< Yeremia 19 >

1 Hili ndilo asemalo Bwana: “Nenda ukanunue gudulia la udongo kutoka kwa mfinyanzi. Wachukue baadhi ya wazee wa watu na wa makuhani
روزی خداوند فرمود که کوزه‌ای بخرم و به همراه چند نفر از ریش‌سفیدان قوم و کاهنان سالخورده به وادی بِن‌هِنّوم در نزدیکی دروازهٔ کوزه‌گران بروم و در آنجا پیام او را اعلام کرده،
2 na mtoke mwende mpaka kwenye Bonde la Ben-Hinomu, karibu na ingilio la Lango la Vigae. Huko tangaza maneno ninayokuambia,
3 nawe useme, ‘Sikieni neno la Bwana, enyi wafalme wa Yuda na watu wa Yerusalemu. Hili ndilo Bwana Mwenye Nguvu Zote, Mungu wa Israeli, asemalo: Sikilizeni! Nitaleta maafa mahali hapa, ambayo yatafanya masikio ya kila mmoja atakayesikia habari zake yawashe.
بگویم که خداوند لشکرهای آسمان، خدای اسرائیل چنین می‌فرماید: «ای پادشاهان یهودا و اهالی اورشلیم، به پیام من گوش فرا دهید! چنان بلای هولناکی بر سر این شهر خواهم آورد که هر کس بشنود مات و مبهوت شود.
4 Kwa kuwa wameniacha na kupafanya mahali hapa kuwa pa miungu ya kigeni. Wameiteketezea sadaka miungu ambayo wao wala baba zao wala wafalme wa Yuda kamwe hawakuijua, nao wamelijaza eneo hili kwa damu isiyo na hatia.
زیرا بنی‌اسرائیل مرا ترک کرده و این مکان را از کردار شرم‌آور و شرورانهٔ خویش پر ساخته‌اند؛ مردم برای بتها بخور می‌سوزانند بتهایی که نه مردم این نسل می‌شناختند، نه پدرانشان و نه پادشاهان یهودا. آنها این محل را با خون کودکان بی‌گناه رنگین کرده‌اند.
5 Wamejenga mahali pa juu pa kuabudia miungu pa Baali ili kuteketeza wana wao katika moto kama sadaka kwa Baali, kitu ambacho sikukiamuru wala kukitaja, wala hakikuingia akilini mwangu.
برای بت بعل، مذبحهای بلند ساخته، پسران خود را بر آنها می‌سوزانند کاری که من هرگز امر نفرموده بودم و حتی از فکرم نیز نگذشته بود!
6 Hivyo jihadharini, siku zinakuja, asema Bwana, wakati watu hawatapaita tena mahali hapa Tofethi ama Bonde la Ben-Hinomu, bali Bonde la Machinjo.
«بنابراین روزی خواهد رسید که دیگر این وادی را”توفت“یا”ابن هنوم“نخواهند نامید، بلکه وادی”کشتارگاه“.
7 “‘Nitaiharibu mipango ya Yuda na Yerusalemu mahali hapa. Nitawafanya waanguke kwa upanga mbele ya adui zao, katika mikono ya wale watafutao uhai wao, nami nitaitoa mizoga yao kuwa chakula cha ndege wa angani na wanyama wa nchi.
زیرا من نقشه‌های جنگی یهودا و اورشلیم را بر هم زده، به دشمن اجازه خواهم داد تا شما را در این مکان به خاک و خون بکشند و جنازه‌هایتان خوراک لاشخورها و حیوانات وحشی گردند.
8 Nitauharibu mji huu na kuufanya kitu cha kudharauliwa. Wote wapitao karibu watashangaa na kuudhihaki kwa sababu ya majeraha yake yote.
شهر اورشلیم را نیز چنان ویران خواهم ساخت که هر کس از کنارش عبور نماید، مات و مبهوت شود.
9 Nitawafanya wao kula nyama ya wana wao na binti zao; kila mmoja atakula nyama ya mwenzake wakati wa dhiki ya kuzungukwa na jeshi lililowekwa juu yao na adui wanaotafuta uhai wao.’
اجازه خواهم داد که دشمن شهر را محاصره کند و کسانی که در آن مانده باشند از گرسنگی مجبور به خوردن گوشت فرزندان و دوستانشان شوند.»
10 “Kisha livunje lile gudulia wale walio pamoja nawe wakiwa wanaangalia,
آنگاه خداوند مرا فرمود که آن کوزه را در برابر چشمان همراهانم بشکنم
11 uwaambie, ‘Hili ndilo Bwana Mwenye Nguvu Zote asemalo: Nitalivunja taifa hili na mji huu kama gudulia hili la mfinyanzi lilivyovunjwa, nalo haliwezi kutengenezeka tena. Watawazika waliokufa huko Tofethi hata isiwepo nafasi zaidi.
و به ایشان بگویم که پیام خداوند لشکرهای آسمان این است: «همان‌گونه که این کوزه خرد شده و دیگر قابل تعمیر نیست، بدین‌گونه اورشلیم و اهالی آن هم از بین خواهند رفت. تعداد کشته‌شدگان به قدری زیاد خواهد بود که جنازه‌ها را در توفت دفن خواهند کرد، چنانکه دیگر جایی باقی نماند.
12 Hivi ndivyo nitakavyopafanya mahali hapa na kwa wale waishio ndani yake, asema Bwana. Nitaufanya mji huu kama Tofethi.
اورشلیم را هم مانند توفت پر از جنازه خواهم ساخت.
13 Nyumba zilizoko Yerusalemu na zile za wafalme wa Yuda zitatiwa unajisi kama mahali hapa, Tofethi: yaani nyumba zote ambazo walifukiza uvumba juu ya mapaa yake kwa jeshi lote la angani, na kumimina dhabihu za vinywaji kwa miungu mingine.’”
خانه‌های اورشلیم و کاخهای سلطنتی یهودا را هر جایی که بر بام آن برای خورشید و ماه و ستارگان بخور سوزانیده و هدایای نوشیدنی تقدیم کرده باشند همه را مانند”توفت“با اجساد مردگان نجس خواهم ساخت.»
14 Kisha Yeremia akarudi kutoka Tofethi, mahali ambapo Bwana alikuwa amemtuma kutoa unabii, akasimama katika ua wa Hekalu la Bwana na kuwaambia watu wote,
ارمیا پس از اعلام پیام خداوند، هنگامی که از «توفت» بازگشت، در حیاط خانهٔ خداوند ایستاد و به تمام مردم گفت که
15 “Hili ndilo Bwana Mwenye Nguvu Zote, Mungu wa Israeli, asemalo: ‘Sikilizeni! Nitaleta juu ya mji huu pamoja na vijiji vinavyouzunguka kila maafa niliyosema dhidi yake, kwa sababu wamekuwa na shingo ngumu, na hawakuyasikiliza maneno yangu.’”
خداوند لشکرهای آسمان، خدای اسرائیل چنین می‌فرماید: «تمام بلاهایی را که گفته‌ام، بر سر اورشلیم و شهرهای اطراف آن خواهم آورد، چون شما با سرسختی از کلام من سرپیچی کرده‌اید.»

< Yeremia 19 >