< Yeremia 21 >

1 Neno lilimjia Yeremia kutoka kwa Bwana wakati Mfalme Sedekia alipowatuma Pashuri mwana wa Malkiya, na kuhani Sefania mwana wa Maaseya kwake, kusema:
The word which was maad of the Lord to Jeremye, whanne king Sedechie sente to hym Phassur, the sone of Helchie, and Sofonye, the preest, the sone of Maasie, and seide,
2 “Tuulizie sasa kwa Bwana, kwa sababu Nebukadneza mfalme wa Babeli anatushambulia. Labda Bwana atatenda maajabu kwa ajili yetu kama nyakati zilizopita, ili Nebukadneza atuondokee.”
Axe thou the Lord for vs, for Nabugodonosor, the kyng of Babiloyne, fiytith ayens vs; if in hap the Lord do with vs bi alle hise merueilis, and he go awei fro vs.
3 Lakini Yeremia akawajibu, “Mwambieni Sedekia,
And Jeremye seide to hem, Thus ye schulen seie to Sedechie,
4 ‘Hili ndilo Bwana, Mungu wa Israeli, asemalo: Ninakaribia kuwageuzia silaha za vita zilizo mikononi mwenu, ambazo mnatumia kupigana na mfalme wa Babeli na Wakaldayo ambao wako nje ya ukuta wakiwazunguka kwa jeshi. Nami nitawakusanya ndani ya mji huu.
The Lord God of Israel seith these thingis, Lo! Y schal turne the instrumentis of batel that ben in youre hondis, and with which ye fiyten ayens the king of Babiloyne, and ayens Caldeis, that bisegen you in the cumpas of wallis; and Y schal gadere tho togidere in the myddis of this citee.
5 Mimi mwenyewe nitapigana dhidi yenu kwa mkono wangu ulionyooshwa na mkono wa nguvu, kwa hasira na ghadhabu kali na ukali mwingi.
And Y schal ouercome you in hond stretchid forth, and in strong arm, and in stronge veniaunce, and indignacioun, and in greet wraththe;
6 Nitawaangamiza waishio katika mji huu, watu na wanyama, nao watauawa kwa tauni ya kutisha.
and Y schal smyte the dwelleris of this citee, men and beestis schulen die bi greet pestilence.
7 Baada ya hayo, nitamtia Sedekia mfalme wa Yuda, maafisa wake na watu wa mji huu ambao walinusurika tauni, upanga na njaa, mkononi mwa Nebukadneza mfalme wa Babeli, na kwa adui zao wale wanaotafuta uhai wao. Atawaua kwa upanga; hatakuwa na rehema juu yao au huruma wala kuwasikitikia,’ asema Bwana.
And after these thingis, seith the Lord, Y schal yyue Sedechie, kyng of Juda, and hise seruauntis, and his puple, and that ben left in this citee fro pestilence, and swerd, and hungur, in the hond of Nabugodonosor, kyng of Babiloyne, and in the hond of her enemyes, and in the hond of men sekynge the lijf of hem; and he schal smyte hem bi the scharpnesse of swerd; and he schal not be bowid, nether schal spare, nether schal haue mercy.
8 “Zaidi ya hayo, waambie watu hawa, ‘Hili ndilo asemalo Bwana: Tazama, naweka mbele yenu njia ya uzima, na njia ya mauti.
And thou schalt seie to this puple, The Lord God seith these thingis, Lo! Y yyue bifore you the weie of lijf, and the weie of deth.
9 Yeyote atakayekaa katika mji huu atakufa kwa upanga, njaa au tauni. Lakini yeyote atakayetoka na kujisalimisha kwa Wakaldayo ambao wameuzunguka mji huu kwa jeshi, atanusurika, naye ataishi.
He that dwellith in this citee, schal die bi swerd, and hungur, and pestilence; but he that goith out, and fleeth ouer to Caldeis that bisegen you, schal lyue, and his lijf schal be as a prey to hym.
10 Nimekusudia kuufanyia mji huu jambo baya, wala si jema. Utatiwa mikononi mwa mfalme wa Babeli, naye atauteketeza kwa moto, asema Bwana.’
For Y haue set my face on this citee in to yuel, and not in to good, seith the Lord; it schal be youun in the hond of the king of Babiloyne, and he schal brenne it with fier.
11 “Zaidi ya hayo, ambia nyumba ya mfalme ya Yuda, ‘Sikia neno la Bwana,
And thou schalt seie to the hous of the king of Juda, the hous of Dauid, Here ye the word of the Lord.
12 Ewe nyumba ya Daudi, hili ndilo Bwana asemalo: “‘Hukumuni kwa haki kila asubuhi, mwokoeni mikononi mwa mdhalimu yeye aliyetekwa nyara, la sivyo ghadhabu yangu italipuka na kuwaka kama moto kwa sababu ya uovu mlioufanya: itawaka na hakuna wa kuizima.
The Lord seith these thingis, Deme ye eerli doom, and delyuere ye hym that is oppressid bi violence fro the hond of the fals chalenger; lest perauenture myn indignacioun go out as fier, and be kyndlid, and noon be that quenche, for the malice of youre studies.
13 Niko kinyume nawe, ee Yerusalemu, wewe uishiye juu ya bonde hili kwenye uwanda wa juu wa miamba, asema Bwana, wewe usemaye, “Ni nani awezaye kuja kinyume chetu? Nani ataingia mahali pa kimbilio letu?”
Lo! Y to thee, dwelleresse of the sad valei and pleyn, seith the Lord, which seien, Who schal smyte vs, and who schal entre in to oure housis?
14 Nitawaadhibu kama istahilivyo matendo yenu, asema Bwana. Nitawasha moto katika misitu yenu ambao utateketeza kila kitu kinachowazunguka.’”
And Y schal visite on you bi the fruyt of youre studies, seith the Lord; and Y schal kyndle fier in the forest therof, and it schal deuoure alle thingis in the cumpas therof.

< Yeremia 21 >