< Yeremia 21 >

1 Neno lilimjia Yeremia kutoka kwa Bwana wakati Mfalme Sedekia alipowatuma Pashuri mwana wa Malkiya, na kuhani Sefania mwana wa Maaseya kwake, kusema:
La parole qui fut [adressée] à Jérémie de par l'Eternel, lorsque le Roi Sédécias envoya vers lui Pashur fils de Malkija, et Sophonie fils de Mahaséja Sacrificateur, pour [lui] dire:
2 “Tuulizie sasa kwa Bwana, kwa sababu Nebukadneza mfalme wa Babeli anatushambulia. Labda Bwana atatenda maajabu kwa ajili yetu kama nyakati zilizopita, ili Nebukadneza atuondokee.”
Enquiers-toi maintenant de l'Eternel pour nous; car Nébucadnetsar Roi de Babylone combat contre nous; peut-être que l'Eternel agira pour nous selon toutes ses merveilles, et le fera retirer de nous.
3 Lakini Yeremia akawajibu, “Mwambieni Sedekia,
Et Jérémie leur dit: vous direz ainsi à Sédécias:
4 ‘Hili ndilo Bwana, Mungu wa Israeli, asemalo: Ninakaribia kuwageuzia silaha za vita zilizo mikononi mwenu, ambazo mnatumia kupigana na mfalme wa Babeli na Wakaldayo ambao wako nje ya ukuta wakiwazunguka kwa jeshi. Nami nitawakusanya ndani ya mji huu.
Ainsi a dit l'Eternel, le Dieu d'Israël: voici, je m'en vais faire retourner de dehors la muraille les instruments de guerre qui sont en vos mains, avec lesquels vous combattez contre le Roi de Babylone et contre les Caldéens qui vous assiègent, et je les ramasserai au milieu de cette ville.
5 Mimi mwenyewe nitapigana dhidi yenu kwa mkono wangu ulionyooshwa na mkono wa nguvu, kwa hasira na ghadhabu kali na ukali mwingi.
Et je combattrai contre vous avec une main étendue, et avec un bras puissant, avec colère, avec ardeur, et avec une grande indignation.
6 Nitawaangamiza waishio katika mji huu, watu na wanyama, nao watauawa kwa tauni ya kutisha.
Et je frapperai les habitants de cette ville, les hommes, et les bêtes; [et] ils mourront d'une grande mortalité.
7 Baada ya hayo, nitamtia Sedekia mfalme wa Yuda, maafisa wake na watu wa mji huu ambao walinusurika tauni, upanga na njaa, mkononi mwa Nebukadneza mfalme wa Babeli, na kwa adui zao wale wanaotafuta uhai wao. Atawaua kwa upanga; hatakuwa na rehema juu yao au huruma wala kuwasikitikia,’ asema Bwana.
Et après cela, dit l'Eternel, je livrerai Sédécias Roi de Juda, et ses serviteurs, et le peuple, et ceux qui seront demeurés de reste en cette ville de la mortalité, de l'épée, et de la famine, en la main de Nébucadnetsar Roi de Babylone, et en la main de leurs ennemis, et en la main de ceux qui cherchent leur vie; et il les frappera au tranchant de l'épée, il ne les épargnera point, il n'en aura point de compassion, il n'en aura point de pitié.
8 “Zaidi ya hayo, waambie watu hawa, ‘Hili ndilo asemalo Bwana: Tazama, naweka mbele yenu njia ya uzima, na njia ya mauti.
Tu diras aussi à ce peuple: ainsi a dit l'Eternel: voici, je mets devant vous le chemin de la vie, et le chemin de la mort.
9 Yeyote atakayekaa katika mji huu atakufa kwa upanga, njaa au tauni. Lakini yeyote atakayetoka na kujisalimisha kwa Wakaldayo ambao wameuzunguka mji huu kwa jeshi, atanusurika, naye ataishi.
Quiconque se tiendra dans cette ville mourra par l'épée, ou par la famine, ou par la mortalité, mais celui qui en sortira, et se rendra aux Caldéens qui vous assiègent, vivra, et sa vie lui sera pour butin.
10 Nimekusudia kuufanyia mji huu jambo baya, wala si jema. Utatiwa mikononi mwa mfalme wa Babeli, naye atauteketeza kwa moto, asema Bwana.’
Car j'ai dressé ma face en mal et non en bien contre cette ville, dit l'Eternel, elle sera livrée en la main du Roi de Babylone, et il la brûlera par le feu.
11 “Zaidi ya hayo, ambia nyumba ya mfalme ya Yuda, ‘Sikia neno la Bwana,
Et quant à la maison du Roi de Juda, écoutez la parole de l'Eternel.
12 Ewe nyumba ya Daudi, hili ndilo Bwana asemalo: “‘Hukumuni kwa haki kila asubuhi, mwokoeni mikononi mwa mdhalimu yeye aliyetekwa nyara, la sivyo ghadhabu yangu italipuka na kuwaka kama moto kwa sababu ya uovu mlioufanya: itawaka na hakuna wa kuizima.
Maison de David, ainsi a dit l'Eternel: faites justice dès le matin, et délivrez celui qui aura été pillé, d'entre les mains de celui qui lui fait tort, de peur que ma fureur ne sorte comme un feu, et qu'elle ne s'embrase, et qu'il n'y ait personne qui l'éteigne, à cause de la malice de vos actions.
13 Niko kinyume nawe, ee Yerusalemu, wewe uishiye juu ya bonde hili kwenye uwanda wa juu wa miamba, asema Bwana, wewe usemaye, “Ni nani awezaye kuja kinyume chetu? Nani ataingia mahali pa kimbilio letu?”
Voici, j'en veux à toi, qui habites dans la vallée, [et qui es] le rocher du plat pays, dit l'Eternel; à vous qui dites: qui est-ce qui descendra contre nous, et qui entrera dans nos demeures?
14 Nitawaadhibu kama istahilivyo matendo yenu, asema Bwana. Nitawasha moto katika misitu yenu ambao utateketeza kila kitu kinachowazunguka.’”
Et je vous punirai selon le fruit de vos actions, dit l'Eternel; et j'allumerai le feu dans sa forêt, lequel consumera tout ce qui est à l'entour d'elle.

< Yeremia 21 >