< Yeremia 19 >

1 Hili ndilo asemalo Bwana: “Nenda ukanunue gudulia la udongo kutoka kwa mfinyanzi. Wachukue baadhi ya wazee wa watu na wa makuhani
Hina Gode da nama na da laga osoboga hamoi ganagu bidi lamusa: masa: ne sia: i. Amola na da dunu fi ilia asigilai dunu mogili amola asigilai gobele salasu dunu mogili, amo oule masa: ne sia: i.
2 na mtoke mwende mpaka kwenye Bonde la Ben-Hinomu, karibu na ingilio la Lango la Vigae. Huko tangaza maneno ninayokuambia,
Na da Bodesehede Logo Holei amoga ga asili, Hinome Fagoga doaga: le, Ea sia: alofele olelema: ne, E sia: i.
3 nawe useme, ‘Sikieni neno la Bwana, enyi wafalme wa Yuda na watu wa Yerusalemu. Hili ndilo Bwana Mwenye Nguvu Zote, Mungu wa Israeli, asemalo: Sikilizeni! Nitaleta maafa mahali hapa, ambayo yatafanya masikio ya kila mmoja atakayesikia habari zake yawashe.
Hina Gode da na da amane alofele sia: ma: ne sia: i, “Yuda fi hina bagade dilia amola Yelusaleme fi dunu dilia Na, Hina Gode Bagadedafa, Isala: ili fi ilia Gode, amo Na sia: nabima. Na da amo sogega wadela: su bagade iasimu. Nowa dunu da amo hou ba: sea, da bagadewane fofogadigimuba: le sidi agoai ba: mu.
4 Kwa kuwa wameniacha na kupafanya mahali hapa kuwa pa miungu ya kigeni. Wameiteketezea sadaka miungu ambayo wao wala baba zao wala wafalme wa Yuda kamwe hawakuijua, nao wamelijaza eneo hili kwa damu isiyo na hatia.
Dunu huluane da Na yolesi dagoiba: le, amola ogogosu ‘gode’ amo ilia amola ilia aowalalia amola Yuda hina bagade da hame dawa: i galu, ilima gobele salasu hou hamoiba: le, sogebi wadela: lesi dagoiba: le, amola amo sogebi ganodini wadela: i hame hamosu dunu bagohame udigili medole legeiba: le, Na da amo soge wadela: mu.
5 Wamejenga mahali pa juu pa kuabudia miungu pa Baali ili kuteketeza wana wao katika moto kama sadaka kwa Baali, kitu ambacho sikukiamuru wala kukitaja, wala hakikuingia akilini mwangu.
Ilia da ilia mano laluga gobele salimusa: , ogogosu ‘gode’ Ba: iele ea oloda hamoi dagoi. Amo hou hamoma: ne Na da hamedafa sia: i. Na da amo hamedafa dawa: i.
6 Hivyo jihadharini, siku zinakuja, asema Bwana, wakati watu hawatapaita tena mahali hapa Tofethi ama Bonde la Ben-Hinomu, bali Bonde la Machinjo.
Amaiba: le, eso da misunu amoga amo sogebi ea dio da Doubede o Hinome Fago ilia da bu hame sia: mu. Be dio gaheabolo amo Medole Legesu Fago asuli dagoi ba: mu.
7 “‘Nitaiharibu mipango ya Yuda na Yerusalemu mahali hapa. Nitawafanya waanguke kwa upanga mbele ya adui zao, katika mikono ya wale watafutao uhai wao, nami nitaitoa mizoga yao kuwa chakula cha ndege wa angani na wanyama wa nchi.
Amo sogebi ganodini Na da Yuda fi dunu amola Yelusaleme fi dunu ilia ilegei huluane hedofamu. Ilia ha lai da ilima hasalima: ne, amola gegesu ganodini ili medole legema: ne, Na da logo doasimu. Na da ilia bogoi da: i hodo amo sio fi amola sigua ohe amo ili moma: ne imunu.
