhalimu yeye aliyetekwa nyara, la sivyo ghadhabu yangu italipuka na kuwaka kama moto kwa sababu ya uovu mlioufanya: itawaka na hakuna wa kuizima.
Casa de Davi, diz Javé, Executar a justiça pela manhã, e entregar aquele que é roubado da mão do opressor, para que a minha ira não se apague como fogo, e queimar para que ninguém possa saciá-la, por causa do mal de seus atos.
13 Niko kinyume nawe, ee Yerusalemu, wewe uishiye juu ya bonde hili kwenye uwanda wa juu wa miamba, asema Bwana, wewe usemaye, “Ni nani awezaye kuja kinyume chetu? Nani ataingia mahali pa kimbilio letu?”
Eis que eu estou contra ti, ó habitante do vale, e da rocha da planície”, diz Yahweh. Vocês que dizem: “Quem desceria contra nós?” ou, “Quem entraria em nossas casas?”
14 Nitawaadhibu kama istahilivyo matendo yenu, asema Bwana. Nitawasha moto katika misitu yenu ambao utateketeza kila kitu kinachowazunguka.’”
Vou puni-lo de acordo com o fruto de seus atos, diz Yahweh; e eu acenderei um incêndio em sua floresta, e devorará tudo o que está ao seu redor”.

< Yeremia 21 >