< Yeremia 19 >

1 Hili ndilo asemalo Bwana: “Nenda ukanunue gudulia la udongo kutoka kwa mfinyanzi. Wachukue baadhi ya wazee wa watu na wa makuhani
Ovako reèe Gospod: idi i kupi krèag zemljan u lonèara s nekoliko starješina narodnijeh i starješina sveštenièkih.
2 na mtoke mwende mpaka kwenye Bonde la Ben-Hinomu, karibu na ingilio la Lango la Vigae. Huko tangaza maneno ninayokuambia,
I otidi u dolinu sina Enomova što je pred vratima istoènijem, i ondje proglasi rijeèi koje æu ti kazati.
3 nawe useme, ‘Sikieni neno la Bwana, enyi wafalme wa Yuda na watu wa Yerusalemu. Hili ndilo Bwana Mwenye Nguvu Zote, Mungu wa Israeli, asemalo: Sikilizeni! Nitaleta maafa mahali hapa, ambayo yatafanya masikio ya kila mmoja atakayesikia habari zake yawashe.
I reci: èujte rijeè Gospodnju, carevi Judini i stanovnici Jerusalimski; ovako veli Gospod nad vojskama Bog Izrailjev: evo, ja æu pustiti zlo na to mjesto da æe zujati uši svakome ko ga èuje.
4 Kwa kuwa wameniacha na kupafanya mahali hapa kuwa pa miungu ya kigeni. Wameiteketezea sadaka miungu ambayo wao wala baba zao wala wafalme wa Yuda kamwe hawakuijua, nao wamelijaza eneo hili kwa damu isiyo na hatia.
Jer me ostaviše i oskvrniše ovo mjesto kadeæi na njemu drugim bogovima, kojih ne znaše ni oni ni oci njihovi, ni carevi Judini, i napuniše to mjesto krvi prave.
5 Wamejenga mahali pa juu pa kuabudia miungu pa Baali ili kuteketeza wana wao katika moto kama sadaka kwa Baali, kitu ambacho sikukiamuru wala kukitaja, wala hakikuingia akilini mwangu.
I pogradiše visine Valu da sažižu sinove svoje ognjem na žrtve paljenice Valu, èega ne zapovjedih niti o tom govorih, niti mi na um doðe.
6 Hivyo jihadharini, siku zinakuja, asema Bwana, wakati watu hawatapaita tena mahali hapa Tofethi ama Bonde la Ben-Hinomu, bali Bonde la Machinjo.
Zato, evo, ide vrijeme, veli Gospod, kad se ovo mjesto neæe više zvati Tofet, ni dolina sina Enomova, nego krvna dolina.
7 “‘Nitaiharibu mipango ya Yuda na Yerusalemu mahali hapa. Nitawafanya waanguke kwa upanga mbele ya adui zao, katika mikono ya wale watafutao uhai wao, nami nitaitoa mizoga yao kuwa chakula cha ndege wa angani na wanyama wa nchi.
Jer æu uništiti savjet Judin i Jerusalimski na ovom mjestu, i uèiniæu da padnu od maèa pred neprijateljima svojim i od ruke onijeh koji traže dušu njihovu, i mrtva æu tjelesa njihova dati za hranu pticama nebeskim i zvijerima zemaljskim.
8 Nitauharibu mji huu na kuufanya kitu cha kudharauliwa. Wote wapitao karibu watashangaa na kuudhihaki kwa sababu ya majeraha yake yote.
I obratiæu taj grad u pustoš i rug: ko god proðe mimo nj, èudiæe se i zviždaæe za sve muke njegove.
9 Nitawafanya wao kula nyama ya wana wao na binti zao; kila mmoja atakula nyama ya mwenzake wakati wa dhiki ya kuzungukwa na jeshi lililowekwa juu yao na adui wanaotafuta uhai wao.’
I uèiniæu da jedu meso od svojih sinova i meso od svojih kæeri, i svaki æe jesti meso od druga svojega u nevolji i tjeskobi kojom æe im dosaðivati neprijatelji njihovi i koji traže dušu njihovu.
10 “Kisha livunje lile gudulia wale walio pamoja nawe wakiwa wanaangalia,
Potom razbij krèag pred ljudima koji æe iæi s tobom.
11 uwaambie, ‘Hili ndilo Bwana Mwenye Nguvu Zote asemalo: Nitalivunja taifa hili na mji huu kama gudulia hili la mfinyanzi lilivyovunjwa, nalo haliwezi kutengenezeka tena. Watawazika waliokufa huko Tofethi hata isiwepo nafasi zaidi.
I reci im: ovako veli Gospod nad vojskama: tako æu razbiti taj narod i taj grad kao što se razbije sud lonèarski, koji se ne može više opraviti, i u Tofetu æe se pogrebavati, jer neæe biti mjesta za pogrebavanje.
12 Hivi ndivyo nitakavyopafanya mahali hapa na kwa wale waishio ndani yake, asema Bwana. Nitaufanya mji huu kama Tofethi.
Tako æu uèiniti tome mjestu, veli Gospod, i stanovnicima njegovijem i uèiniæu taj grad da bude kao Tofet;
13 Nyumba zilizoko Yerusalemu na zile za wafalme wa Yuda zitatiwa unajisi kama mahali hapa, Tofethi: yaani nyumba zote ambazo walifukiza uvumba juu ya mapaa yake kwa jeshi lote la angani, na kumimina dhabihu za vinywaji kwa miungu mingine.’”
I kuæe Jerusalimske i kuæe careva Judinijeh biæe neèiste kao mjesto Tofet, sve kuæe, gdje na krovovima kadiše svoj vojsci nebeskoj i ljevaše naljeve drugim bogovima.
14 Kisha Yeremia akarudi kutoka Tofethi, mahali ambapo Bwana alikuwa amemtuma kutoa unabii, akasimama katika ua wa Hekalu la Bwana na kuwaambia watu wote,
Potom se vrati Jeremija iz Tofeta kuda ga bješe poslao Gospod da prorokuje, i stade u trijemu doma Gospodnjega, i reèe svemu narodu:
15 “Hili ndilo Bwana Mwenye Nguvu Zote, Mungu wa Israeli, asemalo: ‘Sikilizeni! Nitaleta juu ya mji huu pamoja na vijiji vinavyouzunguka kila maafa niliyosema dhidi yake, kwa sababu wamekuwa na shingo ngumu, na hawakuyasikiliza maneno yangu.’”
Ovako veli Gospod nad vojskama Bog Izrailjev: evo, ja æu pustiti na taj grad i na sve gradove njegove sve zlo koje izrekoh za nj, jer otvrdnuše vratom svojim da ne slušaju rijeèi mojih.

< Yeremia 19 >