8 Nitauharibu mji huu na kuufanya kitu cha kudharauliwa. Wote wapitao karibu watashangaa na kuudhihaki kwa sababu ya majeraha yake yote.
Na da Yelusaleme amoma wadela: su baligili iasimuba: le, nowa da baligimusa: ahoasea da bogomuwane fofogadigimu.
9 Nitawafanya wao kula nyama ya wana wao na binti zao; kila mmoja atakula nyama ya mwenzake wakati wa dhiki ya kuzungukwa na jeshi lililowekwa juu yao na adui wanaotafuta uhai wao.’
Ha lai dunu da dunu huluane medole legemusa: , moilai sisiga: mu. Amo doagala: su da baligili gasa bagade ba: beba: le, dunu amo moilai ganodini esalebe da ilia na: iyado amola hina: mano amola ili hei manu.”
10 “Kisha livunje lile gudulia wale walio pamoja nawe wakiwa wanaangalia,
Amasea, Hina Gode da nama amane sia: i, “Dunu amo di da oule asi, amo ilia midadi ganagu goudane,
11 uwaambie, ‘Hili ndilo Bwana Mwenye Nguvu Zote asemalo: Nitalivunja taifa hili na mji huu kama gudulia hili la mfinyanzi lilivyovunjwa, nalo haliwezi kutengenezeka tena. Watawazika waliokufa huko Tofethi hata isiwepo nafasi zaidi.
ilima Hina Gode Bagadedafa da amane sia: sa olelema, ‘Na da amo moilai amola ea fi dunu goudamu. Amola amo laga osoboga hamoi ganagu da bu hahamomu hamedei, amo defele dilia fi bu hahamomu da hamedei ba: mu. Dunu da bogoi dunu uli dogomusa: sogebi hogoi helele, ba: mu hamedeiba: le, ilia da Doubede sogebi amoga uli dogomu.
12 Hivi ndivyo nitakavyopafanya mahali hapa na kwa wale waishio ndani yake, asema Bwana. Nitaufanya mji huu kama Tofethi.
Na amo moilai amola amo ganodini esalebe dunu amo Doubede isu salasu defele hamomu. Amo Na da dafawane ilegesa.
13 Nyumba zilizoko Yerusalemu na zile za wafalme wa Yuda zitatiwa unajisi kama mahali hapa, Tofethi: yaani nyumba zote ambazo walifukiza uvumba juu ya mapaa yake kwa jeshi lote la angani, na kumimina dhabihu za vinywaji kwa miungu mingine.’”
Yelusaleme diasu huluane amola Yuda hina bagade ilia diasu huluane amola diasu huluane amo da: iya ilia da gasumunima nodoma: ne gabusiga: manoma ulagisu amola ogogosu ‘gode’ ilima nodoma: ne, waini hano sogadigisu, amo diasu huluane da Doubede defele, ledo bagade hamoi ba: mu.”
14 Kisha Yeremia akarudi kutoka Tofethi, mahali ambapo Bwana alikuwa amemtuma kutoa unabii, akasimama katika ua wa Hekalu la Bwana na kuwaambia watu wote,
Amalalu, na da Doubede (Hinome Fago amoga Hina Gode da Ea sia: alofele olelema: ne, na asunasi) amo fisili asi. Na da asili, Debolo gagoi amo ganodini lelu, dunu huluane nabima: ne, Hina Gode Bagadedafa Isala: ili fi dunu ilia Gode, amo Ea sia: amane alofele sia: i,
15 “Hili ndilo Bwana Mwenye Nguvu Zote, Mungu wa Israeli, asemalo: ‘Sikilizeni! Nitaleta juu ya mji huu pamoja na vijiji vinavyouzunguka kila maafa niliyosema dhidi yake, kwa sababu wamekuwa na shingo ngumu, na hawakuyasikiliza maneno yangu.’”
“Na da amo moilai amola moilai huluane gadenene gala, amoga se iasu Na musa: olelei amo iasimu. Bai dilia dogo da ga: nasi dagoi, amola dilia da Na sia: hamedafa naba.”

< Yeremia 19 >